Dokta wa mifugo anasoma BVM (BSc in veterinary medicine) au BSc in animal science?

Dokta wa mifugo anasoma BVM (BSc in veterinary medicine) au BSc in animal science?

Ailars David

Senior Member
Joined
Jul 6, 2017
Posts
128
Reaction score
36
Wakuu naomba kuuliza
Dokta wa mifugo anachukua
BVM (BSc in veterinary medicine) Au BSc in animal science????!!! [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]

Zé unique named bwoy
 
bvm sua, mtaanza 900 na kumaliza 19! kwa bongo hii coz inaongoza kula vichwa.

Wandugu hii data si ya kweli, ikiwa hivyo hiki chuo kingefungwa. Ni kweli BVM ina msuli kutokana na volume kubwa ya material na ufuatiliaji wa karibu wa curriculum hivyo inahitaji commitment kubwa kutoka kwa wanafunzi. Zaidi ya hapo wengi wanao ingia BVM humaliza tuseme zaidi ya 80% kwa miaka 5. Hivyo msikatishwe tamaa.

Nimeahirisha kabisaaa! Open wapi jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa soko lá animal science likoje bongo

[emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji205]

Zé unique named bwoy
 
Wandugu hii data si ya kweli, ikiwa hivyo hiki chuo kingefungwa. Ni kweli BVM ina msuli kutokana na volume kubwa ya material na ufuatiliaji wa karibu wa curriculum hivyo inahitaji commitment kubwa kutoka kwa wanafunzi. Zaidi ya hapo wengi wanao ingia BVM humaliza tuseme zaidi ya 80% kwa miaka 5. Hivyo msikatishwe tamaa.
Umesoma Sua???
 
Back
Top Bottom