Dola ya kale ya Kiislam (Mesopotamia) ilitawala Dunia Takribani miaka 500 na ilikuwa sana, ila ilikuwa na tatizo kubwa moja

Dola ya kale ya Kiislam (Mesopotamia) ilitawala Dunia Takribani miaka 500 na ilikuwa sana, ila ilikuwa na tatizo kubwa moja

Hakukuwahi kuwa na dola Mesopotamia ya Kiislamu kwa sababu hadi 600BC Uislamu haukuwepo.
Happy?
Kabla hujaenda huko jifundishe kuelewa unachokisoma. Anza kwa kusoma kichwa cha habari cha mleta halafu ujibu mswali niliyomuuliza.

Unaweza pia.kusaidia kujibu "Dola ya Mesopotamia ya Kiislam ilikuwepo lini na mtawala alikuwa nani".

Huelewi unachokisoma? Nimeuliza maswali halafu unataka niyajibu mimi badqla ya kumumshinikizq.mlwta mada atajibu au wewe umsaidie.


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga au ujinga upo kwenye genes zako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa hata maana ya Uislam hauifahamu lakini nnakushauri
Msome vizuri mleta mada halafu shindana nae, sikuyaleta mimi hayo ya "Mesopotamia" kuwa "Dola ya Kiislam' nisome vizuri, nimeuliza maswali.
Nishindane nae ili iweje ?

Acha kukaa kihasara hasara
 
Nishindane nae ili iweje ?

Acha kukaa kihasara hasara

Ili sisi tupate kuelewa maana wewe na mleta mada mnaonesha mnaielewa "Dola ya Kiislam ya Mesopotamia" ambayo sisi wengine (hususan mimi) hatuielewi ndiyo maana nimeuliza maswali. Unaweza bishana na yeye siyo mimi, au msaidie kujibu maswali niliyouliza, la na wewe huelewi au huna majibu ya nilichokiuliza basi nnakushauri usiendelee kubishana na mimi kitu ambacho hukielewi na uwache mihemko ya kukurupuka.
 
Yule bibi kafika?

Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
 
Ili sisi tupate kuelewa maana wewe na mleta mada mnaonesha mnaielewa "Dola ya Kiislam ya Mesopotamia" ambayo sisi wengine (hususan mimi) hatuielewi ndiyo maana nimeuliza maswali. Unaweza bishana na yeye siyo mimi, au msaidie kujibu maswali niliyouliza, la na wewe huelewi au huna majibu ya nilichokiuliza basi nnakushauri usiendelee kubishana na mimi kitu ambacho hukielewi na uwache mihemko ya kukurupuka.
Niacha

Acha kukaa kihasara hasara
 
Bila shaka Mtoa mada alitaka kuongelea Ottoman Empire na sio utawala wa Mesopotamia.
 
Ndg km ilivo kivhwa cha nabari kwanini hii Dola Mesopotamia yenye nguvu kiuchumi, kijeshi, hivo, ilikuwa haina mpango wa kutwaa nchi za Africa kama sehemu ya Colon lake?

Sifa kubwa ya Waarabu ni waliijua vyema Africa kuliko Wazungu walivo dhani, licha ya kuzunguka miaka 400 Barani humu wakifanya Biashara ya Utumwa, na Pembe? Walijua Dola zipi za kienyeji zilikuwa hazishikiki.

Kinyume na Dola ya Kiislamu kutwaa Bara tajiri sana Duniani, kuanzia watu na vyote vilivyomo! zilikuja nchi za Ulaya zikagawana kiulaini kabisa, wakajikatia mapande as if hakukuwa na watu Barani Africa!

Kumbuka wakati wa kuligawa Africa, hapa kwetu Tanganyika kulikuwa na jumla ya watu laki nne tu (400,000) population wise! nchi km the United KIngdom of the Great Britain, Ufaransa, nk

Hawa walikuwa ni nchi maskini, sometimes kuliko Africa, waliwezaje kuingilia waarabu sehemu yao ya biashara bila kupingwa? Africa tena kiulaini kabisa.

Mpaka leo Ulaya inatawala Africa yote Kisiasa tokea Cairo mpaka Cape town! Mfaransa, na M-U/Kingdom, hawaingiliani, na wameshika Makoloni yao ni si kitoto!

Hili Dola la kiislamu je walikuwa vilaza kiasi kwamba hawakuona fursa, ya Madini na ardhi nzuri? au walipigwa kauzibe?

Je, kule Berlin conference sikuwahi kuona Taifa mojawapo la kiarabu lilioalikwa kuhudhuria! kwa nini? Urusi, Japan, China zilikuwa na nguvu kwa nini hazikualikwa?

Je, tunaweza kupinga maamuzi Batili yaliyotolewa kwenye mkutano ambao hata wawakilishi kutoka Africa hawakuwepo? Maamuzi ambayo mpaka leo yanatuathiri nchi zote za AFRICA kisiasa.

Kwa nini wa-Africa tusiwagomee Weupe? Hakuna kwenda, kula wala kununua kwao! Tupige kimya tu! naamini NGOs, AU, SADDC, ECOWAS nk zote zikiamua kuhamasisha inawezekana!
Mesopotamia haikuwa dola ya kiislamu mzee wangu, ilikuwa ni himaya ya wayunani miaka mingi sana kabla ya yesu. Ilikuja angushwa na Alexander the great na kuwa chini ya ya Wagiriki hadi eneo lile lilipokuja kuchukuliwa na warumi kabla uislamu haujaanza. Uislamu ulianza takriban miaka 300 baada ya ukristo ulioachwa na Yesu. Wakati huo hakukua na Mesopotamia tena kwani hata dola ya ugiriki nayo ilikuwa imeshaanguka na eneo lote kuwa liko chini ya Kaisari ambaye alikuwa mrumi; ndiyo maana Yesu alisema "Ya Kaisari mpe Kaisari....".
 
Mesopotamia haikuwa dola ya kiislamu mzee wangu, ilikuwa ni himaya ya wayunani miaka mingi sana kabla ya yesu. Ilikuja angushwa na Alexander the great na kuwa chini ya ya Wagiriki hadi eneo lile lilipokuja kuchukuliwa na warumi kabla uislamu haujaanza. Uislamu ulianza takriban miaka 300 baada ya ukristo ulioachwa na Yesu. Wakati huo hakukua na Mesopotamia tena kwani hata dola ya ugiriki nayo ilikuwa imeshaanguka na eneo lote kuwa liko chini ya Kaisari ambaye alikuwa mrumi; ndiyo maana Yesu alisema "Ya Kaisari mpe Kaisari....".
Yes nilisha rekebisha hapo awali ktk uzi huu na Faiza fox
 
Hata Roman empire haikutawala dunia na walimenyana Sana na wafaransa,Mongolia hakufika hata ulaya,british empire walijitahidi kidogo kufika Hadi Africa wakimenyana na wajerumani na pia wafaransa,
Otoman empire alitawala Asia na sehemu za Europe,akakwama romani empire,hakunaga dola ilitawala dunia nzima
Kama Mroma hakutawala dunia kwa nn dunia nzima tunaluga yenye mizizi ya kilatini
Warumi ndiyo watawala wa kwanza na wapekee duniani, hayo mapigano yameamza baadaye sana hukuKB na walimfanya kuachia baadhi ya maeneo
Ulaya, afrika na mashariki ya kati ilikuwa mali ya mrumi na ndiyo waliyotunga sheria za kutawala ardhi kwa kutumia uongoz

Mpaka leo warumi kwa kutumia maarifa ya waajemi tukawa na secularism kila mahali kwa busara ya kikristu
 
Roma hawakutawala dunia lkn maeneo waliyokuwepo walinyang'anya watu ardhi na kuweka katka himaya yao. Ndo maana historia inaeleza Zaid enclosure sysytem kuwahusu waroman zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alipofika Rome alikutana na upinzani gani ?
VITA kali sana na ya ajabu lizuka kwanza moto ulikuwa unatembea juu ya maji! na kuzomea km watu, so ukachoma mashua zooote walizokuja nazo! maadui wakashindwa kukimbia

wakaishiwa chakula cha akiba, na siraha wakaanza kuomba kuolewa, na maadui ...yaani wanaume wenzao wazima wazima. tangia hapo ushoga ukakua sana ya mnooo! mpaka leo!

huko nyuma wake zao wakawa wasagaji ratio ya me na ke ikawa kubwa mpaka leo ni ivo! uzunguni kote me wana sko sana haijalishi umri!
 
Back
Top Bottom