Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]Sisi ambao tunalipwa kwa dola ni full vicheko, tunaombea na izidi kupanda tu kila kukicha. Ni lazima ifike pahala tuheshimiane mtaani.
Vitu vingi tuna import, ikiwa ina maana ukitaka kwenda kunua vitu china, ili kupata kiwango kile kile cha dollar ambazo ulikuwa unatumia mfano kununua gari mwaka ambao dollar ilikuwa chini, itabidi utumie kiasi kikubwa cha pesa ya kitanzania hivyo ukishaleta hizo bidhaa itabidi uziuze kwa kiasi cha juu cha tshs hence mfumoko. mfano, mwaka juzi assume dollar ilikuwa 2300, leo dollar 2500, so mwaka juzi ulikuwa watumia 2300 kupata dollar moja ila mwaka huu unatumia 2500 kupata dollar 1, kuna ongezeko la 200. Hivyo ukitaka dollar 10000, mwaka juzi ungetumia milioni 23, ila mwaka huu utatumia milion 25, so vitu ambavyo mwaka juzi ulikuwa wavinunua kwa milioni 23, sasa unavinunua kwa miliioni 25, hivyo vikifika lazima uongeze bei kufidia ongezeko la dharama lililotokana na FX.Naombeni mtaalamu kidogo anieleweshe madhara ya hii kwenye bei ya vitu vya nje? Je dollar ikipanda ndo husababisha mfumko wa bei?
Hata sana same same hereSisi ambao tunalipwa kwa dola ni full vicheko, tunaombea na izidi kupanda tu kila kukicha. Ni lazima ifike pahala tuheshimiane mtaani.