Dola ya marekani inaanguka katika mikono ya Biden kama ccm ilivyotaka kuanguka 2015 katika mikono ya Kikwete

Dola ya marekani inaanguka katika mikono ya Biden kama ccm ilivyotaka kuanguka 2015 katika mikono ya Kikwete

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
images (14).jpeg


Salama wandugu,

Ikumbukwe Kwanza kwa Nini Dola ya marekani ina nguvu katika biashara ya kimataifa,
Katika ajenda za muasisi wa Taifa la marekani George Washington ya Kwanza ilikuwa kuifanya Dola kuwa na nguvu duniani yaani hata Kama wewe unataka kuuza viazi mbatata katika soko la dunia utauza kwa Dola ndivyo ilivyokuwa na ikafanikiwa.

Waarabu wanazalisha mafuta wakiingiza sokoni Bei ni kwa Dola hapa ndipo Gaddafi hakufanya pia na ikawa chuki.

Sasa kinachoendelea huko Russia ni mfano tu Dola na Euro zinashuka kwa Kasi ya 5G kutokana kuondolewa na Putin katika ununuzi wa mafuta tutarajie Hali kusambaa zaidi baada ya Vita kuisha anguko la Dola iliyoasisiwa na G Washington
 
View attachment 2292499




Salama wandugu
Ikumbukwe Kwanza kwa Nini Dola ya marekani ina nguvu katika biashara ya kimataifa ,
Katika ajenda za muasisi wa Taifa la marekani George Washington ya Kwanza ilikuwa kuifanya Dola kuwa na nguvu duniani yaani hata Kama wewe unataka kuuza viazi mbatata katika soko la dunia utauza kwa Dola ndivyo ilivyokuwa na ikafanikiwa.
Waarabu wanazalisha mafuta wakiingiza sokoni Bei ni kwa Dola hapa ndipo Gaddafi hakufanya pia na ikawa chuki, Sasa kinachoendelea huko Russia ni mfano tu Dola na Euro zinashuka kwa Kasi ya 5G kutokana kuondolewa na Putin katika ununuzi wa mafuta tutarajie Hali kusambaa zaidi baada ya Vita kuisha anguko la Dola iliyoasisiwa na G Washington
Katika historia ya hii dunia tumeona madola yakinyanyuka na kuanguka, ila kuwa na uhakika kuwa, bila vita ya moja kwa moja kati ya Marekani na haya mataifa makubwa, Marekani yupo sana kama super power, unaweza kuhesabu miaka hata 200.
 
DOLLAR HAIANGUKI LEO WALA KESHO BADO INA MUDA MREFU SANA WAKUENDELEA KUWA STRONG LABDA MPAKA PALE CHINA ATAKAPO KUWA SUPER POWER WAKILA KITU HAPA DUNIANI NDIPO DOLLAR ITAKAPO ANGUKA
 
Mzungumzie Washington kama mmojawapo wa ma genius walioipa Marekani katiba bora kuliko zote duniani ambayo imeweza kuyaweka mataifa 50 pamoja kama taifa moja kwa zaidi ya miaka 200.
View attachment 2292499




Salama wandugu
Ikumbukwe Kwanza kwa Nini Dola ya marekani ina nguvu katika biashara ya kimataifa ,
Katika ajenda za muasisi wa Taifa la marekani George Washington ya Kwanza ilikuwa kuifanya Dola kuwa na nguvu duniani yaani hata Kama wewe unataka kuuza viazi mbatata katika soko la dunia utauza kwa Dola ndivyo ilivyokuwa na ikafanikiwa.
Waarabu wanazalisha mafuta wakiingiza sokoni Bei ni kwa Dola hapa ndipo Gaddafi hakufanya pia na ikawa chuki, Sasa kinachoendelea huko Russia ni mfano tu Dola na Euro zinashuka kwa Kasi ya 5G kutokana kuondolewa na Putin katika ununuzi wa mafuta tutarajie Hali kusambaa zaidi baada ya Vita kuisha anguko la Dola iliyoasisiwa na G Washington
 
Mleta mada acha masihara ya kukuletea hatari!

CCM ni chama chenye historia yake iliyotukuka, kufananisha chama Hiki na fedha ya aina yoyote ni dhiaka ambayo haikubaliki kwa vipimo vya aina yoyote ile.

Mleta mada nakushauri usirudie Tena.
 
Vijana kwa kupenda kujipa moyo
Kwa hiyo hili wale wataalam wa Havard Business school hawafahamu ila wewe una jua
Taasisi zinazo husu masuala ya Fedha Us hawalioni hili ila wewe wa Mchamba wima tayari umesha lifanyia conclusion
Na bado ukipewa option ya kuchagua pa kwenda kati ya Us na Russia still uta chagua uko uko $ inapo anguka?
 
Vijana kwa kupenda kujipa moyo
Kwa hiyo hili wale wataalam wa Havard Business school hawafahamu ila wewe una jua
Taasisi zinazo husu masuala ya Fedha Us hawalioni hili ila wewe wa Mchamba wima tayari umesha lifanyia conclusion
Na bado ukipewa option ya kuchagua pa kwenda kati ya Us na Russia still uta chagua uko uko $ inapo anguka?
Siku hizi if imejaa vijana wasio na weledi kabisa mfano no huyu mtoa mada kashiba makande kaja kuhara humu
 
Vijana kwa kupenda kujipa moyo
Kwa hiyo hili wale wataalam wa Havard Business school hawafahamu ila wewe una jua
Taasisi zinazo husu masuala ya Fedha Us hawalioni hili ila wewe wa Mchamba wima tayari umesha lifanyia conclusion
Na bado ukipewa option ya kuchagua pa kwenda kati ya Us na Russia still uta chagua uko uko $ inapo anguka?
Kwani kuwa msomii ndio unajua Kila kitu?
 
Sio rahisi Kama tunavyodhani kuiangusha dolar ya USA.inahitaji nguvu ya ziada,maana hata wao USA wanajua fika wasipozichanga vizuri dola yao inakwenda kupotea ,ndio maana unawaona wanatafuta ushawishi wa mataifa dhidi ya Russia . japo ukweli ni kwamba nothing last forever!!
 
Back
Top Bottom