Na hii imeshuka kwa muda tu, itakuja kupanda tena.Angesema EURO ningemwelewa maana leo benk EURO ni kama inalingana na dola tuu.ila dola iko palepale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hii imeshuka kwa muda tu, itakuja kupanda tena.Angesema EURO ningemwelewa maana leo benk EURO ni kama inalingana na dola tuu.ila dola iko palepale
HahahahahhahaWewe hii miaka 200! Utakuwa kwayamasta wa jiwe peponi!
Ccm ipo na itaendelea kuwepo kwa sababu hakuna upinzani Bali Kuna Sacco's za wachumia tumboCcm iliangukaga kitambo muda huu wanategemea vyombo vya dola
Hata EURO awali ilikua zaidi ya dola MKUU yeye kaiona dolaAngesema EURO ningemwelewa maana leo benk EURO ni kama inalingana na dola tuu.ila dola iko palepale