Dola ya marekani inaanguka katika mikono ya Biden kama ccm ilivyotaka kuanguka 2015 katika mikono ya Kikwete

Nilitaka kuelewa imeangukaje maana fedha nyingi za fedha za madafu kuipata $ hela kidogo imeongezeka...kama hatuna mbinu ya kushusha bei ya mafuta anayopsndisha Waziri wa fedha kwa kutumia Ruzuku ya 100B huku kwingine tunakua tumevaa bukta kubwa hatukuwezi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…