Dollar yaanza kushuka kwa kasi

Dollar yaanza kushuka kwa kasi

Mkuu kenya msimu huu ana chai Uganda ana kahawa leta ya sehem.kama Zambia, Kongo na mozambique maana hawa kwa msimu huu ni kama hawakuwa na mazao
Wewe kwa akili yako chai na kahawa ndio imefanga kuwa na hilo poromoko? Kila mwaka mauzo ya kahawa Uganda yanaongezeka kwa nn hakukua na poromoko?

2020/21 Uganda waliexport kahawa ya thamani ya $550m+

But kwa 2022/23 thamani iliongezeka hadi $860m+. Hapo kwa nn dollar haikuporomoka ije iporomoke kwa ongezeko la kutoka $860m to $1.1b??
 
Kwa hivyo monetary policy za Tanzania imesababisha kushuka kwa thamani ya dollar?
Sasa tukuelewe kipi ni sahihi sera za TZ au sera za USA kushusha interest rate za mikopo?
Mbona statements zako zinaji contradict?
Ujinga unakusumbua wapi nimesema monetary policy za Tanzania zinashusha thamni ya dollar ebu nionyeshe
 
baada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Tukiwaambia Samia ni Mama wa Uchumi wa Tanzania muwe mnaelewa.

Na itashuka zaidi Hadi kuelekea mwezi wa 2 ndio inaweza simama kwanza ila kiangazi itashuka zaidi.

Habari njema Kwa Serikali hizi,deni la Taifa litapungua
 
baada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Machadema na Chawa wa Mwendazake Kwa Sasa wamekosa hoja za kumnanga Samia.

-Mafuta bei chee yanazidi kupungua
-Dola ziko bwerere , Shilingi inaimarika.
-Vyakula viko bwerere bei chee
-Umeme ni bwerere bei kitonga
-Biashara zinamiminika vyuma vimelegea

Kiufupi Mama amewakata mdomo 😂😂😂

Soma hapa Wale Waliokuwa Wanalalamika kuhusu Dola kwa sasa Wanaimba pambio gani tena?
 
baada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Au ile kitu inaitwa BRICS inafanya yake?
 
baada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Tusubiri kuna mtu atapongezwa muda si mrefu na mwingine atabubujikwa na machozi
CC Luka Mtakatifu wa Shamba
 
Machadema na Chawa wa Mwendazake Kwa Sasa wamekosa hoja za kumnanga Samia.

-Mafuta bei chee yanazidi kupungua
-Dola ziko bwerere , Shilingi inaimarika.
-Vyakula viko bwerere bei chee
-Umeme ni bwerere bei kitonga
-Biashara zinamiminika vyuma vimelegea

Kiufupi Mama amewakata mdomo 😂😂😂

Soma hapa Wale Waliokuwa Wanalalamika kuhusu Dola kwa sasa Wanaimba pambio gani tena?
Msikilize Ruto kuhusu kushuka kwa bei ya petroli, halafu ujitafakari!

View: https://youtu.be/pvchKykQv5M?si=m71s6wUMT9EvWEVx
 
Niliw
baada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Niliwaambia kuwa dr mwigulu nchemba ni mchumi nguli ndo mana samia hamgusi kabisa mana anamjua.. Ngoja ausuke uchumi
 
Heaabu ndogo sana Aliwapa Kaburu, park fee zote wana charge Tshs, Ukweli kwamba your tour operators wanapokea dollar, na sasa wanapaswa change to Tshs kulipa park fee which amounts to millions, dollar lazima iende chini
 
Back
Top Bottom