Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Instanbul......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kwa akili yako chai na kahawa ndio imefanga kuwa na hilo poromoko? Kila mwaka mauzo ya kahawa Uganda yanaongezeka kwa nn hakukua na poromoko?Mkuu kenya msimu huu ana chai Uganda ana kahawa leta ya sehem.kama Zambia, Kongo na mozambique maana hawa kwa msimu huu ni kama hawakuwa na mazao
Maaae nasubiri mpaka ipande sina njaa kihivyoUkonyaa
Ujinga unakusumbua wapi nimesema monetary policy za Tanzania zinashusha thamni ya dollar ebu nionyesheKwa hivyo monetary policy za Tanzania imesababisha kushuka kwa thamani ya dollar?
Sasa tukuelewe kipi ni sahihi sera za TZ au sera za USA kushusha interest rate za mikopo?
Mbona statements zako zinaji contradict?
DuhAcha uongo
U.s federal reseve alishusha interest rate ambayo iko 4.5
Bot hananguvu ya kucontrol soko la dollar acha uongo
Sidhani km Kuna mahali wamesema $ haipo strong point ni kuwa imeshuka kutoka ilikokuwa na sio kuwa eti imeteterekaMkuu wamatumbi hawawezi kukuelewa wao ni Mapambio tu...hawajuwi ndo wanazidi kudidimia Shimoni
Tukiwaambia Samia ni Mama wa Uchumi wa Tanzania muwe mnaelewa.baada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Machadema na Chawa wa Mwendazake Kwa Sasa wamekosa hoja za kumnanga Samia.baada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Imemshinda since alipoanza kimbizana na Putin badala yakukarabati miundombinu ya nchi yake iliozeeka anafadhili vita,maisha ya US nimgumu sn sema tu vyombo vyahabari wanavicontrol hawasemiBiden nchi imemshinda
Na sample noti ya BRICS tayari ushaprintiwaNi BRICS na dedollarization. Na bado watasema!
Hii inchi Ina safari ndefu sanaMachadema na Chawa wa Mwendazake Kwa Sasa wamekosa hoja za kumnanga Samia.
-Mafuta bei chee yanazidi kupungua
-Dola ziko bwerere , Shilingi inaimarika.
-Vyakula viko bwerere bei chee
-Umeme ni bwerere bei kitonga
-Biashara zinamiminika vyuma vimelegea
Kiufupi Mama amewakata mdomo 😂😂😂
Soma hapa Wale Waliokuwa Wanalalamika kuhusu Dola kwa sasa Wanaimba pambio gani tena?
Au ile kitu inaitwa BRICS inafanya yake?baada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Tusubiri kuna mtu atapongezwa muda si mrefu na mwingine atabubujikwa na machozibaada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Kwani Kuna Nchi Zina safari fupi?Hii inchi Ina safari ndefu sana
Msikilize Ruto kuhusu kushuka kwa bei ya petroli, halafu ujitafakari!Machadema na Chawa wa Mwendazake Kwa Sasa wamekosa hoja za kumnanga Samia.
-Mafuta bei chee yanazidi kupungua
-Dola ziko bwerere , Shilingi inaimarika.
-Vyakula viko bwerere bei chee
-Umeme ni bwerere bei kitonga
-Biashara zinamiminika vyuma vimelegea
Kiufupi Mama amewakata mdomo 😂😂😂
Soma hapa Wale Waliokuwa Wanalalamika kuhusu Dola kwa sasa Wanaimba pambio gani tena?
Haiwez panda tena😃Maaae nasubiri mpaka ipande sina njaa kihivyo
Niliwaambia kuwa dr mwigulu nchemba ni mchumi nguli ndo mana samia hamgusi kabisa mana anamjua.. Ngoja ausuke uchumibaada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze