Kwa kiwango gani mfano mwaka jana cashewut exportation. Haikuzidi 230000 tonnes ila mpaka leo 338,000 na bado Mirada inaendelea ,mwaka jana ufuta haukufika tone 150,000 mwaka huu ulidouble , mauzo ya dhahabu nayo yamedouble Sasa hata kama uliuza,uliuza kwa kiwango gani, some la uchumi sio unavyofikiria.
Unavyouza sana ndo pesa yako inavyopata dhamani hakuna mtu kakupangia dhaman ya pesa yako. Interest ya marekani imeleta mabadiliko kwa nchi zinazofanya exportation na zile ambazo ni kama hakuna export hakuna lililobadilika