Dollars zimekwenda wapi? Kwa Sasa inapatikana kimagendo bila connection hupati

Dollars zimekwenda wapi? Kwa Sasa inapatikana kimagendo bila connection hupati

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Kama kawaida yangu nikiwa na mdodoza mfanyabiashra tajiri mkubwa sna hapa Dodoma Ni mzee simple sna ukimuona huweZi dhani kuwa Ana pesa.

Basi kutoka na ninayoyaona hapa ndani ya nchi hii ikabidi nimdokeze baada ya kuona mzigo wake unakariibia kukata na mzigo huu unatoka Zambia kisha kwenda China kisha inarudi Afrika ikiwa na dhamani kubwa mno na mitaji ya kufanya biashara hyo lazima uwe vyema sana kimtaji. Basi nilimuuliza mzee itakuwa na nasikia dollars Ni adimu huu mzigo ukikata utanunua VIP.

Ndipo akanimbia kijana angu bishara bila connection ni kupiga mark time tu "alinieleza alisafiri hadi Arusha ndio akaenda akapata kwa mbinde tena mnakutana hotelini mnakabidhiana mzigo unamuachia madafu unapokea dollars Tena kwa Bei ya juu sana. Akasema tunakoelekea tutakamatwa na kupigwa kesi mbaya, anatamani aache hiyo biashara ya kuagiza mzigo China Ila akaona kiuchumi atadorora sana 😆

Akasema Dkt. Magufuli hakuwa mjinga kuwadhibiiti na kuvamia maduka ya kubadilisha fedha, aliona kuna uhuni mkubwa kwenye biashara hiyo ".

Dkt. Mwingulu Nchemba chukua hatua, Wizara imekushinda na wewe ndio tatizo linasemekana methods unazotumia kusimamia wizara zimefeli. Plz ondoka.
 
Theory za pale juu Mlimani zitaweza nini kwenye dunia ya sasa inayokwenda speed na kuendeshwa na watu wenye akili nyingi sana tena wakiwa na umri mdogo kabisa.

Mambo ya uchumi yanahitaji watu wenye exposure kubwa sana kuyarun sio hizi akili za UDSM na CCM.
Ofisi zote kuanzia Waziri, Naibu na Katibu mkuu wao plus watu wote walio kwenye ngazi yamaamuzi inayohusu uchumi lazima wawe na uzoefu kwenye uhalisia wa uchumi, wote wanapaswa kuwa wameshafanya kazi mpaka level ya UCEO na Directors kwenye taasisi mbalimbali duniani za biashara na Uchumi, Uzoefu huo uwe ni pamoja na kufanya kazi katika level ya maamuzi na kuwe na evidence za mafanikio kwenye hizo taasisi ulipokuwa kiongozi.

Hivi vyeo tunapeana kwa kuangalia CV yako umeshawahi kuhudumu CCM na UVCCM, au Kada mtiifu kwa fulani na fulani, au unaundugu/urafiki na fulani na fulani.
Tunashida ya Incompetency maeneo mengi na Transformation inahitajika sana ili kutoka hapo maana Incompetence ndio iko mahala na wahusika hawaamini katika hilo huku hawatambui kama duniani tunapima positive results ya kila unachokifanya.
 
Dollar ni changamoto kubwa kuna mdau anasema kama nchi tunanunua sana nje na kutumia Dolores mara dufu kuliko dollars zinazoingia nchini !!!
Toka Samia amechukuwa kijiti ni kila kitu kimefurugika Ana huruma Kia's kwamba watu hawamuogopi kbsaa ufidhi ninmkubwa magendo yamezid
 
U
Theory za pale juu Mlimani zitaweza nini kwenye dunia ya sasa inayokwenda speed na kuendeshwa na watu wenye akili nyingi sana tena wakiwa na umri mdogo kabisa.

Mambo ya uchumi yanahitaji watu wenye exposure kubwa sana kuyarun sio hizi akili za UDSM na CCM.
Ofisi zote kuanzia Waziri, Naibu na Katibu mkuu wao plus watu wote walio kwenye ngazi yamaamuzi inayohusu uchumi lazima wawe na uzoefu kwenye uhalisia wa uchumi, wote wanapaswa kuwa wameshafanya kazi mpaka level ya UCEO na Directors kwenye taasisi mbalimbali duniani za biashara na Uchumi, Uzoefu huo uwe ni pamoja na kufanya kazi katika level ya maamuzi na kuwe na evidence za mafanikio kwenye hizo taasisi ulipokuwa kiongozi.

Hivi vyeo tunapeana kwa kuangalia CV yako umeshawahi kuhudumu CCM na UVCCM, au Kada mtiifu kwa fulani na fulani, au unaundugu/urafiki na fulani na fulani.
Tunashida ya Incompetency maeneo mengi na Transformation inahitajika sana ili kutoka hapo maana Incompetence ndio iko mahala na wahusika hawaamini katika hilo huku hawatambui kama duniani tunapima positive results ya kila unachokifanya.
Umesema ukweli kabisa!
 
tunahitaji watu mahili wenye uzoefu na mafanikio kwenye nafasi walizowahi kuhudumu kiutendaji na kiutawala with clear evidence.

Mtu ambaye hajawahi kupata kazi kwa interview kadhaa kadhaa sehemu mbalimbali duniani na kufanya kazi sehemu mbalimbali duniani kwenye ngazi za kiutawala unategemea anaweza/wanaweza kufanya nini kwenye uchumi huu mfu ambao unahitaji mambo mengi
 
Kama kawaida yangu nikiwa na mdodoza mfanyabiashra tajiri mkubwa sna hapa Dodoma Ni mzee simple sna ukimuona huweZi dhani kuwa Ana pesa.

Basi kutoka na ninayo yaona Happ ndani ya nchi hi ikabidi nimdodoze baada ya kuona mzigo wake unakariibia kukata na mzigo huu unatoka Zambia kisha kwenda China kisha inarudi Afrika ikiwa na dhamani kubwa mno na mitaji ya kufanya biashara hyo lzm uwe vyema sana kimtaji. Bas nimuuliza mzee itakuwa na nasikiaa dollars Ni adimu huu mzigo ukikata utanunua VIP.

Ndipo akanimbia kijana angu bishara bila connection ni kupiga mark time tu "alinieleza alisafiri Hadi Arusha ndio akaenda akapata kwa mbinde tena mnakutana hotelin mnakabidhiana mzigo unamuachia madafu unapokea dollars Tena kwa Bei ya juu Sana akasema tunako elekea tutkamatwa na kupigwa kesi mbay anatamani aache hyo biashara ya kuagizaa mzigo china Ila akaona kiuchumi atadorora sana 😆

Akasema Dkt. Magufuli hakuwa mjinga kuwadhibiiti na kufamia maduka ya kubadilisha fedha aliona kuna uhuni mkubwa kwenye biashara hiyo ".

Dkt. Mwingulu Nchemba chukua hatua Wizara imekushinda na wewe ndio tatuzo linasemekana method unazotumia kusimmamia wizra zimefeli plz ondoka.
WAULIZE CCM WANASEMA MAMA ANAUPIGA MWINGI MIX NA MIKOPO
 
tunahitaji watu mahili wenye uzoefu na mafanikio kwenye nafasi walizowahi kuhudumu kiutendaji na kiutawala with clear evidence.

Mtu ambaye hajawahi kupata kazi kwa interview kadhaa kadhaa sehemu mbalimbali duniani na kufanya kazi sehemu mbalimbali duniani kwenye ngazi za kiutawala unategemea anaweza/wanaweza kufanya nini kwenye uchumi huu mfu ambao unahitaji mambo mengi
Naihurumiaa taifa letu Hili tunaongwa Kama maiti ,

Moi aliwai Seema Nyerere anaongoza maoti
 
Theory za pale juu Mlimani zitaweza nini kwenye dunia ya sasa inayokwenda speed na kuendeshwa na watu wenye akili nyingi sana tena wakiwa na umri mdogo kabisa.

Mambo ya uchumi yanahitaji watu wenye exposure kubwa sana kuyarun sio hizi akili za UDSM na CCM.
Ofisi zote kuanzia Waziri, Naibu na Katibu mkuu wao plus watu wote walio kwenye ngazi yamaamuzi inayohusu uchumi lazima wawe na uzoefu kwenye uhalisia wa uchumi, wote wanapaswa kuwa wameshafanya kazi mpaka level ya UCEO na Directors kwenye taasisi mbalimbali duniani za biashara na Uchumi, Uzoefu huo uwe ni pamoja na kufanya kazi katika level ya maamuzi na kuwe na evidence za mafanikio kwenye hizo taasisi ulipokuwa kiongozi.

Hivi vyeo tunapeana kwa kuangalia CV yako umeshawahi kuhudumu CCM na UVCCM, au Kada mtiifu kwa fulani na fulani, au unaundugu/urafiki na fulani na fulani.
Tunashida ya Incompetency maeneo mengi na Transformation inahitajika sana ili kutoka hapo maana Incompetence ndio iko mahala na wahusika hawaamini katika hilo huku hawatambui kama duniani tunapima positive results ya kila unachokifanya.
Wazee wa udsm na ifm [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na phd za kupewa bure
 
Theory za pale juu Mlimani zitaweza nini kwenye dunia ya sasa inayokwenda speed na kuendeshwa na watu wenye akili nyingi sana tena wakiwa na umri mdogo kabisa.

Mambo ya uchumi yanahitaji watu wenye exposure kubwa sana kuyarun sio hizi akili za UDSM na CCM.
Ofisi zote kuanzia Waziri, Naibu na Katibu mkuu wao plus watu wote walio kwenye ngazi yamaamuzi inayohusu uchumi lazima wawe na uzoefu kwenye uhalisia wa uchumi, wote wanapaswa kuwa wameshafanya kazi mpaka level ya UCEO na Directors kwenye taasisi mbalimbali duniani za biashara na Uchumi, Uzoefu huo uwe ni pamoja na kufanya kazi katika level ya maamuzi na kuwe na evidence za mafanikio kwenye hizo taasisi ulipokuwa kiongozi.

Hivi vyeo tunapeana kwa kuangalia CV yako umeshawahi kuhudumu CCM na UVCCM, au Kada mtiifu kwa fulani na fulani, au unaundugu/urafiki na fulani na fulani.
Tunashida ya Incompetency maeneo mengi na Transformation inahitajika sana ili kutoka hapo maana Incompetence ndio iko mahala na wahusika hawaamini katika hilo huku hawatambui kama duniani tunapima positive results ya kila unachokifanya.
Huu Ni ukweli na uhakika ,tbc ukweli na uhakika
 
Back
Top Bottom