Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ni Kenyatta Sr.Naihurumiaa taifa letu Hili tunaongwa Kama maiti ,
Moi aliwai Seema Nyerere anaongoza maoti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kenyatta Sr.Naihurumiaa taifa letu Hili tunaongwa Kama maiti ,
Moi aliwai Seema Nyerere anaongoza maoti
Namdodoza = ninamdodosa, dhamani = thamani.. wewe ni Dr wa kusomea darasani au Dr Manyaunyau?Kama kawaida yangu nikiwa na mdodoza mfanyabiashra tajiri mkubwa sna hapa Dodoma Ni mzee simple sna ukimuona huweZi dhani kuwa Ana pesa.
Basi kutoka na ninayo yaona Happ ndani ya nchi hi ikabidi nimdodoze baada ya kuona mzigo wake unakariibia kukata na mzigo huu unatoka Zambia kisha kwenda China kisha inarudi Afrika ikiwa na dhamani kubwa mno na mitaji ya kufanya biashara hyo lzm uwe vyema sana kimtaji. Bas nimuuliza mzee itakuwa na nasikiaa dollars Ni adimu huu mzigo ukikata utanunua VIP.
Ndipo akanimbia kijana angu bishara bila connection ni kupiga mark time tu "alinieleza alisafiri Hadi Arusha ndio akaenda akapata kwa mbinde tena mnakutana hotelin mnakabidhiana mzigo unamuachia madafu unapokea dollars Tena kwa Bei ya juu Sana akasema tunako elekea tutkamatwa na kupigwa kesi mbay anatamani aache hyo biashara ya kuagizaa mzigo china Ila akaona kiuchumi atadorora sana 😆
Akasema Dkt. Magufuli hakuwa mjinga kuwadhibiiti na kufamia maduka ya kubadilisha fedha aliona kuna uhuni mkubwa kwenye biashara hiyo ".
Dkt. Mwingulu Nchemba chukua hatua Wizara imekushinda na wewe ndio tatuzo linasemekana method unazotumia kusimmamia wizra zimefeli plz ondoka.
Ohh much thanksNi Kenyatta Sr.
Wesengee kweli nyie mijitu mnaaribu uchumi alfu tusiandika hat vibayaNamdodoza = ninamdodosa, dhamani = thamani.. wewe ni Dr wa kusomea darasani au Dr Manyaunyau?
Mkuu umeongea kitu cha msingi sana. Hua naangalia wakat mwingine spidi yenye kasi sana wanayoenda wengine huko duniani kwenye mambo haya ya uchumi, teknolojia,biashara, naona kabisa sisi hapa tunapiga marktime tu, watu wana plan ama kufanya vitu vya mwaka 2080 nimewaza kubadlisha uraia na kuishi nchi nyingine kuna namna ukikaa hapa akili inakua kama IMEDUMAA hivi unakua kama.mjinga jinga flan..Theory za pale juu Mlimani zitaweza nini kwenye dunia ya sasa inayokwenda speed na kuendeshwa na watu wenye akili nyingi sana tena wakiwa na umri mdogo kabisa.
Mambo ya uchumi yanahitaji watu wenye exposure kubwa sana kuyarun sio hizi akili za UDSM na CCM.
Ofisi zote kuanzia Waziri, Naibu na Katibu mkuu wao plus watu wote walio kwenye ngazi yamaamuzi inayohusu uchumi lazima wawe na uzoefu kwenye uhalisia wa uchumi, wote wanapaswa kuwa wameshafanya kazi mpaka level ya UCEO na Directors kwenye taasisi mbalimbali duniani za biashara na Uchumi, Uzoefu huo uwe ni pamoja na kufanya kazi katika level ya maamuzi na kuwe na evidence za mafanikio kwenye hizo taasisi ulipokuwa kiongozi.
Hivi vyeo tunapeana kwa kuangalia CV yako umeshawahi kuhudumu CCM na UVCCM, au Kada mtiifu kwa fulani na fulani, au unaundugu/urafiki na fulani na fulani.
Tunashida ya Incompetency maeneo mengi na Transformation inahitajika sana ili kutoka hapo maana Incompetence ndio iko mahala na wahusika hawaamini katika hilo huku hawatambui kama duniani tunapima positive results ya kila unachokifanya.
Acheni utapeli mafala nyie copper inakwenda nnje Sana na zambai na congo dollar haziadimikagi ,,mm nina taarifa kamil mkuuTatizo la dollar ni la nchi nyingi mno. Hata hapo Zambia wanapitia wakati mgumu kuhusu dollar. Lawama anazopewa Hichilema ni kama anazopewa Samia. Hakuna Rais aliyeingia madarakani baada ya Covid19 kuanza amewahi kupumzika.
Nakazia.Theory za pale juu Mlimani zitaweza nini kwenye dunia ya sasa inayokwenda speed na kuendeshwa na watu wenye akili nyingi sana tena wakiwa na umri mdogo kabisa.
Mambo ya uchumi yanahitaji watu wenye exposure kubwa sana kuyarun sio hizi akili za UDSM na CCM.
Ofisi zote kuanzia Waziri, Naibu na Katibu mkuu wao plus watu wote walio kwenye ngazi yamaamuzi inayohusu uchumi lazima wawe na uzoefu kwenye uhalisia wa uchumi, wote wanapaswa kuwa wameshafanya kazi mpaka level ya UCEO na Directors kwenye taasisi mbalimbali duniani za biashara na Uchumi, Uzoefu huo uwe ni pamoja na kufanya kazi katika level ya maamuzi na kuwe na evidence za mafanikio kwenye hizo taasisi ulipokuwa kiongozi.
Hivi vyeo tunapeana kwa kuangalia CV yako umeshawahi kuhudumu CCM na UVCCM, au Kada mtiifu kwa fulani na fulani, au unaundugu/urafiki na fulani na fulani.
Tunashida ya Incompetency maeneo mengi na Transformation inahitajika sana ili kutoka hapo maana Incompetence ndio iko mahala na wahusika hawaamini katika hilo huku hawatambui kama duniani tunapima positive results ya kila unachokifanya.
Aliyoridhishwa = aliyorithishwa. Kwanini usifanyie kazi kwanza huu ulemavu wako wa kushindwa kuandika kiswahili vizuri?Acheni utapeli mafala nyie copper inakwenda nnje Sana na zambai na congo dollar haziadimikagi ,,mm nina taarifa kamil mkuu
Acheni utapeli ni HV samia ameshindwa kazi aliyoridhishwa na CCM
Hafai kavuruga Sana nnch hi haijawi tokeaHuko
Sawa nitanyia Kaz vile mm cyo mtazania Hali like so came down nawazaidi mitazani mijinga jinga Kam weAliyoridhishwa = aliyorithishwa. Kwanini usifanyie kazi kwanza huu ulemavu wako wa kushindwa kuandika kiswahili vizuri?
Wewe si ni liccm amaNi kweli mkuu.
Dola zinauzwa kwa mchongo watu wanapigiana simu tu na kubadilishana maburungutu ya hela.
Central Bank inaloose control watu wapo maofisini wanapiga porojo tu na viongozi wetu wanakuja kutupiga sound kwamba kila kitu kinakwenda sawa.
Na bila magendo hutoboiNi hatari Sanaa magendo ndio connection zenywee
Waziri wa fedha kutokea mkoa wa singida 🤣Kama kawaida yangu nikiwa na mdodoza mfanyabiashra tajiri mkubwa sna hapa Dodoma Ni mzee simple sna ukimuona huweZi dhani kuwa Ana pesa.
Basi kutoka na ninayo yaona Happ ndani ya nchi hi ikabidi nimdodoze baada ya kuona mzigo wake unakariibia kukata na mzigo huu unatoka Zambia kisha kwenda China kisha inarudi Afrika ikiwa na dhamani kubwa mno na mitaji ya kufanya biashara hyo lzm uwe vyema sana kimtaji. Bas nimuuliza mzee itakuwa na nasikiaa dollars Ni adimu huu mzigo ukikata utanunua VIP.
Ndipo akanimbia kijana angu bishara bila connection ni kupiga mark time tu "alinieleza alisafiri Hadi Arusha ndio akaenda akapata kwa mbinde tena mnakutana hotelin mnakabidhiana mzigo unamuachia madafu unapokea dollars Tena kwa Bei ya juu Sana akasema tunako elekea tutkamatwa na kupigwa kesi mbay anatamani aache hyo biashara ya kuagizaa mzigo china Ila akaona kiuchumi atadorora sana 😆
Akasema Dkt. Magufuli hakuwa mjinga kuwadhibiiti na kufamia maduka ya kubadilisha fedha aliona kuna uhuni mkubwa kwenye biashara hiyo ".
Dkt. Mwingulu Nchemba chukua hatua Wizara imekushinda na wewe ndio tatuzo linasemekana method unazotumia kusimmamia wizra zimefeli plz ondoka.
Ndio maana tunahitaji viongozi wenye akili zisizo za kawaida ili kuweza kutusaidia kila kwenye ugumu kwa kutumia akili zao na maarifa yao na sio watu wenye akili za kawaida ambazo wengi wetu tunazo.Tatizo la dollar ni la nchi nyingi mno. Hata hapo Zambia wanapitia wakati mgumu kuhusu dollar. Lawama anazopewa Hichilema ni kama anazopewa Samia. Hakuna Rais aliyeingia madarakani baada ya Covid19 kuanza amewahi kupumzika.
Jamaa alinunusuru gari ya m 120 sijui katoa wapi hzo dollarsNi kweli mkuu.
Dola zinauzwa kwa mchongo watu wanapigiana simu tu na kubadilishana maburungutu ya hela.
Central Bank inaloose control watu wapo maofisini wanapiga porojo tu na viongozi wetu wanakuja kutupiga sound kwamba kila kitu kinakwenda sawa.