Dollars zimekwenda wapi? Kwa Sasa inapatikana kimagendo bila connection hupati

Dollars zimekwenda wapi? Kwa Sasa inapatikana kimagendo bila connection hupati

Ndio maana tunahitaji viongozi wenye akili zisizo za kawaida ili kuweza kutusaidia kila kwenye ugumu kwa kutumia akili zao na maarifa yao na sio watu wenye akili za kawaida ambazo wengi wetu tunazo.

Kiongozi anapaswa kuwa exception kwa kuja na solution pale ambapo akili zote zimeshindwa, na hili hufanyika kwa kutumia resources zilizokuwepo.

Haina maana yakuwa na viongozi kama na wao wanatoka mbele na kutuambia tatizo la Dola ni la dunia nzima na sio kuja na solution yakulimaliza na kulinda Taifa lako na crisis.
Raia anapolalamika kiongozi unapaswa kutoa solution na sio kulalamika.

Kwa sababu Zambia wana tatizo la Dola basi na Tanzania kuwa na tatizo hilo ni sawa, hapa ndio tunapaswa kuona umahili wa viongozi wetu ili tuwe na confidence na kujiona kweli tuko salama tutembee kifua mbele.

Akili iliyokomaa inapaswa kuja na suluhu madhubuti ya kila tatizo na sio blahblah na malalamishi kama ya watu wa kawaida, tunahitaji kuona maana ya kuwa na viongozi na tafsiri sahihi ya uongozi na sio blah blah defensive mechanism.
Unaposema viongozi wawe exceptional unadhani wanatoka mbinguni? Viongozi wote wametokana na sisi wenyewe. Hii nchi haiwezi enda mbele kama watu wapuuzi kama wewe mnajifanya hamuoni, hamsikii wala kuona kinachoendelea duniani.
 
Sa
Sawa nitanyia Kaz vile mm cyo mtazania Hali like so came down nawazaidi mitazani mijinga jinga Kam we
Yaani hapa umeandika kiburundi au? Kinachonikera huna hoja halafu hata huo ushuzi unaouandika unaandika kwa maandishi yenye makosa.
 
Acha uzushi,Dollars zilianza kuadimika kabla maduka ya Bureau de Change hayajafunguliwa tena,na ukata wa Dollars ndio umefanya Serikali kuruhusu tena maduka.
 
sababu kubwa ni ufisadi, serikali inakopa kwa dola, zikija nchini watu wanaiba na kuzirudisha nje kuficha!
 
Wabongo mnaagiza sana kuliko hata kuuza nje...midola mtapataje
Kingine nchi inakopaaa mikopo sana, na sijuwi kama wana mikakati kwenye matumizi ya pesa hizo za mikopo

Ova
 
Back
Top Bottom