Domant phone numbers wanazogawiwa wateja wapya

Domant phone numbers wanazogawiwa wateja wapya

Ina maana umeuziwa na magonjwa ya huyo aliekua na simu...kapime kabisa
 
Ifunge Ili Uepuke Kadhia
Ukiitupa Tu Kule Kwenye Usajili Inasoma Wewe
Ni kweli kuitupa kutaongeza ukubwa wa tatizo, irudishe makao makuu ya mtandao husika na pia toa ripoti kituo Cha polisi ili kuweka ushahidi mapema.
 
Kuna mtu alinitafuta sana nikamwambia Mimi sikujui ila alining'ang'ania sana kesho yake asubuhi akanitumia meseji akasema toka nje nipo hapa kwako nikamuuliza kwangu wapi? Daah mwishowe akaniambia malipo ni hapahapa.
Marcus ungetoka nje mkalipana[emoji23][emoji1787]
 
Hii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
  1. Ati nimetelekeza mimba
  2. Nimetelekeza watoto
  3. Nadaiwa ada za watoto
  4. Nakwepa kulipa kodi ya chumba
  5. Na meseji za mahusiano mapya nyingi
  6. Wanaume nao wananishambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
Warudishie line yao.Wakupe nyingine.
 
Nimemalizia tu kusajili laini ya 062 nashangaa lundo la meseji za namba tofauti tofauti sijakaa vizuri simu za wanawake wakilalamika hovyo kwamba nimewatupa siku nyingi mpaka ikawa kero.
 
Juzikati nipo pale G7 Kinyerezi akapita dogo anasajili laini. Nikakumbuka kurenew laini yangu ya Airtel, salaleee wameshaigawa.
Nikamwambia anisajilie nyingine. Anapigaga maza mmoja ye kila siku anaulizia hamjambo huko? Namwambia hatujambo.....baadae anauliza lakini mbona wewe sio mwenye simu. Mwenyewe yuko wapi. Namwambia umekosea namba. Ameshapiga kama mara 5 na haachi.

Juzi hapa nimetumiwa message, NIAMBIE WE MWANAMKE.....sikuijibu.
Leo tena imekuja nyingine MAMB....nikajua hawa madogo wanatongozana.
Ngoja niendelee nione itakavyokuwa.
 
Juzikati nipo pale G7 Kinyerezi akapita dogo anasajili laini. Nikakumbuka kurenew laini yangu ya Airtel, salaleee wameshaigawa.
Nikamwambia anisajilie nyingine. Anapigaga maza mmoja ye kila siku anaulizia hamjambo huko? Namwambia hatujambo.....baadae anauliza lakini mbona wewe sio mwenye simu. Mwenyewe yuko wapi. Namwambia umekosea namba. Ameshapiga kama mara 5 na haachi.

Juzi hapa nimetumiwa message, NIAMBIE WE MWANAMKE.....sikuijibu.
Leo tena imekuja nyingine MAMB....nikajua hawa madogo wanatongozana.
Ngoja niendelee nione itakavyokuwa.
[emoji3]mkuu hawajatuma hela
 
Sasa solution nini hapo..😥 tufanyaje.namba ndio ivo zinagawiwa.
 
Back
Top Bottom