Naona ni kazi ngumu sana kwa mtu mwenye akili kama mimi kubishana na lipumbavu. Kwani ni wapi nilipoandika kuwa Russia haipo Syria?
Hivi unajua kusoma kweli au unakimbilia tu kuandika ushuzi wako bila kuelewa kilichoandikwa? Nimekwambia kuwa ushirikiano wa Iran na Russia umesababisha Russia iungane na Iran kum support Assad ili kuulinda utawala wa kishia unaoongozwa na Assad pale Syria.
Najua lengo lako ni kutaka ionekane kuwa Iran haijamsaidia Assad, kitu ambacho kinafanya wafuatiliaji wa vita vya mashariki ya kati wakuone wewe kuwa ni mpumbavu zaidi. Pale mashariki ya kati popote ilipo shia ujue nyuma yake kuna Iran piga ua. Hakuna namna ambayo mtu anaweza kuutenganisha utawala unaoongozwa na mashia na Iran, Never. Mrusi anachofanya ni kuunganisha nguvu pale aliposimama Iran. Hapo chini nimekuwekea picha ya Syria pamoja na makundi yale yale niliyoyaandika hapo juu, ambayo yote kwa umoja wao yanapata support kutoka Iran.
Unajiaibisha dada yangu, jambo kama hulijui bora ukae kimya.