Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

Angeanza mudi kwanza kuacha ushoga kabla ya kufa
Ushoga unakusumbua unahangaika hapa kutengeneza majina, watu wengi wameisha kushtukia we ni wale mmezowea kuandamana Tela Aviv na bendera zenu 😄

Mtume Muhammad hataki certificate kutoka kwa watu kama nyie, inatosha wafuasi wake wanavyo mheshimu kwa adabu zake nzuri.

We nenda katege pesa Tel Aviv, chukua kopo lako wakalijaze huko.
 
Kila binadamu huwa anafikiri kumtawala mwingine ila uwezo tu ndo una limit Hilo.
Sasa ugali SI ndo unapunguza IQ?
Kuna jamii nyingi tu zinaishi kwa kushirikiana. Dunia ya sasa inaenda kwenye ushirikiano zaidi.

Inabidi uwe na motivation kutoka Afrika kwenye warm climate, mazao, matunda yanayojiotea, unaweza kulala nje kwenda kuhangaika kutawala sehemu kama Sweden, Russia baridi kali miezi tisa kwa mwaka au uende kutawala jangwa la Uarabuni. Hata hivyo nchi zacAfrika zimetawala ulaya, middle east, na zimefanya biashara kwa muda mrefu na dunia nzima kwa ujumla. Historia haijaanza baada ya utumwa na ukoloni.

Waisrael waliishi Misri miaka mingapi? Walipoingia ulikuwa ukoo mmoja walipoondoka baada ya miaka 400 walikuwa Taifa. Mansa Musa alikuwa anafanya biashara na nchi nyingi tu duniani. Wafuasi wa mwanzo wa Muhamad walipewa hifadhi ya ukimbizi Ethiopia. Tayari Ethiopia lilikuwa taifa kubwa, lenye nguvu lakini hawakuwa na mipango ya kutawala dunia au wazungu, waarabu wote.

Anyway hii topic ni kuhusu Trump tujikite hapa.
 
mi sina shida na huo ushoga maana sijui zaidi ya kuona matendo ya mudi na kunyonya ndimi na nyeti za al hassan 🤣
 
Mkuu umenena. Ukiwasikiliza wabongo wakifakamia mambo wasiyoyajua ni unaishia kucheka tu. Hawajui kwamba ushoga Marekani kwa watu wazima upo kisheria. Halafu kuna state laws ambazo zinaunga mkono mpaka watoto wa shule za sekondari kubadilisha jinsia, kutoa mimba bila ridhaa ya mzazi kisheria. Raisi Marekani hawezi badilisha sheria za serikali za mitaa bila ridhaa ya majimbo husika.
 
mi sina shida na huo ushoga maana sijui zaidi ya kuona matendo ya mudi na kunyonya ndimi na nyeti za al hassan 🤣
Munajisahau Sana wewe mchambia rungu aliewapa baraka na mukapokea baraka za kunyanduana jinsia moja ametolea wapi kama sio mchezo yenu nyie watu wa LGBTQ
 
Tunapoteza muda sana kufikiria kuhusu habari na mavi mavi,ipo hivi swala la ushoga Huwa linaambatana na mental illnesses,ili mwanamume awe shoga ni lazima awe na elements za upunguani
 
Hilo la Hali ya Hewa ndo likoje?
Sijalifuarilia kiundani!
Nisaidie!

Hayo anayopingana nayo unayaona?
Unafikiri kwann walitaka kumuua?

Sbb nilizonazo sijui ht nikieleza hapa utaelewa mkuu,ila ni mambo ya kiroho zaidi!
Rabbon hebu kuja hapa
Trump ni true believer,

Pamoja na ukorofi wake huku nje, mbele za Mungu ananyenyekea na anakiri kuwa Yesu ni Mungu na MWOKOZI.

Trump anapinga Hadi haya na vyakula la GMO, USHOGA na utoaji MIMBA, ilifika wakati ukihubiri hadharani, unafunguliwa kesi ikibidi unauwawa sababu ya ushetani ulivyokuwa umetamalaki kule, lakini under Trump, Mungu atarudishwa kutawala tena.

Ndani ya Trump Kuna huruma na Upendo wa Mungu ndani yake.

Sasa baada ya Haris kujitenga na Mungu akiungana na waabudu shetani, wasiotaka Ibada, watoaji MIMBA, christians waliungana kumpa kura Trump hata kama hawampendi ukorofi wake.

Mwisho wa siku, hata Daudi alikuwa na mapungufu yake kibinadamu lakini Moyo wake ulimpenda Mungu, ndivyo alivyo D Trump.

Angeshinda Haris, angeisaidia kuharakisha utawala Ule wa Serikali Moja na dini Moja ya kishetani, vita kuu nk nk nk lakini sasa jambo Hilo limesogezwa mbele Hadi amalize Proved
 
Sidhani kama ni kweli kwa sababu kati ya watu wanne maarufu waliokuwemo katika kamati yake ya ushindi Elon musk aliuwemo na pia Chris Jenner.Chris Jenner ni baba wa kambo wa Kim Kardashan aligeuza jinsia yake na sasa ni mwanamke lakini sauti ya kiume.Anavaa nguo za kike na ni mtu maarufu sana marekani.Inasemekana kati ya waliochangia mafanikio ya Trump kuingia madarakani huyu nae jike dume ni mmoja wao ! sasa hapo ndo nashindwa kumuelewa mleta mada !
 
Inasemekana...nani anasema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…