Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

Kuna mashoga humu wanachungulia tu na kukimbia .
Hakuna namna mjipange tu
Tunawaombea Yesu awasaidie mrudi kwenye Hali zenu acheni tuliozaliwa wanawake tuwe wanawake.

Tunajua hizo ni spirit zonazo oparates in higher levels of spiritual realm ila mkiamua Mungu awafungue huko inawezekana
You should question wanaume wanaowaacha na kutaka gays
 
Anyway.... Trump ni conservative na hakubaliani na sera za liberals kama haki za LGBTQ n.k....kwanini mmeangalia kipengele hicho tu kuhitimisha kuwa Trump ni mpango wa Mungu?....

Kuna mambo mengine mfano mabadiliko ya Hali ya hewa ambapo Trump na conservative wenzake hawaamini ukweli wake ila lipo hata sisi nchi tunazoendelea linatuathiri, vipi huyu chaguo la Mungu akatae kulinda mazingira?
Thank you but most of jf guys ain't ready to destroy their African homophobic illusion over the trumps matter
 
Anyway.... Trump ni conservative na hakubaliani na sera za liberals kama haki za LGBTQ n.k....kwanini mmeangalia kipengele hicho tu kuhitimisha kuwa Trump ni mpango wa Mungu?....

Kuna mambo mengine mfano mabadiliko ya Hali ya hewa ambapo Trump na conservative wenzake hawaamini ukweli wake ila lipo hata sisi nchi tunazoendelea linatuathiri, vipi huyu chaguo la Mungu akatae kulinda mazingira?
Kwànn Trump hakubalian na Mpango huo wa Mabadiliko ya hali ya hewa Licha ya kua unagusa Dunia nzima?.

Ndani ya mapendekezo yale, ni kua Dunia nzima ikubali kua Jumapili iwe siku ya mapumziko ambapo shughuli zote za kiuchumi Dunia yaan Viwanda n .k visizalishe Kila siku ya jumapili badala yake iwe siku ya Wanafamilia kukaa pamoja na kufurahia na Kumwabudu Mungu

Na Jumamos iwe siku pekee ya Shughuli za Upandaji miti yaan Green Saturday.

Ukisoma LAUDATO SI ( The Pope, The Environment, The Sunday Law ).

Ni inahitaji Dunia kuongozwa na Sera za RUMI / CATHOLIC.


NA HII TRUMP HAITAKI , NA NDIPO ULIPO MZOZO KATI YA TRUMP NA ROMAN CATHOLIC.

Kwa Ufupi, Nyuma ya mpango wa Mabadiliko ya hali ya Hewa, Kuna mpango wa Kishetani unaendelea.

Ingawa utabisha hapa.
 
Ilijengwa kwenye msingi wa Mungu hasa uhuru wa kuabudu na uhuru binafsi lakini hawakufuata sheria za Mungu kuhusu utumwa. Kwamba binadamu wote ni sawa.
USA ni moja ya mataifa yaliyokomesha biashara ya utumwa na ukoloni
 
Ndugu zangu, Sauti ya Kimamlaka anayotumia Donald Trump, ni lazima ukubaliane namimi kua, Mungu aliyanusuru Maisha yake Kwa Kazi maalumu.

Jamaa hata hajaapishwa, lakini tayari kaanza Kazi mara Moja.

Wale mashoga na mnaounga mkono Ushoga, na shughuli zoooooote za upuuzi wa aina hiyo ikiwemo pamoja na Utoani Mimba kiholela, kubadili jinsia, Sasa mtahamia Ulaya, Kinara US kaamua kua Mfuasi wa YESU KRISTO, MUNGU ANAYEISHI.


View: https://www.youtube.com/live/uCKUaJawPco?si=4v7YfpXtOO0N4ltJ

Waziri Dkt. Gwajima D sio dhambi kujifunza Kwa walioamua Kumlinda mtoto .

Embu tuzipitie Child protection policies za Warusi na Wachina .

Kama haitotosha tujifunze Kwa US Sasa chini ya Trump, nadhan Ile Presha tunayoiogopea Sasa haipo.

Katika Kumlinda mtoto , na vita dhidi ya LGBT , tushirikiane sekta zote.

Niligusia hapa Wakati tunapambana na Unyanyasaji wa kimwili dhidi wa watoto, mkumbusheni Waziri Gwajima, watoto hawako salama Mitandaoni

Aachane na hiyo kampuni kwani inasaidia kuweka mazingira katika hali ya usafi. Uzibuaji wa mitaro sio kazi ndogo.
 
USA ni moja ya mataifa yaliyokomesha biashara ya utumwa na ukoloni

Utumwa ni mfumo unaombagua mtu kutokana na rangi yake. Ukoloni ni nchi moja ku- dominate nyingine kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni.

Mnaambiwa mkubali LGBT, uuze kampuni zote muhimu kama Bandari, mbuga, madini, kuua au kuwaondoa viongozi wa nchi fulani nk. Sasa hivi hadi lugha, uvaaji nguo, chakula, muziki, vyombo vya habari, movies, unachoaangalia kwenye internet, elimu vyote, mikopo na mashari ya mikopo, mfumo wa siasa, ubinafshaji wa sekta zote muhimu na ubinafsi kwenye jamii vingi hivi vimeletwa kwetu na Mkoloni wa sasa, Empire ya sasa duniani.

Walikomeshaje utumwa na ukoloni?
 
Trump ni conservative and not religious. Personally napenda his movements but I hate the way black Africans treat him like a messiah sent by Jesus. The same guy who owned Miss Universe which paraded young ladies in bikinis ati leo awe the symbol of God in America? tumieni akili
Trump sio Messiah, ana mapungufu mengi tu. Ila ni bora kuliko alternative, ni bora kuliko Kamala Harris kwenye mambo mengi.
 
Kwa taarifa tu ni kwamba, Trump anatumiwa na Christian Evangelical Churches in USA ambao wamekuwa ndio uti wa mgongo wa ushindi wake ktk hizi chaguzi.

Taifa la Marekani liliasisiwa na makanisa haya ya kikristo ambayo yanaamini ktk biblia kwamba ndoa ni ya mume na mke tu na kwamba mtoto aliye tumboni hapaswi kuuliwa kwa namna yoyote ile.
 
Ni kuzidi kumwombea! Shetani hajapenda kabisa Trump awe Rais! Ndiyo maana kulifanyika majaribio ya kumwua,kumfungulia kesi za kila namba ili kumkwamisha asiingie ikulu,mwaka 2000 aliporwa ushindi.
Tusimsahau katika maombi!.
Nyakati hizi kuna vita vikali kati ya Msalaba wa Yesu na Shetani katika ulimwengu wa roho.
Na Wakristo tutumie kipindi hiki kujitaka!
Huwezi kujua baada ya miaka 4 ya utawala wa Trump kutatokea nini!

Mungu ni mkuu, Mweza wa yote. Tunalindwa na damu ya Yesu!
 
Anyway.... Trump ni conservative na hakubaliani na sera za liberals kama haki za LGBTQ n.k....kwanini mmeangalia kipengele hicho tu kuhitimisha kuwa Trump ni mpango wa Mungu?....

Kuna mambo mengine mfano mabadiliko ya Hali ya hewa ambapo Trump na conservative wenzake hawaamini ukweli wake ila lipo hata sisi nchi tunazoendelea linatuathiri, vipi huyu chaguo la Mungu akatae kulinda mazingira?
Hilo la Hali ya Hewa ndo likoje?
Sijalifuarilia kiundani!
Nisaidie!

Hayo anayopingana nayo unayaona?
Unafikiri kwann walitaka kumuua?

Sbb nilizonazo sijui ht nikieleza hapa utaelewa mkuu,ila ni mambo ya kiroho zaidi!
Rabbon hebu kuja hapa
 
Utumwa ni mfumo unaombagua mtu kutokana na rangi yake. Ukoloni ni nchi moja ku- dominate nyingine kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni.

Mnaambiwa mkubali LGBT, uuze kampuni zote muhimu kama Bandari, mbuga, madini, kuua au kuwaondoa viongozi wa nchi fulani nk. Sasa hivi hadi lugha, uvaaji nguo, chakula, muziki, vyombo vya habari, movies, unachoaangalia kwenye internet, elimu vyote, mikopo na mashari ya mikopo, mfumo wa siasa, ubinafshaji wa sekta zote muhimu na ubinafsi kwenye jamii vingi hivi vimeletwa kwetu na Mkoloni wa sasa, Empire ya sasa duniani.

Walikomeshaje utumwa na ukoloni?
Sasa kwanini hawakuwa na IQ ya kwenda kuwatawala wazungu wakati walikuwa hawali ugali?
 
Ushoga hauwezi kuisha America mpaa America isiwe inachukua amri kutoka Tela Aviv.
 
Lakini wakati huohuo swahiba zake Israel ni wadau wakuu wa Lgbtq hatagombana nao? Vinginevyo nasimama na mnyampala Trump mkali wao
 
Kwa akili yako unafikiri kila mtu anafikiria kumtawala mwingine. Ugali unaingiaje hapa?
Kila binadamu huwa anafikiri kumtawala mwingine ila uwezo tu ndo una limit Hilo.
Sasa ugali SI ndo unapunguza IQ?
 
Kwànn Trump hakubalian na Mpango huo wa Mabadiliko ya hali ya hewa Licha ya kua unagusa Dunia nzima?.

Ndani ya mapendekezo yale, ni kua Dunia nzima ikubali kua Jumapili iwe siku ya mapumziko ambapo shughuli zote za kiuchumi Dunia yaan Viwanda n .k visizalishe Kila siku ya jumapili badala yake iwe siku ya Wanafamilia kukaa pamoja na kufurahia na Kumwabudu Mungu

Na Jumamos iwe siku pekee ya Shughuli za Upandaji miti yaan Green Saturday.

Ukisoma LAUDATO SI ( The Pope, The Environment, The Sunday Law ).

Ni inahitaji Dunia kuongozwa na Sera za RUMI / CATHOLIC.


NA HII TRUMP HAITAKI , NA NDIPO ULIPO MZOZO KATI YA TRUMP NA ROMAN CATHOLIC.

Kwa Ufupi, Nyuma ya mpango wa Mabadiliko ya hali ya Hewa, Kuna mpango wa Kishetani unaendelea.

Ingawa utabisha hapa.
Mzozo kati ya trump na katholic ulishakufa
 
Back
Top Bottom