Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mashoga watapinga na kumind, zingatia comment zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashoga watapinga na kumind, zingatia comment zao.
Ngoja yaje mabwabwa ya JF yaanze kukupinga. Yatakuambia kuwa Marekani ni kitu cha kawaida kufir-wa na Trump hatafanya kitu
Trump alikuwa ana"deal" na hawa magasho kwa akili, angalau alifanikiwa kupata leverage. Amepata alichokipata then anarudi kwenye uhalisia wake
Kura tunapokea tu hata za wahamiaji haramu wa KiAfrika na WaArabu ila tukishachukua kiti tunatimua wote. Mlidhani mzee anatania kwenye kampeni🤣
Trump si mjinga ni mtu wa fursa, kama unaona asilimia kubwa ya watu wanasapoti ugasho na unawataka kama njia ya kuupata U-Rais unaweza shindwa kuwaonesha hypocritical support?Kushika bendera bado sio hoja Kwamba anaunga mkono,
Kushika bendera hiyo maana yake ana heshimu machaguo ya wengine.
Kwa Kama unakumbuka ni kwamba Trump alivyokuwa Rais kwa mara ya kwanza alifuta bajeti ya Kubadili jinsia jeshini kwa nini?
Trump alikuwa ana"deal" na hawa magasho kwa akili, angalau alifanikiwa kupata leverage. Amepata alichokipata then anarudi kwenye uhalisia wake
Trump si mjinga ni mtu wa fursa, kama unaona asilimia kubwa ya watu wanasapoti ugasho na unawataka kama njia ya kuupata U-Rais unaweza shindwa kuwaonesha hypocritical support?
Study your rival, keep him close. You don 't get to study what you don 't have access to.
Study your rival, keep him close. You don 't get to study what you don 't have access to.
Ndugu zangu, Sauti ya Kimamlaka anayotumia Donald Trump, ni lazima ukubaliane namimi kua, Mungu aliyanusuru Maisha yake Kwa Kazi maalumu.
Jamaa hata hajaapishwa, lakini tayari kaanza Kazi mara Moja.
Wale mashoga na mnaounga mkono Ushoga, na shughuli zoooooote za upuuzi wa aina hiyo ikiwemo pamoja na Utoani Mimba kiholela, kubadili jinsia, Sasa mtahamia Ulaya, Kinara US kaamua kua Mfuasi wa YESU KRISTO, MUNGU ANAYEISHI.
View: https://www.youtube.com/live/uCKUaJawPco?si=4v7YfpXtOO0N4ltJ
Waziri Dkt. Gwajima D sio dhambi kujifunza Kwa walioamua Kumlinda mtoto .
Embu tuzipitie Child protection policies za Warusi na Wachina .
Kama haitotosha tujifunze Kwa US Sasa chini ya Trump, nadhan Ile Presha tunayoiogopea Sasa haipo.
Katika Kumlinda mtoto , na vita dhidi ya LGBT , tushirikiane sekta zote.
Niligusia hapa Wakati tunapambana na Unyanyasaji wa kimwili dhidi wa watoto, mkumbusheni Waziri Gwajima, watoto hawako salama Mitandaoni
Rudia reply yangu. Una 'quote' kila muda, watu wanaapa mbele ya wachungaji kuwa watakuwa mwili mmoja na wana-cheat, je, hii issue ya kukuteua cheo ambacho unaweza kupokonywa muda wowote unaona ni kitu solid?
Yoda amekaza kichwa kitambo achana naeBado huhajenga hoja, ni msimamo wa Republican, Hao ni dissenting members, na Trump aliwahi kusema ana heshimu machaguo ya wengine lakini msimamo wake ni NO kuhusu LGBT
Nyie ndo mnaotaka kubadilisha nyeusi iwe kijani.Wale sio waarabu ni wazungu wenzio waangalie vizuri waliweka vili ili muone waarabu pia wanadai wahalalishiwe hiyo ni propaganda za kimagharibi walijua wapo watu kama nyie mutawakubalia propaganda zao ila nakupa pole maana ndio uwezo wako wa kuona
Eeeh na hao piaBdo wale wachungaji wanaolawiti watoto huko Vatican
AstakafirwaAllah!!wakarifane macca
Dah,Oyaa jamani hivi mnafatilia hii speech??.
Jamaa anasema kuanzia Sasa, Marekan itatambua Jinsia mbili tu ambayo ni Ke na Me, na ambazo hutambulika mara tu ya kuzaliwa 🤣🤣🤣🤣
Woyooooooo
Masonic agendas + Global population control. Gay never reproduce so more gays = more control over population increase.I wanda!
Na kwanini wanalazimisha ionekane kawaida? Sio kawaida and that’s that!
Trump ni conservative and not religious. Personally napenda his movements but I hate the way black Africans treat him like a messiah sent by Jesus. The same guy who owned Miss Universe which paraded young ladies in bikinis ati leo awe the symbol of God in America? tumieni akiliTumuombee Mungu amlinde