Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekani kama walishindwa kumuuwa before hawataweza tenaAtafia madarakani
ALie mpiga injili trump apewe maua yake😅Safi sana Donald...........nimeona X huko,huyu jamaa hapendwi kwasababu ni mcha Mungu na anasema ukweli kwa lugha ngumu tena ya kuudhi...........
wakarifane maccaDah sasa waarabu walokuwa wanakimbilia USA ili wakaf!rane wataenda wapi sasa?
Ujue JPM alipambana sana, sasa yupo wapi? Kuthubutu sio mchezo!!Sawasawa
LISu wamarekani huyuSafi sana Donald...........nimeona X huko,huyu jamaa hapendwi kwasababu ni mcha Mungu na anasema ukweli kwa lugha ngumu tena ya kuudhi...........
Ni hayo hayo nayosema ma bara ya ulaya uchafu mwingi ndio unakoanzia ulishasikia vimbunga kwa nchi za Africa kama vinavyotekea huko ulaya?Vipi tetemeko lililotokea Uturuki likaua watu 55,000 na Syria watu 5,000 mwaka jana??
Hao ni dissenting members, ambao wanakwenda kinyume na msimamo rasmi wa wana Republican, Ila msimamo wa chama ni kupinga mambo ya lgttq
Haya mawazo nilikuwaga nayo zamani.Kwakweli Bora afanye hvyo tu maana wanaume tulishaanza kubaki wachache na mwishowe wanawake wawe wengi wawe wanaanza kutubaka mpk tufe na Dunia ibaki Yao waanze kusagana wenyewe Kwa wenyewe na kuanza kuambukizana maradhi ya ajabu na kufu km kuku wenye mdondo na kuteketea wt na Dunia kubaki msitu....
Ndugu zangu, Sauti ya Kimamlaka anayotumia Donald Trump, ni lazima ukubaliane namimi kua, Mungu aliyanusuru Maisha yake Kwa Kazi maalumu.
Jamaa hata hajaapishwa, lakini tayari kaanza Kazi mara Moja.
Wale mashoga na mnaounga mkono Ushoga, na shughuli zoooooote za upuuzi wa aina hiyo ikiwemo pamoja na Utoani Mimba kiholela, kubadili jinsia, Sasa mtahamia Ulaya, Kinara US kaamua kua Mfuasi wa YESU KRISTO, MUNGU ANAYEISHI.
View: https://www.youtube.com/live/uCKUaJawPco?si=4v7YfpXtOO0N4ltJ
Waziri Dkt. Gwajima D sio dhambi kujifunza Kwa walioamua Kumlinda mtoto .
Embu tuzipitie Child protection policies za Warusi na Wachina .
Kama haitotosha tujifunze Kwa US Sasa chini ya Trump, nadhan Ile Presha tunayoiogopea Sasa haipo.
Katika Kumlinda mtoto , na vita dhidi ya LGBT , tushirikiane sekta zote.
Niligusia hapa Wakati tunapambana na Unyanyasaji wa kimwili dhidi wa watoto, mkumbusheni Waziri Gwajima, watoto hawako salama Mitandaoni
Hao ni dissenting members, ambao wanakwenda kinyume na msimamo rasmi wa wana Republican, Ila msimamo wa chama ni kupinga mambo ya lgttq
Bado huhajenga hoja, ni msimamo wa Republican, Hao ni dissenting members, na Trump aliwahi kusema ana heshimu machaguo ya wengine lakini msimamo wake ni NO kuhusu LGBT
Bado huhajenga hoja, ni msimamo wa Republican, Hao ni dissenting members, na Trump aliwahi kusema ana heshimu machaguo ya wengine lakini msimamo wake ni NO kuhusu LGBT
Kushika bendera bado sio hoja Kwamba anaunga mkono,
Kubadili jinsia na suala tofauti na ushoga, mashoga hawabadili jinsia.Kushika bendera bado sio hoja Kwamba anaunga mkono,
Kushika bendera hiyo maana yake ana heshimu machaguo ya wengine.
Kwa Kama unakumbuka ni kwamba Trump alivyokuwa Rais kwa mara ya kwanza alifuta bajeti ya Kubadili jinsia jeshini kwa nini?