Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

20241110_123141.jpg
 
Vipi tetemeko lililotokea Uturuki likaua watu 55,000 na Syria watu 5,000 mwaka jana??
Ni hayo hayo nayosema ma bara ya ulaya uchafu mwingi ndio unakoanzia ulishasikia vimbunga kwa nchi za Africa kama vinavyotekea huko ulaya?
 
Kwakweli Bora afanye hvyo tu maana wanaume tulishaanza kubaki wachache na mwishowe wanawake wawe wengi wawe wanaanza kutubaka mpk tufe na Dunia ibaki Yao waanze kusagana wenyewe Kwa wenyewe na kuanza kuambukizana maradhi ya ajabu na kufu km kuku wenye mdondo na kuteketea wt na Dunia kubaki msitu....
Haya mawazo nilikuwaga nayo zamani.

Kumbe sipo peke yangu.
 
Ndugu zangu, Sauti ya Kimamlaka anayotumia Donald Trump, ni lazima ukubaliane namimi kua, Mungu aliyanusuru Maisha yake Kwa Kazi maalumu.

Jamaa hata hajaapishwa, lakini tayari kaanza Kazi mara Moja.

Wale mashoga na mnaounga mkono Ushoga, na shughuli zoooooote za upuuzi wa aina hiyo ikiwemo pamoja na Utoani Mimba kiholela, kubadili jinsia, Sasa mtahamia Ulaya, Kinara US kaamua kua Mfuasi wa YESU KRISTO, MUNGU ANAYEISHI.


View: https://www.youtube.com/live/uCKUaJawPco?si=4v7YfpXtOO0N4ltJ

Waziri Dkt. Gwajima D sio dhambi kujifunza Kwa walioamua Kumlinda mtoto .

Embu tuzipitie Child protection policies za Warusi na Wachina .

Kama haitotosha tujifunze Kwa US Sasa chini ya Trump, nadhan Ile Presha tunayoiogopea Sasa haipo.

Katika Kumlinda mtoto , na vita dhidi ya LGBT , tushirikiane sekta zote.

Niligusia hapa Wakati tunapambana na Unyanyasaji wa kimwili dhidi wa watoto, mkumbusheni Waziri Gwajima, watoto hawako salama Mitandaoni

Hujambo? Ahsante Sana kwa maoni yako. Ukweli hawako salama, awali tulisema hakuna Sheria, Sheria ikatungwa, watu baadhi wanavunja, nikaanza kuwaelimisha kuhusu sheria kuwa tutachukua hatua, baadhi ya watu wakaanza kusema ona waziri haoni kazi za kufanya anakuja kukimbizana na watu online.

Kuna wakati jamii yetu tuwe tunaamua tunachotaka kwa dhati, Ili kikitekelezwa, tusirudishe nyuma utekelezaji Bali tushirikiane.

Hata hivyo, sijarudi nyuma, naendelea kushirikiana na wizara husika za kisekta kwenye safari hii inayohitaji elimu kwa umma na hatua kwa wasiosikia na kufanya yanayostahili.

Aidha, Februari mwaka huu, tulizindua kampeni ya wadau wote kuhusu child online protection (COP). Tutaandaa mkutano online, tutaomba Jukwaa hili la JF na majukwaa mengine, Ili tutoe taarifa na tusikie maoni yenu ya kuboresha kama ni Sheria au usimamizi wa sheria au mabadiliko ya sera, mikakati na Sheria.

Nakushukuru Sana
 
Mashoga watapinga na kumind, zingatia comment zao.
 
Kuna mtangazaji nchini Uganda anayefahamika kwa jina la Simon Kaggwa, msemo wake maarufu ni huu "Are you gay?" akiuliza swali kwa mmoja wa mtu aliyekuwa akimhoji ambae alikuwa akipambania haki za LGBTQA+
Jambo la ajabu ni kwamba, kwasasa huyu Simon Kaggwa anatumika kutangaza contents za kishoga.

Carlos The Jackal , unapozidi kuandika kuhusu ushoga na mashoga unaendelea kuwapa matangazo ya bure na kuzidi kuwapa airtime hawa watu.

You are better than that!
1000000497.jpg
 
Kushika bendera bado sio hoja Kwamba anaunga mkono,
Kushika bendera hiyo maana yake ana heshimu machaguo ya wengine.
Kwa Kama unakumbuka ni kwamba Trump alivyokuwa Rais kwa mara ya kwanza alifuta bajeti ya Kubadili jinsia jeshini kwa nini?
Kubadili jinsia na suala tofauti na ushoga, mashoga hawabadili jinsia.
 
Back
Top Bottom