Casio
JF-Expert Member
- Oct 13, 2023
- 345
- 389
Wewe sio Mungu, uovu hautasimama mileleAtafia madarakani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sio Mungu, uovu hautasimama mileleAtafia madarakani
Trump kufia madarakani inawezekana hata bila kuhujumiwa kwa mambo ya kawaida ya kiafya tu.Atafia madarakani
Wee fanya kuwapumzisha wenzako bana...Tena watu kama nyie mnakuwaga na maduara matamu balaa.
Trump anabweka tu, nchi ina misingi ile sio kama Tanganyika ambapo Rais akibweka wote mnabana makalio mnajikunyaNTA.
Kule kuna MISINGI, hata akibweka hafurukuti popote. Akizidisha sana makelele anang'olewa tu au wanamnyoa lile WIGI lake la bei chee.
Cc: DR Mambo Jambo Poor Brain Mzee wa kupambania
Kwa hiyo kuliwa vinyeo kutaendelea kama kawaTena watu kama nyie mnakuwaga na maduara matamu balaa.
Trump anabweka tu, nchi ina misingi ile sio kama Tanganyika ambapo Rais akibweka wote mnabana makalio mnajikunyaNTA.
Kule kuna MISINGI, hata akibweka hafurukuti popote. Akizidisha sana makelele anang'olewa tu au wanamnyoa lile WIGI lake la bei chee.
Cc: DR Mambo Jambo Poor Brain Mzee wa kupambania
Kama kawa shekhee 😂😂 ni mwendo wa kubomolewa tuKwa hiyo kuliwa vinyeo kutaendreea kama kawa
Wee fanya kuwapumzisha wenzako bana...
Sasa dr mambo amefikaje hapo 😂😂😂😂
Ndugu zangu, Sauti ya Kimamlaka anayotumia Donald Trump, ni lazima ukubaliane namimi kua, Mungu aliyanusuru Maisha yake Kwa Kazi maalumu.
Jamaa hata hajaapishwa, lakini tayari kaanza Kazi mara Moja.
Wale mashoga na mnaounga mkono Ushoga, na shughuli zoooooote za upuuzi wa aina hiyo ikiwemo pamoja na Utoani Mimba kiholela, kubadili jinsia, Sasa mtahamia Ulaya, Kinara US kaamua kua Mfuasi wa YESU KRISTO, MUNGU ANAYEISHI.
View: https://www.youtube.com/live/uCKUaJawPco?si=4v7YfpXtOO0N4ltJ
Waziri Dkt. Gwajima D sio dhambi kujifunza Kwa walioamua Kumlinda mtoto .
Embu tuzipitie Child protection policies za Warusi na Wachina .
Kama haitotosha tujifunze Kwa US Sasa chini ya Trump, nadhan Ile Presha tunayoiogopea Sasa haipo.
Katika Kumlinda mtoto , na vita dhidi ya LGBT , tushirikiane sekta zote.
Niligusia hapa Wakati tunapambana na Unyanyasaji wa kimwili dhidi wa watoto, mkumbusheni Waziri Gwajima, watoto hawako salama Mitandaoni
Kwamba Trump mcha mungu!!?Safi sana Donald...........nimeona X huko,huyu jamaa hapendwi kwasababu ni mcha Mungu na anasema ukweli kwa lugha ngumu tena ya kuudhi...........
Hakika, tutamuombea kwa nguvu sana, shetani ashindwe "kwa Jina la Yesu"Mungu huinua wachache kulitunza neno lake! Kwa msimamo huu tu, umaarufu wa huyu mwamba umepanda ghafla duniani kote.
kwani wewe uchaMungu huwa unaupimaje? kuyakataa matendo ya giza ya shetani ni sehemu ya uchaMungu (kama hayo ma LGBTQ)Kwamba Trump mcha mungu!!?
Yuko Mungu Aliye hai awalindaye watu wake! Yuko Niko ambaye Niko, Yehova YWHWMwamba awe makini bila hivyo anaweza potea mapema
subiri uone. kama wewe ni mdau, jipange.Kwani Trump atafanya nini kuzuia ushoga?
Ndiyo tabia zako hizoVita alyoianza trump n nzito mno ni Mungu tu amsaidie
Bdo wale wachungaji wanaolawiti watoto huko VaticanDah sasa waarabu walokuwa wanakimbilia USA ili wakaf!rane wataenda wapi sasa?
Wewe na wenzako mnapenda lakini, waliomchagua wanampenda,Safi sana Donald...........nimeona X huko,huyu jamaa hapendwi kwasababu ni mcha Mungu na anasema ukweli kwa lugha ngumu tena ya kuudhi...........