Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

Tena watu kama nyie mnakuwaga na maduara matamu balaa.

Trump anabweka tu, nchi ina misingi ile sio kama Tanganyika ambapo Rais akibweka wote mnabana makalio mnajikunyaNTA.

Kule kuna MISINGI, hata akibweka hafurukuti popote. Akizidisha sana makelele anang'olewa tu au wanamnyoa lile WIGI lake la bei chee.

Cc: DR Mambo Jambo Poor Brain Mzee wa kupambania
Wee fanya kuwapumzisha wenzako bana...
Sasa dr mambo amefikaje hapo 😂😂😂😂
 
Tena watu kama nyie mnakuwaga na maduara matamu balaa.

Trump anabweka tu, nchi ina misingi ile sio kama Tanganyika ambapo Rais akibweka wote mnabana makalio mnajikunyaNTA.

Kule kuna MISINGI, hata akibweka hafurukuti popote. Akizidisha sana makelele anang'olewa tu au wanamnyoa lile WIGI lake la bei chee.

Cc: DR Mambo Jambo Poor Brain Mzee wa kupambania
Kwa hiyo kuliwa vinyeo kutaendelea kama kawa
 
Ndugu zangu, Sauti ya Kimamlaka anayotumia Donald Trump, ni lazima ukubaliane namimi kua, Mungu aliyanusuru Maisha yake Kwa Kazi maalumu.

Jamaa hata hajaapishwa, lakini tayari kaanza Kazi mara Moja.

Wale mashoga na mnaounga mkono Ushoga, na shughuli zoooooote za upuuzi wa aina hiyo ikiwemo pamoja na Utoani Mimba kiholela, kubadili jinsia, Sasa mtahamia Ulaya, Kinara US kaamua kua Mfuasi wa YESU KRISTO, MUNGU ANAYEISHI.


View: https://www.youtube.com/live/uCKUaJawPco?si=4v7YfpXtOO0N4ltJ

Waziri Dkt. Gwajima D sio dhambi kujifunza Kwa walioamua Kumlinda mtoto .

Embu tuzipitie Child protection policies za Warusi na Wachina .

Kama haitotosha tujifunze Kwa US Sasa chini ya Trump, nadhan Ile Presha tunayoiogopea Sasa haipo.

Katika Kumlinda mtoto , na vita dhidi ya LGBT , tushirikiane sekta zote.

Niligusia hapa Wakati tunapambana na Unyanyasaji wa kimwili dhidi wa watoto, mkumbusheni Waziri Gwajima, watoto hawako salama Mitandaoni


Americans wamejishtukia kuwa wanachemka kupambania haki za LGBTQ.

Ushindi wa Donald Trump ni kwamba wanakubaliana na kuwa ushoga na LGBTQ agenda ni wrong. Maana ameongea kufuta huu ujinga karibu miaka miwili kabla uchaguzi.
 
Ni kuzidi kumwombea! Shetani hajapenda kabisa Trump awe Rais! Ndiyo maana kulifanyika majaribio ya kumwua,kumfungulia kesi za kila namba ili kumkwamisha asiingie ikulu,mwaka 2000 aliporwa ushindi.
Tusimsahau katika maombi!.
Nyakati hizi kuna vita vikali kati ya Msalaba wa Yesu na Shetani katika ulimwengu wa roho.
Na Wakristo tutumie kipindi hiki kujitaka!
Huwezi kujua baada ya miaka 4 ya utawala wa Trump kutatokea nini!
 
Safi sana Donald...........nimeona X huko,huyu jamaa hapendwi kwasababu ni mcha Mungu na anasema ukweli kwa lugha ngumu tena ya kuudhi...........
Wewe na wenzako mnapenda lakini, waliomchagua wanampenda,
Ambao hawakumchagua Kamala hawampendi ? Je ni mcha Mungu??
 
Back
Top Bottom