Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

Sio kweli, TRUMP ndio mgombea pekee alosimama na kujielezea waziwazi, wakati ule wakutafuta Kura za kuwakilisha chama.


Nadhan km ulifatilia Kampenzi za US tangu mwanzo, Hilo halina ubishii.

Kafanya hivyo uchaguzi uliopita alioshinda, ule alioshindwa na kafanya hivyo sasa...

Republicans ni conservatives, huwa wanasimama na kuhubiri mambo yote hayo unamsikia Trump anayataja, hawana kubembelezana kama Democrats...
 
Huyu anajaribu kuirudisha dunia kutoka shimoni.Maana sijawahigi kuelewa sababu kubwa ya kutumia nguvu nyingi sana kwenye kupromote agenda ya LGBTQ. Bado sijajua business model yake imekaeje.Yaani nani nafaidika na anafaidikaje na hili.
Big Pharm companies na Hospitals.

Utengenezaji wa Madawa , homoni na vifaa tiba vinavyotumika.

Lkn pia Serikali za kishetan, humwaga Pesa nyingi sana huko
 
Ndugu zangu, Sauti ya Kimamlaka anayotumia Donald Trump, ni lazima ukubaliane namimi kua, Mungu aliyanusuru Maisha yake Kwa Kazi maalumu.

Jamaa hata hajaapishwa, lakini tayari kaanza Kazi mara Moja.

Wale mashoga na mnaounga mkono Ushoga, na shughuli zoooooote za upuuzi wa aina hiyo ikiwemo pamoja na Utoani Mimba kiholela, kubadili jinsia, Sasa mtahamia Ulaya, Kinara US kaamua kua Mfuasi wa YESU KRISTO, MUNGU ANAYEISHI.


View: https://www.youtube.com/live/uCKUaJawPco?si=4v7YfpXtOO0N4ltJ

Waziri Dkt. Gwajima D sio dhambi kujifunza Kwa walioamua Kumlinda mtoto .

Embu tuzipitie Child protection policies za Warusi na Wachina .

Kama haitotosha tujifunze Kwa US Sasa chini ya Trump, nadhan Ile Presha tunayoiogopea Sasa haipo.

Katika Kumlinda mtoto , na vita dhidi ya LGBT , tushirikiane sekta zote.

Niligusia hapa Wakati tunapambana na Unyanyasaji wa kimwili dhidi wa watoto, mkumbusheni Waziri Gwajima, watoto hawako salama Mitandaoni

Trump again
 
ELIMU ELIMU ELIMU... Jamaa ànasisitiza ELIMU juu ya Nuclear Family, Baba ,Mama na Watoto.

Eti siku hizi vitabu vya watoto wetu Hawa, vinawafundisha aina ya familia...

1- Mwanaume na Mwanaume, watoto.

2-Mwanamke na Mwanamke , watoto.

Maajabu Mawaziri husika wapo 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom