Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma-single moms yanaangukia wapi? Namaanishe yale yasiyopenda kuolewa but yanatafuta watoto kwa "njia zingine" including hiring wanawake wengine wawazalie.ELIMU ELIMU ELIMU... Jamaa ànasisitiza ELIMU juu ya Nuclear Family, Baba ,Mama na Watoto.
Eti siku hizi vitabu vya watoto wetu Hawa, vinawafundisha aina ya familia...
1- Mwanaume na Mwanaume, watoto.
2-Mwanamke na Mwanamke , watoto.
Maajabu Mawaziri husika wapo 🤣🤣🤣
Mungu wa mbinguni Yuko naye. bila hivyo angefia kwenye zile kampeniAtafia madarakani
Mwamba katisha kinoma! Sijui mashoga yanawaza nini huko yaliko.Kwa hili tu huyu mwamba ana heshima yangu kwake milele na milele, ingekuwa na huko uchaguzi wanasimamia serikali za mitaa tungempa wa milele
Na mwaka 2025 ni mwaka wa utimilifu, tutashuhudia mengi sana. God win💪🏾Mungu anaendelea kushinda 👌👌👌👌
Hayo chini ya Trump yatakutajna na mkono wa chumaMa-single moms yanaangukia wapi? Namaanishe yale yasiyopenda kuolewa but yanatafuta watoto kwa "njia zingine" including hiring wanawake wengine wawazalie.
Yanalia lia tu mitandaoni na kumdiss mwambaMwamba katisha kinoma! Sijui mashoga yanawaza nini huko yaliko.
Mungu huinua wachache kulitunza neno lake! Kwa msimamo huu tu, umaarufu wa huyu mwamba umepanda ghafla duniani kote.Mungu wa mbinguni Yuko naye. bila hivyo angefia kwenye zile kampeni
Ndugu zangu, Sauti ya Kimamlaka anayotumia Donald Trump, ni lazima ukubaliane namimi kua, Mungu aliyanusuru Maisha yake Kwa Kazi maalumu.
Jamaa hata hajaapishwa, lakini tayari kaanza Kazi mara Moja.
Wale mashoga na mnaounga mkono Ushoga, na shughuli zoooooote za upuuzi wa aina hiyo ikiwemo pamoja na Utoani Mimba kiholela, kubadili jinsia, Sasa mtahamia Ulaya, Kinara US kaamua kua Mfuasi wa YESU KRISTO, MUNGU ANAYEISHI.
View: https://www.youtube.com/live/uCKUaJawPco?si=4v7YfpXtOO0N4ltJ
Waziri Dkt. Gwajima D sio dhambi kujifunza Kwa walioamua Kumlinda mtoto .
Embu tuzipitie Child protection policies za Warusi na Wachina .
Kama haitotosha tujifunze Kwa US Sasa chini ya Trump, nadhan Ile Presha tunayoiogopea Sasa haipo.
Katika Kumlinda mtoto , na vita dhidi ya LGBT , tushirikiane sekta zote.
Niligusia hapa Wakati tunapambana na Unyanyasaji wa kimwili dhidi wa watoto, mkumbusheni Waziri Gwajima, watoto hawako salama Mitandaoni
Wataje ni wakina nani?Mkuu lazima tukubali ni TRUMP, hata republicans Kuna watu walimpinga Trump Kwa kusimamia hizo hizo sera.
Hizi harakati za "haki sawa" zimeivuruga sana dunia. Watu wamefikia hatua ya kutetea bila woga visivyostahili kutetewa.Hayo chini ya Trump yatakutajna na mkono wa chuma
Dah sasa waarabu walokuwa wanakimbilia USA ili wakaf!rane wataenda wapi sasa?
We kweli mshangazi?? Mbona kama kitoto cha afu mbili na tano kuja juu,,,Bing0000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
Pharm Companies wanauza homons za kike na vifaa tiba, right? kwa serikali inakuwa inapeleka hela huko inalenga kupata nini hasa?Big Pharm companies na Hospitals.
Utengenezaji wa Madawa , homoni na vifaa tiba vinavyotumika.
Lkn pia Serikali za kishetan, humwaga Pesa nyingi sana huko
Museveni alianzishe sasa! Amalizie ile sheria yake iliyoishia njiani baada ya kupata vitisho toka tawala za kishoga. Now has full support from his excellence D. Trump.Naamini sasa mungu atawaepushia azabu na hata maafa ya vimbunga vinavyotokea Amerika ni asira za mungu uchafu mwingi sana ulikuwa unafanyika Amerika na amini dunia tuungane kote tupinge uchafu huu na mungu atatubariki hongera sana trump mungu akupe nguvu zaidi dunia yote ijue