Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

ELIMU ELIMU ELIMU... Jamaa ànasisitiza ELIMU juu ya Nuclear Family, Baba ,Mama na Watoto.

Eti siku hizi vitabu vya watoto wetu Hawa, vinawafundisha aina ya familia...

1- Mwanaume na Mwanaume, watoto.

2-Mwanamke na Mwanamke , watoto.

Maajabu Mawaziri husika wapo 🤣🤣🤣
Ma-single moms yanaangukia wapi? Namaanishe yale yasiyopenda kuolewa but yanatafuta watoto kwa "njia zingine" including hiring wanawake wengine wawazalie.
 
Ndugu zangu, Sauti ya Kimamlaka anayotumia Donald Trump, ni lazima ukubaliane namimi kua, Mungu aliyanusuru Maisha yake Kwa Kazi maalumu.

Jamaa hata hajaapishwa, lakini tayari kaanza Kazi mara Moja.

Wale mashoga na mnaounga mkono Ushoga, na shughuli zoooooote za upuuzi wa aina hiyo ikiwemo pamoja na Utoani Mimba kiholela, kubadili jinsia, Sasa mtahamia Ulaya, Kinara US kaamua kua Mfuasi wa YESU KRISTO, MUNGU ANAYEISHI.


View: https://www.youtube.com/live/uCKUaJawPco?si=4v7YfpXtOO0N4ltJ

Waziri Dkt. Gwajima D sio dhambi kujifunza Kwa walioamua Kumlinda mtoto .

Embu tuzipitie Child protection policies za Warusi na Wachina .

Kama haitotosha tujifunze Kwa US Sasa chini ya Trump, nadhan Ile Presha tunayoiogopea Sasa haipo.

Katika Kumlinda mtoto , na vita dhidi ya LGBT , tushirikiane sekta zote.

Niligusia hapa Wakati tunapambana na Unyanyasaji wa kimwili dhidi wa watoto, mkumbusheni Waziri Gwajima, watoto hawako salama Mitandaoni

twende na Trump
 
Wale sio waarabu ni wazungu wenzio waangalie vizuri waliweka vili ili muone waarabu pia wanadai wahalalishiwe hiyo ni propaganda za kimagharibi walijua wapo watu kama nyie mutawakubalia propaganda zao ila nakupa pole maana ndio uwezo wako wa kuona
Dah sasa waarabu walokuwa wanakimbilia USA ili wakaf!rane wataenda wapi sasa?
 
Naamini sasa mungu atawaepushia azabu na hata maafa ya vimbunga vinavyotokea Amerika ni asira za mungu uchafu mwingi sana ulikuwa unafanyika Amerika na amini dunia tuungane kote tupinge uchafu huu na mungu atatubariki hongera sana trump mungu akupe nguvu zaidi dunia yote ijue
 
Bing0000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
We kweli mshangazi?? Mbona kama kitoto cha afu mbili na tano kuja juu,,,
 
Naamini sasa mungu atawaepushia azabu na hata maafa ya vimbunga vinavyotokea Amerika ni asira za mungu uchafu mwingi sana ulikuwa unafanyika Amerika na amini dunia tuungane kote tupinge uchafu huu na mungu atatubariki hongera sana trump mungu akupe nguvu zaidi dunia yote ijue
Museveni alianzishe sasa! Amalizie ile sheria yake iliyoishia njiani baada ya kupata vitisho toka tawala za kishoga. Now has full support from his excellence D. Trump.
 
Back
Top Bottom