Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
sio wachungaji ni makasisi. kuna utofautiBdo wale wachungaji wanaolawiti watoto huko Vatican
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio wachungaji ni makasisi. kuna utofautiBdo wale wachungaji wanaolawiti watoto huko Vatican
Dunia ilikua imefikia pabaya sana, ni zaidi ya ukichaaOyaaa HAMNA MWANAUME ATAKAYEHUSIKA KWENYE MICHEZO YA WANAWAKE ET KISA KABADILI JINSIA 🤣🤣🤣
Kule kuna demokrasia, independent judiciary, watampeleka mahakamani watamshinda na inaweza kuwa hatari kwakeAtafia madarakani
Huyu ni Magufuri mtupuSafi sana Donald...........nimeona X huko,huyu jamaa hapendwi kwasababu ni mcha Mungu na anasema ukweli kwa lugha ngumu tena ya kuudhi...........
Ndugu zangu, Sauti ya Kimamlaka anayotumia Donald Trump, ni lazima ukubaliane namimi kua, Mungu aliyanusuru Maisha yake Kwa Kazi maalumu.
Jamaa hata hajaapishwa, lakini tayari kaanza Kazi mara Moja.
Wale mashoga na mnaounga mkono Ushoga, na shughuli zoooooote za upuuzi wa aina hiyo ikiwemo pamoja na Utoani Mimba kiholela, kubadili jinsia, Sasa mtahamia Ulaya, Kinara US kaamua kua Mfuasi wa YESU KRISTO, MUNGU ANAYEISHI.
View: https://www.youtube.com/live/uCKUaJawPco?si=4v7YfpXtOO0N4ltJ
Waziri Dkt. Gwajima D sio dhambi kujifunza Kwa walioamua Kumlinda mtoto .
Embu tuzipitie Child protection policies za Warusi na Wachina .
Kama haitotosha tujifunze Kwa US Sasa chini ya Trump, nadhan Ile Presha tunayoiogopea Sasa haipo.
Katika Kumlinda mtoto , na vita dhidi ya LGBT , tushirikiane sekta zote.
Niligusia hapa Wakati tunapambana na Unyanyasaji wa kimwili dhidi wa watoto, mkumbusheni Waziri Gwajima, watoto hawako salama Mitandaoni
Wewe ni LGBTQ kindakindaki auAtafia madarakani
Vipi tetemeko lililotokea Uturuki likaua watu 55,000 na Syria watu 5,000 mwaka jana??Naamini sasa mungu atawaepushia azabu na hata maafa ya vimbunga vinavyotokea Amerika ni asira za mungu uchafu mwingi sana ulikuwa unafanyika Amerika na amini dunia tuungane kote tupinge uchafu huu na mungu atatubariki hongera sana trump mungu akupe nguvu zaidi dunia yote ijue
Mkuu wewe pia ni mvaa kobazi na dela?Safi sana Donald...........nimeona X huko,huyu jamaa hapendwi kwasababu ni mcha Mungu na anasema ukweli kwa lugha ngumu tena ya kuudhi...........
Wataje ni wakina nani?
Hizo ni Sera za chama
Sio Trump hizo ni Sera za Wana Republican
View: https://www.youtube.com/live/uCKUaJawPco?si=vEyTU76MUY7BF5e6
Rais wa Dunia hataki ushoga au usagaji .
Nuclear family 1st .Mungu mlinde President Trump
I wanda!Huyu anajaribu kuirudisha dunia kutoka shimoni.Maana sijawahigi kuelewa sababu kubwa ya kutumia nguvu nyingi sana kwenye kupromote agenda ya LGBTQ. Bado sijajua business model yake imekaeje.Yaani nani nafaidika na anafaidikaje na hili.
Nani anafaidika na harakati za kuupinga ushoga na anafaidikaje?Huyu anajaribu kuirudisha dunia kutoka shimoni.Maana sijawahigi kuelewa sababu kubwa ya kutumia nguvu nyingi sana kwenye kupromote agenda ya LGBTQ. Bado sijajua business model yake imekaeje.Yaani nani nafaidika na anafaidikaje na hili.
Nahisi mnamiss point ya msingi hapa;Safi sana Donald...........nimeona X huko,huyu jamaa hapendwi kwasababu ni mcha Mungu na anasema ukweli kwa lugha ngumu tena ya kuudhi...........