Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Ameshinda pemnyslivia yenye vote 19 sasa bado kura tatu afikishe kura 270 aukwae rasmi urais. Ila katika yale majimbo manne ya swing states ambayo bado wanahesabu anaongoza kwa mbali ndio maana inatangazwa ameshinda. Kwa trend ya majibu jinsi kura zinavyohesabiwq ni muijiza kushindwa.

Azam na wachambuzi wao wenye chuki waone aibu. Rabi na Shakur walikuwa wanaingiza ushabiki. Mchambuzi wa Azam ambaye huwa anachambua objectively mambo ni Thabit Mlangi lakini huwa hawamuiti mara kwa mara..

Mungu ametenda kwa Trump

Nb; pia wamechukua udhibiti wa bunge la Senate.
 
Angalia hapa Hillary Clinton alimshinda Trump kwenye kura za wananchi hivyo kama kweli wananchi ndio huamua nani awe Rais wao basi Hillary Clinton ndiye alipaswa kuwa Rais na sio Trump.
 

Attachments

  • Screenshot_20241106_105756_ChatGPT.jpg
    265 KB · Views: 2
Mifumo yao ni ile ya zidumu fikra za mwenyekiti?
Isitoshe tayari uchumi wa Marekani umekuwa ukiyumba ingawa watu waaminishwa vingine, vita ya Gaza ndo imekuwa sababu ingine kubwa kwa sababu wale watu wa kutoka mashariki ya kati wamekuwa wakipiga kelele na wameeleweka.
 
What if akishindwa kwenye kura za mabwanyenye?
Kura za mabwanyenye ndio hizo ameshinda, mkuu. Popular votes ni kura za umma.

Halafu hizo unazoita kura za mabwanyenye ni uelewa potofu, kwa sababu zinategemea kura za umma (popular votes). Bila popular votes hakuna electoral votes.

Wale wajumbe 538 wanapiga kura kwa kuzingatia ushindi wa mgombea kwenye kila jimbo.
 
Isitoshe tayari uchumi wa Marekani umekuwa ukiyumba ingawa watu waaminishwa vingine, vita ya Gaza ndo imekuwa sababu ingine kubwa kwa sababu wale watu wa kutoka mashariki ya kati wamekuwa wakipiga kelele na wameeleweka.
Ashinde tu Trump akasitishe vita Ukraine na kupigana na mashoga.
 
Putin siyo mbaya kama unavyoaminishwa na CNN,NK!
Putin ni mtu mbaya sana sawa sawa kabisa na Shetani. Je, unaujua ubaya au uovu wa Putin tangu akiwa boss wa Shirika la Ujasusi la KGB la Urusi ya zamani (USSR) ?
Putin ndiye aliyeanzisha na kuboresha pakubwa Sana Maabara (Kiwanda) kikubwa Sana cha KGB/FSB cha Kutengeneza sumu za Kuulia Watu, hususani wale watu wakosoaji wa Serikali ya Urusi na wanaharakati. Kila siku ndani ya Urusi Watu wanauawa kimya kimya kwa kuwekewa sumu na Mawakala wa Siri wa Mamlaka ya Ujasusi ya nchi hiyo KGB/FSB.

Ukiwa nchini Urusi ni hatari tupu, kifo mkononi. Ukiwa nchini Urusi, kumkosoa Putin au kukosoa utawala wake ni KUJIKATIA TIKETI YA KIFO.
 
Ashinde tu Trump akasitishe vita Ukraine na kupigana na mashoga.
Ni kweli kwani watu wamepiga sana pesa. Maseneta wamekuwa wakituhumiwa kupoteza fedha ambazo Biden amekuwa akiahidi kuzipeleka Ukraine lakini fedha hizo zaishia hewani na wale wenye maviwanda ya silaha nao wameipiga sana Marekani kiasi cha kuifanya FR kuchapisha pesa kila mara.
 
Chombo gani wewe hapo BBC,CNN na aljazeera wanasema ameshinda majimbo mawili makubwa bado mengine wewe jamaa muongo sana

USSR
Sasa hapo Lumumba akili ndogo utajuwa ya Dunia kweli ....wee seto huko uchawani
 
Nani kakusimulia hayo?

Weye waaminikila unokisikia?

Kuna ushahidi wa tuhuma hizo?
 
AIsee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…