Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Nje ya manda: Unaamini Idd Amin Dada ndiye aliyeivamia Tanzania au Ni Nyerere ndiye aliuemchokoza Amini? Ukijibu kwa ufasaha swali hili basi utakuwa na uoeo mkubwa WA kuangalia "other side of the story"
 
Trump amerejea tena kuwa Raisi wa Marekani, wale wanategemea

kuishi kinyemela Marekani wajiandae, pia marais ombaomba wa Afrika
wajipange sawa sawa.

Trump kashinda Popular Votes na Electoral Votes, Kamala Haris ameshindwa

yeye na chana cha Democratic wajitathimini sawa sawa

Make America great Again
 
Angalia hapa Hillary Clinton alimshinda Trump kwenye kura za wananchi hivyo kama kweli wananchi ndio huamua nani awe Rais wao basi Hillary Clinton ndiye alipaswa kuwa Rais na sio Trump.
Huelewi rudi kasome jinsi wajumbe 540 wa electoral college wanavyipatikana.

Wananchi hupiga kura kuchagua hao wawakilishi na kila jimbo lina idadi yake ya hao wajumbe . Wananchi katika jimbo wakipigia chama fulani na wakashinda vasi wajumbe wanaoenda katika kumchagua rais wanatoka chama kikichoshinda ( winner takes all]. Ila baadhi ya majimbo machache mfumo wao wa kupata mgao wq wajumbe wamegawanya kwa maeneo ya state. Hao wajumbe hawazuki tu wanapigiwa kura na wananchi.
 
Huko ndio kwenye uchaguzi.
Uchaguzi wa kupitishwa na watu 270 kati ya 538 wa Electoral College kuwa Rais wa USA hata kama raia wengi wa USA hawajakuchagua?
Halafu wanazishadadia na kuzisema nchi zingine kwamba hazina demokrasia na kubeza chaguzi zake kwamba zimegubikwa na udanganyifu?
Waendelee na mfumo wao huo wa kiimla; lakini waache kuingilia mifumo ya mataifa mengine, maana hata wao hawana demokrasia ya kweli.
Mitano tena🤣🤣🤣
Minne; USA siyo URT.
 
.Wamarekani walionekana kumkubali sana mwanamama Kamala Haris. Ila lilipofika suala la kupiga kura ya urais, wakatafakari mara ya pili. Kuwa Mwanamke aongoze nchi? Inawezekana? Hapo ndipo wakatulia na kupata majibu,wakamtosa wakamchagua kaburu Trump. Watanzania tuwe na la kujifunza hasa linapokuja
suala la kuongoza nchi.
 
Ushindi wa Trump, kila mwanaume aliyepevuka atakuwa kaufurahia!

Wanawake ni viongozi wazuri sana lakini siku hizi shetani anawatumia sana kuua Haiba yetu ya kiume tunabakia wanyonge tu na kutii.

Wanawake wakiitawala dunia jamii imekwisha. Hatukatai kuongoza lakini ni vyema tuwape kwanza elimu ili wanapokuwa kwenye madaraka wasitutweze kisaikolojia!

Angeshinda kamala bongo tungekuwa tumepigwa home and away!

Viva TRUMP! Shithole country wajijue kujisimamia nao wanaweza! tuishi humu; Waliojipata kupiga picha na Kamala wajipange upya kumuona Trump awamu hii foleni ni ndefu.

"TRUMP WILL FIX IT"
 
How about all Black people there ?
Vile hapendi weusi.
Siyo kweli kwamba Trump hawapendi watu weusi. Media ndizo zinajaribu kumfitinisha na raia weusi. Ni sawa na vile wanavyomchonganisha na jinsi ya kike.

Trump ana kasoro zake, lakini inapokuja suala la utawala, ni mwadilifu kwa kiasi chake. Ni bora mara mia kuliko Obama aliyetuulia Gaddafi, kisha akajutia mwenyewe.
 
Acha kulia lia mbona hata kwenye popular votes ameshinda pia.
 
Kwa Trump ni ule msemo wa kiingereza kwamba "what you see is what you get, nothing less nothing more"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…