Putin ni mtu mbaya sana sawa sawa kabisa na Shetani. Je, unaujua ubaya au uovu wa Putin tangu akiwa boss wa Shirika la Ujasusi la KGB la Urusi ya zamani (USSR) ?
Putin ndiye aliyeanzisha na kuboresha pakubwa Sana Maabara (Kiwanda) kikubwa Sana cha KGB/FSB cha Kutengeneza sumu za Kuulia Watu, hususani wale watu wakosoaji wa Serikali ya Urusi na wanaharakati. Kila siku ndani ya Urusi Watu wanauawa kimya kimya kwa kuwekewa sumu na Mawakala wa Siri wa Mamlaka ya Ujasusi ya nchi hiyo KGB/FSB.
Ukiwa nchini Urusi ni hatari tupu, kifo mkononi.