Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

 
Hiyo electrol vote naona ni km inabalance maamuzi ya majimbo yote. Kwa maana wanaondoa ule uwezekano wa majimbo machache yenye watu wengi kufanya maamuzi ya kuamua nani awe rais wa marekani.

Mfano kwa hapa kwetu kanda ya ziwa kwa wingi wao wanaweza wao ndio wanatuchagulia rais, wakati sisi watu wa kaskazini kwa vile tupo wachache tunakuwa hatuna namna
 
Ni aibu kwa bara la Afrika,lenye natural resources na human resources ya kutosha, kutembeza bakuri ughaibuni na mbaya zaidi viongozi wamekuwa madalali na makuwadi wa rasilimali.
Viongozi wabinafsi ni kujilimbikizia mali utazani wakifa wanaondoka nazo
 
Swali: hivi Trump alishawahi kutembelea nchi yoyote barani Africa wakati wa utawala wake wa nyuma.
 
Omba kueleweshwa haraka, mkuu. Vinginevyo utaendelea na ujinga wako kichwani hadi mwisho wa dunia.

 
HAKUNA KAMA MAMA WEWE ENDEELEA TU NA CHUKI ZAKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…