Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Trump ameshinda wisconsin yenye vote kumi sasa kafikisha votes 277 zaidi ya zinazohitajika kuwa rais.
Hivyo Trump rasmi ndiye rais ajate wa Marekani.

Hongera Tru.p Mungu amekusimamia dhidi ya Kamala aliyetaka kuiharibu narekani.
Umeandika mpaka unakosea herufi ,narekani,Tru.p,ajate!
 
Dah sijui nikueleweshe vipi.....
 
Naam, vita ziishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…