Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Umeandika mpaka unakosea herufi ,narekani,Tru.p,ajate!Trump ameshinda wisconsin yenye vote kumi sasa kafikisha votes 277 zaidi ya zinazohitajika kuwa rais.
Hivyo Trump rasmi ndiye rais ajate wa Marekani.
Hongera Tru.p Mungu amekusimamia dhidi ya Kamala aliyetaka kuiharibu narekani.
Trump huiita CNN fake news. Nafkiri mgogoro wao utaendelea
Pongezi Kutokea uyole😅Hii sentensi sijaelewa mkuu,kwani nawe ni mmarekani?
Ooh, sasa nenda straight kama hivi maana kuna wamasai huko porini hawajui hata USA ni nini, wao wanajua mbogo, kasongo, fisi n.kHe who leads in technology controls the world.
Na ndio USA🇺🇸
Sio namtumbo huko ndani ndani 🤣Pongezi Kutokea uyole😅
Sema humo chudai nazo zimezidi😂Twitter x ndio media safi kwa sasa
Hizi media zote zinaendeshwa kwa mlengo fulani hata twitter (X) ni hivyohivyo.Twitter x ndio media safi kwa sasa
Dah sijui nikueleweshe vipi.....Sio kweli. Kama wananchi (popular votes)ndiyo wanaoamua nani awe Rais wao basi Hillary Clinton angekuwa Rais wa Marekani alipogombea na Trump maana Hillary Clinton alimshinda Trump kwa zaidi ya kura milioni tatu lakini Trump alitangzwa mshindi wa Urais baada ya kushinda kwenye electoral votes.
Sasa ubabaishaji huu una maana gani? Kwani wananchi wakifanya maamuzi moja kwa moja kuna shida gani?
Au wananchi wa Marekani hawana IQ za kujua nani anafaa kuwa Rais wao ndiyo maana hawaaminiwi badala yake wanachaguliwa Rais na watu wasiozidi 538.
Naam, vita ziisheNi busara sana asimpongeze licha ya kwamba tunajua Putin amefurahi sana swahiba wake na kaka yake kurejea Jumba Jeupe.
Sasa tunangoja baadaye songombingo zikitulia, waalikane kwenye chakula na picha ya pamoja katika mkutano wa G8 pale Kananaskis, Alberta, Canada mwakani.
🤣🤣🤣🤣🙆Pongezi Kutokea uyole😅
Ndio mkuuHapana! Ni Wisconsin lenye electoral votes 10 limempaisha from 267 to 277. Ndilo lililothibitisha ushindi wake pasi na shaka.
CCM wenye akili timamu tumebaki wachacheI hate CCM people yaani na pumbu zao zote utasikia mitano tena upuuzi mtupu. Wekeni watu imara tunapaswa kuimbiza Egypt kwa hapa Afrika uwezo tunao
Sio kweli mkuuHizi media zote zinaendeshwa kwa mlengo fulani hata twitter (X) ni hivyohivyo.
Republicans wataitumia sana kusambaza propaganda zao baada ya Trump kushinda uchaguzi
Hakuna media iliyo huru duniani