Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Tazameni wenyewe

Miaka minne baada ya kuondoka Ikulu ya White House, Donald Trump anatazamiwa kureudi tena, baada ya mamilioni ya Wamarekani kupiga kura kumpa nafasi ya pili.
-
Haya ni baadhi ya matukio katika usiku wa uchaguzi ikijumuisha baadhi ya matukio wakati kura zikiendelea kuhesabiwa.

-
 
Nawaona Kobaaz pale kama wamenuna vile......
 
Mama anaupiga mwingi, amesababisha Harris kukosa ushisndi
 
Nchini Tanzania sasa..
 
β€œThe conversation was warm and cordial,” Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu’s office said in a statement. β€œThe Prime Minister congratulated Trump on his election victory, and the two agreed to work together for Israel’s security. The two also discussed the Iranian threat.”

Netanyahu’s office said he was among the first world leaders to call Trump after his victory.
 
Democrats wamechukua L na kwenda Nyumbani sio kama MAGA Trump ambao wangesema wameibiwa Kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…