The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Kujipendekeza tu!Mama yako au unamaanisha mama gani?
Mama yake amwache kijijini huko yuko hapa anang’ang’ania mama za watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujipendekeza tu!Mama yako au unamaanisha mama gani?
Uwezo wa kuitoa CCM upo mkuu ila SI kwenye boksi la kura!Japo Harris kashindwa ila Mama atashinda tu, nchini hapa hakuna uwezo wa kuitoa CCM.
Hapa ndio umetoa hoja kabisa?, na ukamaliza kabisa?kamala harris alikuwa hawapendi waisraeli japo usoni na kimatamshi alikuwa akijifanya kuwa nao na wamemmaliza
''Alafu''?Hivi unafahamu kwanini wamarekani wana shauku sana ya Trump kurudi madarakani? Sababu Trump ni nationalist na anaenda kukata misaada yote kwa hao Israel. Acha kusoma viblogs vya ajabu ajabu badala yake nenda YouTube au X ukasome comments za wenye nchi yao wanasemaje. But it doesn't matter sababu Tanzania mpaka leo bado inalia shida ya maji na umeme.
Alafu acha kuramba miguu ya hao wajinga, ni watu kama wewe mmatumbi.
Mr.Trumpet alishindana na wagombea wawili na akawashinda wote,tena wakiume na wakike.Democrats hawakuwa na mgombea wa kushindana na Trump
Uchafuzi wa sirikali za mataa?Sisi tunaendelea na mazingaombwe yetu ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kamala angejiandaa angemshinda, Biden alishazeeka na aliharibuMr.Trumpet alishindana na wagombea wawili na akawashinda wote,tena wakiume na wakike.
Mbona kijana wa 60 anabwagwa na kizee cha 80Kamala angejiandaa angemshinda, Biden alishazeeka na aliharibu
Vipi nyumbani kwako una mzee au kijana na kama mzee ili asiwe kama kile kibabu,vipi tukaenda na damu changa?Kamala angejiandaa angemshinda, Biden alishazeeka na aliharibu
Andika kitu inaelewekaVipi nyumbani kwako una mzee au kijana na kama mzee ili asiwe kama kile kibabu,vipi tukaenda na damu changa?
Kwa sababu Kamala alisukumizwa hakuwa na wazo Wala hajawahi jiandaa kugombea Urais maana Chama kilishampa Tiketi Biden.Mbona kijana wa 60 anabwagwa na kizee cha 80
Acheni visingizio huyo jamaa ni genius kama anavyowatafuta ma genius wenzake,sio kusumbuana na vilaza.Kwa sababu Kamala alisukumizwa hakuwa na wazo Wala hajawahi jiandaa kugombea Urais maana Chama kilishampa Tiketi Biden.
Tramp Toka alivyoshindwa Urasi alianza kujiandaa na Urais,Kamala kasulumizwa ndani ya miezi 3,ulitegemea miujiza gani?
I genius wake ni upi Kwa akili yako? Alivyopigwa na Biden hakuwa generous? Wacha ujingaAcheni visingizio huyo jamaa ni genius kama anavyowatafuta ma genius wenzake,sio kusumbuana na vilaza.
Umesema Tanzania bado inalia shida ya maji na umeme? Vitu vikubwa sana hivo bro; sema hivi, "Tanzania bado inaomba msaada wa kujengewa vyoo vya shimo mashuleni"Hivi unafahamu kwanini wamarekani wana shauku sana ya Trump kurudi madarakani? Sababu Trump ni nationalist na anaenda kukata misaada yote kwa hao Israel. Acha kusoma viblogs vya ajabu ajabu badala yake nenda YouTube au X ukasome comments za wenye nchi yao wanasemaje. But it doesn't matter sababu Tanzania mpaka leo bado inalia shida ya maji na umeme.
Alafu acha kuramba miguu ya hao wajinga, ni watu kama wewe mmatumbi.
Tuanapoteza muda tu. Na hakuna hata sera ni ujinga tu wa ccmSisi tunaendelea na mazingaombwe yetu ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Suburi atakavyo pigwa mtu fudenge?I genius wake ni upi Kwa akili yako? Alivyopigwa na Biden hakuwa generous? Wacha ujinga