Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Haitimii mpaka itimie baada ya chapisho la mange kule X akidai kuwa kuna utata katika nini kitafuata baada ya Trump kushinda na kuja na sera ya kuwarejesha wakimbizi uchwara makwao na yeye akiwa kwenye list .

Mbali na Mange yupo pia mwanamziki Roma mkatoliki aliyekimbilia Marekani kwa kisingizio cha kutaka kuuwawa na watu aliowatukana kwa kuwaimbia muziki
USSR
 
Haitimii mpaka itimie baada ya chapisho la mange kule X akidai kuwa kuna utata katika nini kitafuata baada ya Trump kushinda na kuja na sera ya kuwarejesha wakimbizi uchwara makwao na yeye akiwa kwenye list .

Mbali na Mange yupo pia mwanamziki Roma mkatoliki aliyekimbilia Marekani kwa kisingizio cha kutaka kuuwawa na watu aliowatukana kwa kuwaimbia muziki
USSR
Mmmmmm muda utaongea......
 
Haitimii mpaka itimie baada ya chapisho la mange kule X akidai kuwa kuna utata katika nini kitafuata baada ya Trump kushinda na kuja na sera ya kuwarejesha wakimbizi uchwara makwao na yeye akiwa kwenye list .

Mbali na Mange yupo pia mwanamziki Roma mkatoliki aliyekimbilia Marekani kwa kisingizio cha kutaka kuuwawa na watu aliowatukana kwa kuwaimbia muziki
USSR
Wauaji mnaendelea kujianika tu, wewe mbona unajulikana !
 
Haitimii mpaka itimie baada ya chapisho la mange kule X akidai kuwa kuna utata katika nini kitafuata baada ya Trump kushinda na kuja na sera ya kuwarejesha wakimbizi uchwara makwao na yeye akiwa kwenye list .

Mbali na Mange yupo pia mwanamziki Roma mkatoliki aliyekimbilia Marekani kwa kisingizio cha kutaka kuuwawa na watu aliowatukana kwa kuwaimbia muziki
USSR
Waununio wajinoe basi kabisa, huku wakisheherekea kuwafikia washindani wao katika hoja,mitazamo na itikadi.
 
Haitimii mpaka itimie baada ya chapisho la mange kule X akidai kuwa kuna utata katika nini kitafuata baada ya Trump kushinda na kuja na sera ya kuwarejesha wakimbizi uchwara makwao na yeye akiwa kwenye list .

Mbali na Mange yupo pia mwanamziki Roma mkatoliki aliyekimbilia Marekani kwa kisingizio cha kutaka kuuwawa na watu aliowatukana kwa kuwaimbia muziki
USSR
Mange ameolewa kule na watoto wake ni raia wa marekani hawezi kurudishwa kirahisi rahisi tu, hata roma pia anaishi kama mkimbizi wa kisiasa uyo kurudi ni aamue tu yeye mwenyewe.
 
Mange tayari ana green card, hivyo hawezi rudishwa.

Roma ameenda kama "Mkimbizi wa Kisiasa", hivyo naye hawezi fukuzwa.

Halafu Trump siyo Ultimatum kama ilivyo kwa nchi zetu.
Sio Ultimatum kwa sasa ila kwa mabadiliko ya kisheria anayoenda kufanya atakuwa ultimatum😂! Kitengo cha haki na sheria anataka kukiweka chini ya raisi.
 
Mtawatambua kwa matendo yao.
Huyu mleta mada anaweza kuwa ni "miongoni mwa watu wasiojulikana". Kuna watu wana roho mbaya sana huku duniani.
 
Back
Top Bottom