Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali na wewMarekani yote ingeungua na moto ili wajue shida wanazopata watu wengine kwa vita zao.
Uzuri wanasema ni janga la kawaida, ngoja tuone wanafanyaje, maana wako vizuri ku rebuild huko nchi za watu.Ikulu ya White House inasema kuwa uharibifu wa moto huo umefikia dola bilioni 800.
Nilidhani haya mambo ni Tanzania tu daaah.