Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazayuni ni mashetani kwa kweli wanaitumia marekani kwa kila hali kwa kuilinda israel
Allahuma amiiiin🔥 now 🔥
The fire is approaching
From nuclear weapons stores
Increase it, my Lord, increase it 🤲🔥🔥
Mm saa nyingine huwa naitathimini Marekani nashindwa kuielewa kabisa.
Marekani ni taifa tajiri na anatawanya pesa nyingi kote dunia kufadhili mambo mbali mbali mengine yenye manufaa mengine ya kipuuzi.
Lakini cha kushangaza ndani ya Marekani kwenyewe huduma za kijamii ni mbovu sana zisio endana na hadhi yake, Marekani ukiumwa kama ww ni masikini aisee hakuna rangi utaona maana gharama za matibabu ziko juu sana.
Wakati wa obama alijaribu kuanzisha mpango wa bima ambao ungewezesha wamarekani masikini kupata matibabu kwa bei nafuu cha kushangaza watu waliupiga vita na Trump akaja aka ufuta.
Silaha gani hii, Ee Bwana? Moto mkali katikati ya majira ya baridi kali, unaochochewa na upepo mkali wa kuomboleza ambao Umewaachilia kwa siku nyingi, na ambao umewakumba usiku, hata makao yao yamekuwa kama mashamba yasiyo na matunda.
Ewe Mola wangu Mlezi, sifa njema ni Zako kwa kutuonyesha ishara zako za kutubainishia kuwa Wewe ni Haki, Pepo ni Haki, Jahannamu ni Haki, Muhammad, Rehema na amani ziwe juu yake, ni Haki, na adhabu. ya makafiri duniani na Akhera ni Haki.
View: https://x.com/issams24517/status/1877867403993862291?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw