Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

Majini 72 wametumwa Los Angeles
Safi japo sio jehova ingekuwa IRAN sasa ivi mifuko ya mazwazwa ingekamuliwa jumapili hiii wangeambiwa mungu w Israel anaichoma IRAN watu meno yote nnje na misada kibao wakidhan wanampa mungu w Israel Aleruyaaaaaaaaa!!!!!
 
Mkuu moto usikie tu yaan kuna pori moja nilienda kulima huko machakani basi nikalima pakubwa ikafika muda nimechoka sana na natakiwa kumaliza siku hio hio sasa kumbe kuna kitu nilisahau kule wenyewe hua hawachomi moto mchana kuelekea jioni yaani kuanzia saa 7 kuelekea 11 jioni hukuti mtu anachoma moto kwa sababu ya upepo mkali hada 12 kuelekea saa 1 ndio utakuta watu wanachoma moto

Basi nikaingia pori fanya yangu imefika saa 7 kwenda 8 nimechoka nikasema ngoja nichome hauendi mbali huu, ebanaeee moto unatembea na nyasi na kinyasi kidogo tu kikirukia upande wa pili kinawezaa kuunguza pori zima na ukiwa peke yako hata ufanye nini huwezi kuzima moto unaowaka kila upande

Nikatia kiberiti basi nikaanza kuzuia huku na huku ili moto usihame huwezi amini upepo ulipoongezeka kidogo tu moto ukahama ukahamia pori la pili uzuri kuna Mama yeye mwenyeji wa hilo eneo akaniambia usipokua makini utachoma pori zima hili utaunguza miti yote hii akaanza kunisaidia kuzima kuna sehemu akaniambia niwahi usivuke yaan kumbe kuna sehemu mbele walichimba kanjia akasema ukivuka kale kanjia ndio basi huo moto hauupati, kadadek nikawahi kale kanjia nikakuta ndio umekaribia kuvuka nilipambana ule moto balaa ingawa na mimi uliniunguza ila haukuvuka kale kanjia huku yule mama anasaidia kuzima upande mwingine ningekua peke yangu mngesikia tu kuna pori limeungua huko
Lakini moto unaweza kuanzia mwabepande ukaja sinaza ukavuka hadi kariako na post
 
uzuri sisi tuliweza kudhibiti moto kule mlima kilimanjaro umoja wetu watanzania ndio sila yetu
 
Wamekimbia wanajiuliza awapati majibu sasa ndugu zangu ingekuwa ndio Iran inateketea na MOTO dooooo tungesikia kila aina majigambo jehova mungu wa israel wana waYAKOBO tungeletewa kila Ushuzi USHUZI lkn sasaivi utawaona wanakana kuwa SIO nguvu za mungu ni jambo la kawaida tu ndio utasikia kwao!!!!!!!!!!!! Miongo minafiki mizwazwa isio na aibu. Kabisa.
Ongezea kuwa wangesema mossad na CIA wameshaafanya yao
 
Wanakumbi.

Donald Trump:

There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.

The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.

Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!


View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Source: CNN Fact check: As wildfires rage, Trump lashes out with false claims about FEMA and California water policy | CNN Politics

Heading tu nikajua atakuwa muislam.. Mwambieni na Allah adeal na Waislam aache fikta za kuua non Muslims, kwasababu hatoweza kamwe atashindwa yeye kila siku..
 
Wanakumbi.

Donald Trump:

There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.

The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.

Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!


View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Source: CNN Fact check: As wildfires rage, Trump lashes out with false claims about FEMA and California water policy | CNN Politics

Akamatwe kwa uchochezi trump, kwanini anasema hayo, ni kuichafua serikali tukufu ya Biden na mama Haris
 
Mwenyezi Mungu ana njia nyingi za kutuadhibu. Ngoja na wao waonje magofu kama yale ya Gaza sasa ndio wataelewa kusuport genocide sio jambo zuri
 
Back
Top Bottom