Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiyoMoto unazimwa na moto
Majini 72 wametumwa Los AngelesWameanza kupata akili, sa Shetanyahu na jeshi la Israel wako wapi waje wawasaidie 🤣
Km wewe ulivyopeleka maji kwa mabasha zako au sio?Tulia mabasha zako wanapata kichapo cha moto kama unaumia wameplekee maji.
Mabasha zako wanaungua kule Gaza wapelekee majiOgopa kilio cha waliodhulumiwa, hata kutoka kwa kafiri. Kwani hakuna kizuizi baina yake na Mwenyezi Mungu.
Mtume Muhammad (ﷺ)
#LosAngelesFire
Mabasha zako wa Gaza wanakusuburia kule wakakufurahie pamojaNawahurumia raia wa Marekani lakini nafurahi kuona Magaidi wanaochoma Gaza leo wanachomwa wao😀
Wamekimbia wanajiuliza awapati majibu sasa ndugu zangu ingekuwa ndio Iran inateketea na MOTO dooooo tungesikia kila aina majigambo jehova mungu wa israel wana waYAKOBO tungeletewa kila Ushuzi USHUZI lkn sasaivi utawaona wanakana kuwa SIO nguvu za mungu ni jambo la kawaida tu ndio utasikia kwao!!!!!!!!!!!! Miongo minafiki mizwazwa isio na aibu. Kabisa.Wakwapi wakristo walio kuwa wakisema yuko wapi Allah, hio state inayo ungua Los Angeles ndio inaongoza kuwasaidia Israeli, na Mungu kaenda watia adabu.
Kwani mkuu unataka kuniambia kwamba miaka yote bunge la seneti huwa limeshikiliwa Repablic tangu kuundwa kwa Marekani?Huduma gani za kijamii ambazo ni mbovu zisizoendana na hadhi yake?
Trump hakufuta Obamacare, alikosa kura za kutosha katika bunge la seneti baada ya John McCain wa Republican kukataa kufutwa kwa huo mpango, pia Obamacare sio kwa ajili ya raia wote wa Marekani bali ni mpango wa watu wa kipato cha kati na chini.
Huduma za matibabu kuwa juu sana Marekani ni kwa sababu Republicans ambo wako karibia nusu ya nchi hawataki serikali isaidie kugharamia au kuwapa nafuu za gharama za matibabu watu masikini kupitia bima nzuri zaidi na ruzuku. Republicans wanataka kila mtu agharamikie mwenyewe gharama zake za matibabu, hawataki serikali iingilie hospital au kampuni za madawa kupunguza gharama kwa sababu wanaamini soko huria linaweza kutatatua changamoto zozote zile na kwamba uingiliaji wa serikali kusaidia baadhi ya huduma ni sawa na ujamaa au ukomunisti tu unaoharibu soko na uhuru wa watu.
Lile zee litafahamu karibuni hakuna mwenye nguvu zaidi ya Allah sio USA au Nato mwenye uwezo wa kushindana na Allah.Lile zee jinga eti lilisema kama Hamas hawajaachia mateka kabla ya terehe 20 basi Gaza na Mashariki ya kati itakuwa Jahanam Mungu kamuonyesha Jahanam ipo wapi kwa sasa😂 jana limetuma wajumbe kwenda Qatar waongee na Hamas waachie Mateka.
Trump hakuwahi kuufuta mpango wa Afya wa Obama(Obamacare), huo mpango upo mpaka leo,Kwani mkuu unataka kuniambia kwamba miaka yote bunge la seneti huwa limeshikiliwa Repablic tangu kuundwa kwa Marekani?
Mpango wa bima wa Obama ulikuwa umesha pitishwa na ulikuwa unafanya kazi Trump ndo alikuja kuufuta.
Kitendo cha kushindwa kuwapatia raia wako unafuu wa huduma muhimu za kijamii na unajiita taifa tajiri hiyo ni kasoro kubwa sana.
Yaani ujiite tajiri hali yakuwa hutimizii watoto wako mahitaji yao?
Yaani ww unaona ni sawa raia wa Marekani kulia na gharama kubwa za huduma za kijamii hali yakuwa serikali yao inatapanya mabilion ya fedha kwenye nchi zingine kufadhili hizo huduma ambazo ana kataa kuzitoa kwa raia wake?
Pia sio mara ya kwanza raia kulalamika juu ya msaada mdogo wa serikali pale panapo tokea majanga.
Hata miundo mbinu mingi ya Marekani kuanzaia mabarabara na mtandao wa reli umechakaa inahitaji marekebisho makubwa, mwaka 2015 ilifanyika tathimini unaambiwa kunahitajika matrion ya $ kurejebisha miundo mbinu chakavu.
Tatizo la Marekani maamuzi yote ya nchi wamewaachia matajiri hivyo wanahofia serikali ikijiingiza na kuanza kutoa huduma za kijamii makampuni yao madawa na hospital zao zitapata hasara.
Hata suala la udhibiti wa silaha limeshindikana kwa sababu matajiri wanajua silaha zikidhibitiwa basi makampuni yao ya silaha yatakufa hivyo wanaona bora maelfu ya watu wake kila mwaka ili silaha zao ziuzike.
Watakana sio mungu lkn ingekuwa Iran ndio anapitia aya hoooo mungu jehova maandiko kama yote!!!!!!!!!Tuliwambia makafiri humu Allah akilipa ni balaa, wacha watu wa Los Angeles waseme wamepigwa na Nuclear 🤣
Watakana sio mungu lkn ingekuwa Iran ndio anapitia aya hoooo mungu jehova maandiko kama yote!!!!!!!!!
[/QUOTE
Hili tukio linawapa relief waislamu , mnaonekana kama dunia ilikuwa imewatenga. Ila muache ugaidi wa kujilipua na uchokozi kwa Israel.
Hili tukio linawapa relief waislamu , mnaonekana kama dunia ilikuwa imewatenga. Ila nyie chimbuko la mtoto wa nje ya ndoa muache ugaidi wa kujilipua na uchokozi kwa Israel.Watakana sio mungu lkn ingekuwa Iran ndio anapitia aya hoooo mungu jehova maandiko kama yote!!!!!!!!!
Wewe pimbi dunia nzima ya wamenda haki wewe shoga endelea na chuki zako dhidi ya Uislam, kawasaidie mabasha zako kuzima moto.Hili tukio linawapa relief waislamu , mnaonekana kama dunia ilikuwa imewatenga. Ila nyie chimbuko la mtoto wa nje ya ndoa muache ugaidi wa kujilipua na uchokozi kwa Israel.
There are more than two billion Muslims worldwide, Hawa wote duniani imewatenga? JF kuna vituko huyu punguani yupo usweke huko uyole anapambana Waislm 2Bilion anasema dunia imewatenga yeye anaugua UTI sugu Wazazi wake wanakunya kwenye mashimo 🤣Hili tukio linawapa relief waislamu , mnaonekana kama dunia ilikuwa imewatenga. Ila nyie chimbuko la mtoto wa nje ya ndoa muache ugaidi wa kujilipua na uchokozi kwa Israel.