Donald Trump: I Will Lock Mugabe, Museveni in Prison

Donald Trump: I Will Lock Mugabe, Museveni in Prison

Status
Not open for further replies.
What if akakomaa kulivalia njuga alichokisema. Ukweli ni kwamba nchi nyingi za kiafrica tunajisifu tuna demokrasia lakini ukweli ni kwamba demokrasia hiyo ni ya maneno. Ona kinachotokea Uganda,ni unyanyasaji wa hali ya juu. Mm namuunga mkono mana kuna viongozi wa baadhi za nchi wamefanya nchi kama familia yao wanaongoza wanavyotaka wao bila kufwatisha sheria.


Usiwe mjinga, D.Trump hajawahi kusema hayo maneno na wala Trump hana mpango na Afrika, na kwanza Afrika haipo kwenye vipaumbele vya US foreign policy na ndiyo maana Afrika haijawahi kuwa kwenye campaign theme za USA hata siku moja ukiachilia Obama na uhusiano na baba yake lkn hiyo siyo foreign policy ya USA kwa maana maslahi ya USA Afrika ni madogo sana!

Hayo maneno ni ya kupakaziwa na makasimu wa D.Trump ambao wanampakazia mengi sana ili tu wamchafue lkn D.rump hajasema hayo maneno na wala kwanza hana mpango na Afrika, kusema maneno kama hayo unahitaji mtu mwenye affinity na Afrika sasa D.Trump hana affinity yoyote na Afrika...
 
Kama ni kweli..
Basi itakua ni propergander za kampenii..
Marekani haitawaliwi na Akili ya mtu mmoja Kama Tanzania
 
Usiwe mjinga, D.Trump hajawahi kusema hayo maneno na wala Trump hana mpango na Afrika, na kwanza Afrika haipo kwenye vipaumbele vya US foreign policy na ndiyo maana Afrika haijawahi kuwa kwenye campaign theme za USA hata siku moja ukiachilia Obama na uhusiano na baba yake lkn hiyo siyo foreign policy ya USA kwa maana maslahi ya USA Afrika ni madogo sana!

Hayo maneno ni ya kupakaziwa na makasimu wa D.Trump ambao wanampakazia mengi sana ili tu wamchafue lkn D.rump hajasema hayo maneno na wala kwanza hana mpango na Afrika, kusema maneno kama hayo unahitaji mtu mwenye affinity na Afrika sasa D.Trump hana affinity yoyote na Afrika...
Hiyo taarifa nimeipata seheme mbalimbali kwenye mitandao..Kama wamempkazia hilo ni swala jingine. Hiyo point ya kwamba US haina interest na Africa naipinga. Unadhan misaada US inayowapatia africa ni burebure tu. Africa kuna mali nyingi na ndo mana US na vimisaada vyao huku wakichukua mali zetu nyingi tu. Ni hii ni kwa nchi nyingi tu zinazitoa misaada Africa.
 
Hiyo taarifa nimeipata seheme mbalimbali kwenye mitandao..Kama wamempkazia hilo ni swala jingine. Hiyo point ya kwamba US haina interest na Africa naipinga. Unadhan misaada US inayowapatia africa ni burebure tu. Africa kuna mali nyingi na ndo mana US inatuhadaa na vimisaada vyao huku background wakichukua mali zetu nyingi tu. Ni hii ni kwa nchi nyingi tu zinazitoa misaada Africa.


Elewa nilichosema sijasema kwamba USA haina maslahi Afrika kwa 0% bali nimesema maslahi ya USA Afrika ni madogo sana kuweza kushape foreign policy yake ukilinganisha na maslahi ya USA ASIA, Marekani Kusini au hata Ulaya, Afrika ni Bara la mwisho ambalo USA hata inajali kama lipo au halipo huwo ndiyo ukweli!
 
US business mogul Donald Trump has put Zimbabwean President Robert Mugabe and Ugandan President on notice, vowing to deal with them when he ascends to Presidency.

Speaking while addressing war veterans in Washington, Trump warned other like minded dictators who want to die in power, that their time is up and its just a matter of time before they face justice.

“I want to reiterate here before America’s greatest heroes that I will not condone any dictatorial tendencies exhibited by dictators around the world especially the two old men from Zimbabwe and Uganda”

Mugabe and Museveni must be put on notice that their days are numbered and that I am going to arrest them and lock them in prison. If the past American administrations have failed to stop these two despots, I will personally do it”

Mugabe and Museveni have given the world enough troubles and its about time someone puts to an end all these madness for peace to prevail” said an unapologetic Trump.

If Obama fears them, I will never fear them. If clinton and Bush feared them, If the Pope kneels before them, I will never be reduced to that level. I will never be cowed. I promise to clean all the political mess around the world and promote international justice,” added Trump arrogantly.

My take:
Huyu jamaa akiwa raisi dunia lazima inyooke mana hataki mchezo kabisa na maswala ya kidikteta. TZ tunapoelekea atatukumba.
This man is unaware of Public International law principle on National/state/country sovereignity. He has no power to do so. Such acts will amount to "aggression", something which is not condoned by an civilized nation.
 
Elewa nilichosema sijasema kwamba USA haina maslahi Afrika kwa 0% bali nimesema maslahi ya USA Afrika ni madogo sana kuweza kushape foreign policy yake ukilinganisha na maslahi ya USA ASIA, Marekani Kusini au hata Ulaya, Afrika ni Bara la mwisho ambalo USA hata inajali kama lipo au halipo huwo ndiyo ukweli!
Weka evidence..Nionavyo mm Africa ni bara linaloangaliwa kwa jicho la tatu na nchi za ulaya na US na interest ni kubwa tu.
 
Weka evidence..Nionavyo mm Africa ni bara linaloangaliwa kwa jicho la tatu na nchi za ulaya na US na interest ni kubwa tu.


Huko ni kujidanganya tu, unajua sisi Waafria miaka yote tumekuwa tukiishi kwa kijidanganya na tumelelewa hivyo, ni sawa na tunavyoaminishwa kwamba Bara letu la Afrika ndio Bara tajiri Duniani, hiyo siyo kweli, kila Bara lina utajiri na la kwetu halina upekee wowote ule kwanza Bara letu la Afrika ndiyo moja kati ya mabara yenye matatizo makubwa ya kijiografia kam ukame, upungufu wa vyanzo vya maji, kuna Jangwa kubwa Duniani Sahara, sehemu kubwa ya Afrika ni ukame tupu, ukilinganisha na Mabara mwengine!

Hivyo kwa USA Afrika yetu siyo priority na haijawahi kuwa hivyo, sehemu zote ambazo USA ina maslahi makubwa jambo la kwanza hujenga Military base sasa ni wapi kuna Military base kubwa ya maana Afrika ya USA?
Kwanza kitengo pekee cha USA kinachoshughulikia Afrika cha USA kiko Mji wa Stuttgart, Ujerumani kiitwacho AFRICOM na hii ni mpya lkn bado hakiko Bara la Afrika makao makuu ya ko Ujerumani mpaka leo hii USA bado hawafahamu au hawajaamua waweke wapi AFRICOM hivyo wameamua kuweka Mji wa Stuttgart, Ujerumani!
 
Huko ni kujidanganya tu, unajua sisi Waafria miaka yote tumekuwa tukiishi kwa kijidanganya na tumelelewa hivyo, ni sawa na tunavyoaminishwa kwamba Bara letu la Afrika ndio Bara tajiri Duniani, hiyo siyo kweli, kila Bara lina utajiri na la kwetu halina upekee wowote ule kwanza Bara letu la Afrika ndiyo moja kati ya mabara yenye matatizo makubwa ya kijiografia kam ukame, upungufu wa vyanzo vya maji, kuna Jangwa kubwa Duniani Sahara, sehemu kubwa ya Afrika ni ukame tupu, ukilinganisha na Mabara mwengine!

Hivyo kwa USA Afrika yetu siyo priority na haijawahi kuwa hivyo, sehemu zote ambazo USA ina maslahi makubwa jambo la kwanza hujenga Military base sasa ni wapi kuna Military base kubwa ya maana Afrika ya USA?
Kwanza kitengo pekee cha USA kinachoshughulikia Afrika cha USA kiko Mji wa Stuttgart, Ujerumani kiitwacho AFRICOM na hii ni mpya lkn bado hakiko Bara la Afrika makao makuu ya ko Ujerumani mpaka leo hii USA bado hawafahamu au hawajaamua waweke wapi AFRICOM hivyo wameamua kuweka Mji wa Stuttgart, Ujerumani!
Rubbish
 
Huko ni kujidanganya tu, unajua sisi Waafria miaka yote tumekuwa tukiishi kwa kijidanganya na tumelelewa hivyo, ni sawa na tunavyoaminishwa kwamba Bara letu la Afrika ndio Bara tajiri Duniani, hiyo siyo kweli, kila Bara lina utajiri na la kwetu halina upekee wowote ule kwanza Bara letu la Afrika ndiyo moja kati ya mabara yenye matatizo makubwa ya kijiografia kam ukame, upungufu wa vyanzo vya maji, kuna Jangwa kubwa Duniani Sahara, sehemu kubwa ya Afrika ni ukame tupu, ukilinganisha na Mabara mwengine!

Hivyo kwa USA Afrika yetu siyo priority na haijawahi kuwa hivyo, sehemu zote ambazo USA ina maslahi makubwa jambo la kwanza hujenga Military base sasa ni wapi kuna Military base kubwa ya maana Afrika ya USA?
Kwanza kitengo pekee cha USA kinachoshughulikia Afrika cha USA kiko Mji wa Stuttgart, Ujerumani kiitwacho AFRICOM na hii ni mpya lkn bado hakiko Bara la Afrika makao makuu ya ko Ujerumani mpaka leo hii USA bado hawafahamu au hawajaamua waweke wapi AFRICOM hivyo wameamua kuweka Mji wa Stuttgart, Ujerumani!
Swala la military base kutokuwepo africa haimaanishi US haina interest kubwa africa. Kuna interest nyingi za kuziadili,kuna interest za kiusalama,kiuchumi na mambo mengine. US imewekeza kiuchumi zaidi Africa kuliko kiusalama wakijua Africa kuna mali za kutosha.
 
Mtoa mada ni kweli 666 kwa muujibu wa Ufunuo 13 na 14 inahusu mamlaka itakayoshiniza ibada ya kumtii mwanadamu #mpinga kristo' dhidi ya Mungu. Marekani itatumika kutekeleza huo mpango, huenda na utawala ujao au mwingine lakini neno la Mungu linasema wazi marekani itahusika 'kuifanya sanamu ya mnyama'.
 
Swala la military base kutokuwepo africa haimaanishi US haina interest kubwa africa. Kuna interest nyingi za kuziadili,kuna interest za kiusalama,kiuchumi na mambo mengine. US imewekeza kiuchumi zaidi Africa kuliko kiusalama wakijua Africa kuna mali za kutosha.


Siyo kweli ndugu, USA imewekeza Afrika yetu kiduchu sana ukilinganisha na Mabara mengine, Afrika yetu siyo priority kwa USA mpaka sasa, ingawaje inakwenda inabadilika na ndiyo maana USA ikaanzisha AFRICOM, lkn bado biashara kati ya USA na Afrika ni ndogo sana kuweza kuwafanya USA waifanye Afrika priority, huwo ndiyo ukweli!
 
kama wamarekani wangetaka kumtoa museveni wangemtoa muda mrefu lakini kutokana na museveni anavyowafurahisha kama kupeleka majeshi somalia hiyokitu sahau kumbuka marekani walijaribu kuingiza majeshi wakapata kipigo cha mbwa mwizi badala yake wamekuwa wakitumia majeshi ya kenya,uganda na washirika wake ili kupambana na al shabab
 
hey ugandans be prepared to handle museveni to trump, the guy may become the president
 
1478681087038.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom