Donald Trump Kumpa Uhuru Netanyahu Dhidi ya Iran

Donald Trump Kumpa Uhuru Netanyahu Dhidi ya Iran

Mimi sijasema chochote kuhusu hilo bro; soma vizuri maandishi yangu. Sinaga kawaida ya kukurupuka. The only prediction nilio wahi kuifanya humu ni kuhusu either Kamala au Trump nani atakua raisi wa 47 wa taifa kubwa na imekua. Kwenye maandishi yangu nimemsifia Leon Panetta basi; hilo la Iran na Trump kwenye maandishi yangu umeliona wapi?
Nimeliona ila wewe hujaliona pole kijana
 
Trump hana chakuifanya Iran, angekua nacho angeishambulia iliposhambulia kambi za USA huko Iraq huku yeye akiwa Madaraka .
Je, haukuona kwamba Trump ndiye aliyeidhinidha Amri ya Kuua 'Assassination Order' dhidi ya Mwanasayansi Mbobevu zaidi wa Iran ambaye alikuwa anahusika na Uhandisi wa Silaha za Nyuklia nchini Iran??
 
Nukuu tu kaka; wala srinagar aibu. Kumbuka huyo Panetta sio mfanyakazi wa CIA anymore; kastaafu. May be ana majukumu mengine or not, not sure. The guy is very bright. Ka predict na mimi nimemsifia kwa uwezo wake period. Sikurupukagi kaka
Ndio maana nikasema hilo alopredict itaendelea tu kua predict
 
Kumbuka mahakama ya haki Huko Washington imewatia hatiani washukiwa waliotaka kumuuwa trump huku Iran ikiwa nyuma ya mipango yote ya mauaji..... trump ana hasira nao Sana Iran.

Kinachofanyika sasa ni kufungua Milango ya mazungumzo Kati ya Russia na Ukraine ili kumaliza vita, Russia anahitaj kupumzika na viya na hawakuwa tayari kuingia kwenye vita nyingine ya Iran......naona anguko la Iran lipo karibu sana kuanzia mwakani
Hili la Iran kutaka kumuua Trump kwenye ardhi ya nyumbani kwake sidhani kama linaweza kua na ukweli; kwa mtazamo wangu ni walitaka kumpakazia Iran wakiwa na sababu zao. I'm sure Biden's regime walihusika and of course CIA, sababu zile zile zilizotumika kumuua John F. Kenedy ndio hizo hizo zilitaka kukatisha maisha ya Mjerumani huyu. Iran kama nchi, hana jeuri ya kuandaa assignation ya rais mtarajiwa tena akiwa amewahi kua rais wa nchi hiyo; hili hapana kwa kweli; pale tulipigwa
 
Kumbuka mahakama ya haki Huko Washington imewatia hatiani washukiwa waliotaka kumuuwa trump huku Iran ikiwa nyuma ya mipango yote ya mauaji..... trump ana hasira nao Sana Iran.

Kinachofanyika sasa ni kufungua Milango ya mazungumzo Kati ya Russia na Ukraine ili kumaliza vita, Russia anahitaj kupumzika na viya na hawakuwa tayari kuingia kwenye vita nyingine ya Iran......naona anguko la Iran lipo karibu sana kuanzia mwakani
Huwa hamchoki tu na haya matamanio yenu ya kijinga ?
 
Republican huwa ni miamba wa vita - recall Sadam na Gadaf.
Republican hawataki kabisa kusikia kitu UGAIDI.
Huwezi kuchinja watu live, kubaka watoto mbele ya wazazi wao, kuteka na kuua zaidi ya watu 1000 ambao hawajakuchokoza chochote afu ukabakia salama.
Gaza na Lebanon ni kivumbi - yaani kila uchao wewe na begi, godoro mgogoni kwenda safe zone. Ukigoma ni majivu wewe na familia yako.
Nani aliyebakwa ?
 
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa CIA, amesema kwamba anatarajia serikali ya Donald Trump, tofauti na Setikali ya Biden, itampa Netanyahu uhuru wote dhidi ya Iran, yaani Israel iamue wakati gani wa kuishambulia Iran, iishambulie Iran kwa namna gani, na ishambulie maeneo gani.

Ikumbukwe kuwa utawala wa Biden, ulifanya jitihada kubwa, kwanza kuizuia Israelilipize kisasi, uliposhindwa hilo, ukajitahidi sana kuizuia Israel isishambulie targets ambazo Israel ilipanga kushambulia. Kwenye hili utawala wa Biden ulifanikiwa, na hivyo kuondoa visima vya mafuta na kiwanda cha kurutubisha nuclear energy kwenye orodha ya targets za Israel.

Lakini kuingia kwa utawalawa Trump, unatazamiwa kuyaonfoa haya yote, na huenda kusababisha vita kamili kati ya Israel na Iran.

Source: The Guardian:

Donald Trump will as president give Benjamin Netanyahu a “blank check” in the Middle East, possibly opening the way for all-out war between Israel and Iran, the former CIA director and US defense secretary Leon Panetta predicted.
“With regards to the Middle East, I think he’s basically going to give Netanyahu a blank check,” Panetta said of Trump, who won the presidential election this week and will take office again in January.
“‘Whatever you do, whatever you want to do, whoever you want to go after, you have my blessing.’ I mean, he basically said that [before the election].”
Ujinga tu.
 
Trump atatoa full permission Iran achakazwe na Iran ikicheza kidogo tu au kuleta jeuri atapigika na kupotea kabisa kama Iraq au Syria au Gaza au Libya..!!
Kama makundi yanayofadhiliwa na Iran kama Hezbullah na Houthi wanaisumbua Israel na USA..wanatumia tech za kisasa katika kurusha drones na makombola hao iran wqtachakazwa vipi wakati anataka kuwa super power middle east syria na iraq kuna base zake ..kama USA alitulizwa syria na Assad kurejeshewa urais na kaweka kambi na iraq kaweka wanamgambo na tech kawapa


Kitakachofanyika ni kumuwekea vikwazo lukuki tu hakuna kingine
Trump atatoa full permission Iran achakazwe na Iran ikicheza kidogo tu au kuleta jeuri atapigika na kupotea kabisa kama Iraq au Syria au Gaza au Libya..!!
 
Anampa uhuru wa kufa? USA kumpa Israel uhuru wa kufanya ugaidi wao mbele ya Iran ni sawa na kusema umempa uhuru mtoto wako akaogelee kwenye mto wa mamba, hata huyo USA mbele ya Iran hana anachoweza kufanya
 
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa CIA, amesema kwamba anatarajia serikali ya Donald Trump, tofauti na Setikali ya Biden, itampa Netanyahu uhuru wote dhidi ya Iran, yaani Israel iamue wakati gani wa kuishambulia Iran, iishambulie Iran kwa namna gani, na ishambulie maeneo gani.

Ikumbukwe kuwa utawala wa Biden, ulifanya jitihada kubwa, kwanza kuizuia Israelilipize kisasi, uliposhindwa hilo, ukajitahidi sana kuizuia Israel isishambulie targets ambazo Israel ilipanga kushambulia. Kwenye hili utawala wa Biden ulifanikiwa, na hivyo kuondoa visima vya mafuta na kiwanda cha kurutubisha nuclear energy kwenye orodha ya targets za Israel.

Lakini kuingia kwa utawalawa Trump, unatazamiwa kuyaonfoa haya yote, na huenda kusababisha vita kamili kati ya Israel na Iran.

Source: The Guardian:

Donald Trump will as president give Benjamin Netanyahu a “blank check” in the Middle East, possibly opening the way for all-out war between Israel and Iran, the former CIA director and US defense secretary Leon Panetta predicted.
“With regards to the Middle East, I think he’s basically going to give Netanyahu a blank check,” Panetta said of Trump, who won the presidential election this week and will take office again in January.
“‘Whatever you do, whatever you want to do, whoever you want to go after, you have my blessing.’ I mean, he basically said that [before the election].”
Bila Marekani kujihusisha moja kwa moja itakuwa vigumu kwa Israel kutekeleza hilo.

T14 Armata
 
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa CIA, amesema kwamba anatarajia serikali ya Donald Trump, tofauti na Setikali ya Biden, itampa Netanyahu uhuru wote dhidi ya Iran, yaani Israel iamue wakati gani wa kuishambulia Iran, iishambulie Iran kwa namna gani, na ishambulie maeneo gani.

Ikumbukwe kuwa utawala wa Biden, ulifanya jitihada kubwa, kwanza kuizuia Israelilipize kisasi, uliposhindwa hilo, ukajitahidi sana kuizuia Israel isishambulie targets ambazo Israel ilipanga kushambulia. Kwenye hili utawala wa Biden ulifanikiwa, na hivyo kuondoa visima vya mafuta na kiwanda cha kurutubisha nuclear energy kwenye orodha ya targets za Israel.

Lakini kuingia kwa utawalawa Trump, unatazamiwa kuyaonfoa haya yote, na huenda kusababisha vita kamili kati ya Israel na Iran.

Source: The Guardian:

Donald Trump will as president give Benjamin Netanyahu a “blank check” in the Middle East, possibly opening the way for all-out war between Israel and Iran, the former CIA director and US defense secretary Leon Panetta predicted.
“With regards to the Middle East, I think he’s basically going to give Netanyahu a blank check,” Panetta said of Trump, who won the presidential election this week and will take office again in January.
“‘Whatever you do, whatever you want to do, whoever you want to go after, you have my blessing.’ I mean, he basically said that [before the election].”
Zaman watu wivyokuwa wanaisifi isreli nikajua ni bonge la military state..aishukuru usa kwa lipidizo la tarehe 26 na kwa bahati mabaya limefeli vibaya mpaka raia wao wanashangaa
 
Back
Top Bottom