ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Mkuu America inaifaidi Africa kuliko Afrika inavyoifaidi America fikiri wanaleta vyandarua wanaondoka na tanzanite au dhahabu kutokana na upumbavu wa watawala wa kiafrika.Je sisi ni raia wa Marekani ?
Je tunalipa kodi au tozo Marekani?
Je tunawafanyia nini cha Maana Marekani tustahili misaada ?
Kwa Nchi za Afrika hasa Tanzania mna Madini ya aina mbali mbali ,Ardhi ,Bahari ,Maziwa na mito , vivutio vya kitalii ni ujinga kulilia misaada.
Nadhani Africa tumepewa kila kitu labda Akili tu
Trump ni Rafiki mwema anatufundisha namna ya kujitegemea na kuachana na misaada yenye Masharti magumu .
Balozi wa Marekani sasa amepoteza hiyo nguvu ya kukemea chochote katika nchi.Balozi wa Marekani alipoonya kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na serikali ya CCM Samia alitoa majibu ya kifedhuli sana,sasa Trump naye amechoka kuwasaidia watu wasiokuwa na utu hata kwa Raia wao kama ifanyavyo serikali ya CCM kwa wapinzani.
Saivi tunaibiwa wewe ukowapi? Unauliza ujingaWakati mnaibiwa nyie mlikuwa wapi ?
Huyo Balozi Battele alikuwa akitupotezea mwelekeo wapinzani.Balozi wa Marekani sasa amepoteza hiyo nguvu ya kukemea chochote katika nchi.
Basi tulia usililie misaada ya Nchi nyingine tahira weweSaivi tunaibiwa wewe ukowapi? Unauliza ujinga
We zezeta usoelewa utaolewa na wazungu ww...Basi tulia usililie misaada ya Nchi nyingine tahira wewe
Shida yule nae propaganda zilikuwa nyingi sana.Mara Ooh tunajenga kwa hela zetu za ndani. Kila Kona ni mapambio tu. Kumwamini mtu wa hivi yataka moyo!Mwamba Magufuli alikuwa anayasema hayahaya mkamlaumu hadi kumuapia kwa Mama zenu. Sasa anaongea Trump kwakuwa ni mzungu mnamsifia. Kwakweli Miafrika ndivyo tulivyo!!!
We ta.ko kweli ujinga wenu ndio ulipelekea mkaibiwa sasa hivi mnalilia misaadaWe zezeta usoelewa utaolewa na wazungu ww...
Wapumbafu walituibia nasasa lazima warudishe na hatuwaombi tutawalaani moto utawawakia mbayambovu she nzi
Kijana wa hovyo...Wazazi wako walichoweza kukufundisha nihicho...wape pole sanaWe ta.ko kweli ujinga wenu ndio ulipelekea mkaibiwa sasa hivi mnalilia misaada
AiseeKijana wa hovyo...Wazazi wako walichoweza kukufundisha nihicho...wape pole sana