Donald Trump ni Rafiki wa kweli wa Afrika, wajinga na wanufaika wa misaada pekee watalaumu maamuzi yake

Donald Trump ni Rafiki wa kweli wa Afrika, wajinga na wanufaika wa misaada pekee watalaumu maamuzi yake

Je sisi ni raia wa Marekani ?

Je tunalipa kodi au tozo Marekani?

Je tunawafanyia nini cha Maana Marekani tustahili misaada ?

Kwa Nchi za Afrika hasa Tanzania mna Madini ya aina mbali mbali ,Ardhi ,Bahari ,Maziwa na mito , vivutio vya kitalii ni ujinga kulilia misaada.

Nadhani Africa tumepewa kila kitu labda Akili tu

Trump ni Rafiki mwema anatufundisha namna ya kujitegemea na kuachana na misaada yenye Masharti magumu .​
Mkuu America inaifaidi Africa kuliko Afrika inavyoifaidi America fikiri wanaleta vyandarua wanaondoka na tanzanite au dhahabu kutokana na upumbavu wa watawala wa kiafrika.
 
Balozi wa Marekani alipoonya kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na serikali ya CCM Samia alitoa majibu ya kifedhuli sana,sasa Trump naye amechoka kuwasaidia watu wasiokuwa na utu hata kwa Raia wao kama ifanyavyo serikali ya CCM kwa wapinzani.
Balozi wa Marekani sasa amepoteza hiyo nguvu ya kukemea chochote katika nchi.
 
Balozi wa Marekani sasa amepoteza hiyo nguvu ya kukemea chochote katika nchi.
Huyo Balozi Battele alikuwa akitupotezea mwelekeo wapinzani.

Balozi huyo alikuwa akisema misaada ni mizuri na alienda mbali na kusema misaada yao ni ya bure, kana kwamba ni mizuri na hakuishia hapo tyu, akataja mpaka na kiasi cha fedha katika mabilioni ya mudola wanayoleta Tanzania. Tuka yakariri, tukaanza kuwaambia wananchi, Misaada ni mizuri.

Nani anakumbuka misaada ya USAID ya michele enye virutubisho kwa watoto wa shule kule Dodoma?

Mnawakumbuka waliokuwa wakimtetea mmarekani?
Leo wako wapi na Mmarekani ni yule yule?

Hata hivyo hawa wanatupotezesha na kutuvuruga sana. DAWA ni kukataa hiyo misaada.

Nafurahi Balozi anarudi kwao kwenda kusoma magazeti SD. Bure kabisa yule. Na Trump aondoe ulinzi wake na ampe mshahara wake wa mwisho akalee batoto.
 
Basi tulia usililie misaada ya Nchi nyingine tahira wewe
We zezeta usoelewa utaolewa na wazungu ww...
Wapumbafu walituibia nasasa lazima warudishe na hatuwaombi tutawalaani moto utawawakia mbayambovu she nzi
 
Mwamba Magufuli alikuwa anayasema hayahaya mkamlaumu hadi kumuapia kwa Mama zenu. Sasa anaongea Trump kwakuwa ni mzungu mnamsifia. Kwakweli Miafrika ndivyo tulivyo!!!
Shida yule nae propaganda zilikuwa nyingi sana.Mara Ooh tunajenga kwa hela zetu za ndani. Kila Kona ni mapambio tu. Kumwamini mtu wa hivi yataka moyo!
 
We zezeta usoelewa utaolewa na wazungu ww...
Wapumbafu walituibia nasasa lazima warudishe na hatuwaombi tutawalaani moto utawawakia mbayambovu she nzi
We ta.ko kweli ujinga wenu ndio ulipelekea mkaibiwa sasa hivi mnalilia misaada
 
Back
Top Bottom