Mdenyamalinga
New Member
- May 24, 2021
- 1
- 1
Napataje scholarship wadau tukajifunze na kwa wenzetuWakuu habari ya muda,
Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania.
Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya Tanzania, tupeane maelekezo na hatimaye wengi wetu tutoke na kwenda kujifunza dunia inaendaje upande mwingine wa Dunia.
Nitakuwa mstari wa mbele kutoa updates na maelekezo kadiri nitakavyoweza.
Karibuni sana!
Sidhani kama zipo.Wakuu hivi zipo scholarships kwa level ya certificate??
Huwa zinatofautiana, kuna ambazo lazima uombe kwanza admission ili upate ila zipo ambazo n za moja kwa moja yaan admission na scholarship ni kitu kimoja, hii unaomba tu scholarship admission wanafanya wao. Nying zinataka huwe na admission kwanza hvyo ni muhimu kuwa nayo au kuna na uhakika nayo kabla ya kuombaTuendelee kusaidian konekisheni za ufadhili wa masomo..kuna kitu nataka kufahamu.
Je unaomba kwanza scholarship ndio unaomba programs ya kusoma ama unaanzaje.?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂Una wazo zuri ila wewe tiyari una msingi kiuno chako si ukomae hapa Bongo?
Msaada jaman,mm uv kwa wale ambao tumemaliza diploma ya nursing and midwifery,ufadhili wa kusoma nje upo
Validity ya certificate yake ni muda gani?Hakuna vigezo vikubwa.. basically unajisajili na lazima uwe na passport ID
Na fee ya kuufanya ni Tshs. 590,000
Mimi naombeni mwenyewe konnection na wafadhili anisaidie nisomee hata humuhimu bongo maana ninateseka sana 0746804651 nimechaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha dar es salaam.naomben mnisaidieScholarship za Scandinavian please
Hivi TOEFL certificate huwa ina expire?Kuomba scholarship ni mchakato sio swala la wiki ama mwezi kama uko serious anza sasa kufikia 2021 mwezi wa 6 utakuwa na mwelekeo mzuri
Andaa motivation letter, heath form hapa unapaswa kupimwa na kuanza kinga ya hepatitis A & C
Fanya TOEFL/ Test
Andaa reference letter 2
Andaa Concept Note
Scan document ya vyet vyako
Kuwa na international passport
Scan passport photo
Ukimaliza unaweza kuanza kuapply na kuboresha documents zako kuendana na uhitaji na muda
Kama umewahi kuomba scholarship siku za nyuma ukakosa ni vizuri kwani utakua na uzoefu wa kujibu maswali na unajua exactly nini unataka kusomea unaweza kuwa na GPA kubwa lakini usipate sababu ya poor motivation and research study area
Hivi TOEFL certificate huwa ina expire?
Baada ya muda gani?Ndiyo