Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Habari Jamiiforums members naomba mnisaidie kupata scholarships za nchi za Scandinavian mfano Norway, Sweden, na Denmark . Scholarships for undergraduate applicants.

Kwa courses mfano professional pilots in aviation, architectural engineering, electronics engineering, electrical engineering, aeronautics & astronautics engineering, aerospace engineering, telecommunications engineering. I'm looking forward to hearing from you. Thanks in advance
 
samahani naomba kuuliza hivi kuna scholarship za kwenye kusoma vyuo bora vya dunia kama oxford na harvard kwa ngazi ya diploma?
 
tunatoa scholarships(ufadhili wa kimasomo) kwa wale wanaopenda kwenda kusoma nje ya nchi, kama china japan na korea kusini.
scholarships hivi ni kwa ngazi ya Phd, Masters, Bachelors na kozi za kusoma lugha(language programs)
kwa mawasiliano zaidi, fika ofisini kwetu mwananyamala kwa makoma Dar es salaam.
pia unaweza kutupigia simu kupitia number 07111 684900,+86 137 61325614 au tembelea tovuti yetu www.elimusolutions.co.tz.

Mmmh 😕😕😕! Ni kweli mnatoa scholarships au mnasaidia watu kuomba scholarships?
 
Habari Jamiiforums members naomba mnisaidie kupata scholarships za nchi za Scandinavian mfano Norway, Sweden, na Denmark . Scholarships for undergraduate applicants.

Kwa courses mfano professional pilots in aviation, architectural engineering, electronics engineering, electrical engineering, aeronautics & astronautics engineering, aerospace engineering, telecommunications engineering. I'm looking forward to hearing from you. Thanks in advance

Hizi aeronautical/aviation kwa undergraduate you need to forget.. you need to be very outstanding and passed ACSEE with flying colours ,to win, chances are 1 in 1000..and never sure 100% full scholarship.

Soma mechanical/telecom/electical/mechanical (related field ) in undergraduate. Then masters uje uombe aeronautical..easy to get. especially France (you need academic degree in this case/LMD system)
 
Thanks

hizi aeronautical/aviation kwa undergraduate you need to forget.. you need to be very outstanding and passed ACSEE with flying colours ,to win, chances are 1 in 1000..and never sure 100% full scholarship.
soma mechanical/telecom/electical/mechanical (related field ) in undergraduate. Then masters uje uombe aeronautical..easy to get. especially France (you need academic degree in this case/LMD system)
 
tunatoa scholarships(ufadhili wa kimasomo) kwa wale wanaopenda kwenda kusoma nje ya nchi, kama china japan na korea kusini.
scholarships hivi ni kwa ngazi ya Phd, Masters, Bachelors na kozi za kusoma lugha(language programs)
kwa mawasiliano zaidi, fika ofisini kwetu mwananyamala kwa makoma Dar es salaam.
pia unaweza kutupigia simu kupitia number 07111 684900,+86 137 61325614 au tembelea tovuti yetu www.elimusolutions.co.tz.
vipi kuhusu utaratibu wa skolaship za korea ya kusini
 
Website ya tcu kuna matangazo matatu ya scholarship wadau,,ya chinese gvt na New zealand
 
Back
Top Bottom