Enkulu
Member
- Sep 29, 2022
- 20
- 76
Leo jumatano ya tarehe 31 Julai 2024, ni siku ya mnada wa Hatifungani ya miaka 20 yenye riba ya 15.49% kwa mwaka.
Kwa watakao shinda katika mnada huu watakuwa na dhamana ya miaka 20 kama nilivyosema hapo awali. Dhamana hii itakuja na kuponi mbili kwa mwaka, yaani kila baada ya miezi sita (06)
Ninaposema kuponi namaanisha utalipwa nusu ya riba ndani ya miezi sita na nusu nyengine utalipwa baada ya miezi sita tena ili kukamilisha mwaka.
Hatifungani hii itadumu Kwa muda wa miaka 20 hivyo baada ya miaka 20 utalipwa pesa uliyowekeza (principal amount). Mfano huo hapo kwenye picha
FAIDA ZA HATIFUNGANI HII
:-Kama zilivyo hatifungani zengine itakupa faida zifuatazo zitakazodumu kwa muda wa miaka 20
📚 Hatifungani ni dhamana (collateral) hivyo una uwezo wa kukopa Benki kupitia hatifungani hii, uwezo wa kukopa utatofautiana kulingana na fedha ulizowekeza.
📚Kuwa na uhakika wa malengo ya muda mrefu. Mfano, ada ya mtoto. Kuanzia darasa la kwanza hadi chuo kikuu Mtanzania hutumia miaka 17 shuleni. Hivyo unaweza kuwekeza pesa ambayo kuponi zake zitatumika kama ada ya mwanao.
📚 Hatifungani ni uwekezaji wenye hatari ndogo. Hatifungani za serikalli zinasimamiwa na serikalli kupitia Benki kuu ya Tanzania (B.O.T) hivyo uwezekano wa wewe kupata hasara ni mdogo mno.
NOTE: Faida zipo nyingi sana hizo ni baadhi tu, kujifunza mengi kuhusu Hatifungani, karibu uwanja wa email @geminifinaces808@gmail.com
Kila la kheri🙏🇹🇿
Hi
Kwa watakao shinda katika mnada huu watakuwa na dhamana ya miaka 20 kama nilivyosema hapo awali. Dhamana hii itakuja na kuponi mbili kwa mwaka, yaani kila baada ya miezi sita (06)
Ninaposema kuponi namaanisha utalipwa nusu ya riba ndani ya miezi sita na nusu nyengine utalipwa baada ya miezi sita tena ili kukamilisha mwaka.
Hatifungani hii itadumu Kwa muda wa miaka 20 hivyo baada ya miaka 20 utalipwa pesa uliyowekeza (principal amount). Mfano huo hapo kwenye picha
FAIDA ZA HATIFUNGANI HII
:-Kama zilivyo hatifungani zengine itakupa faida zifuatazo zitakazodumu kwa muda wa miaka 20
📚 Hatifungani ni dhamana (collateral) hivyo una uwezo wa kukopa Benki kupitia hatifungani hii, uwezo wa kukopa utatofautiana kulingana na fedha ulizowekeza.
📚Kuwa na uhakika wa malengo ya muda mrefu. Mfano, ada ya mtoto. Kuanzia darasa la kwanza hadi chuo kikuu Mtanzania hutumia miaka 17 shuleni. Hivyo unaweza kuwekeza pesa ambayo kuponi zake zitatumika kama ada ya mwanao.
📚 Hatifungani ni uwekezaji wenye hatari ndogo. Hatifungani za serikalli zinasimamiwa na serikalli kupitia Benki kuu ya Tanzania (B.O.T) hivyo uwezekano wa wewe kupata hasara ni mdogo mno.
NOTE: Faida zipo nyingi sana hizo ni baadhi tu, kujifunza mengi kuhusu Hatifungani, karibu uwanja wa email @geminifinaces808@gmail.com
Kila la kheri🙏🇹🇿
Hi