Dondoo za hatifungani za leo - 20yrs Bond 15.49%

Dondoo za hatifungani za leo - 20yrs Bond 15.49%

Tuwekeze kwa gold value Wala sio hata iyo dollar yako pia huwa inashuka ingawa sio Kama tzs Ila bucks ,fiber ,lira,Aussie,loonie and kiwi zinashuka pia
The dollar is there to stay. Achana na hao wapiga ramli..sijui brics sijui vitu gani….uchumi wa US kuporomoka siyo leo wala Kesho. If you can….dollar is the most stable and reliable currency. Mengine yote ni professorial rubbish..in TL voice.
 
Lakini mkuu ata kwenye bond pesa inaongezeka hiyo 15% inaifanya pesa yako uliyoiweka isiwe ile ile ya mwaka 2004 itakuwa ni kubwa leo 2024
Watu mnaongea mambl mengi as if haizai
Kuweka kwenye bond ni tofauti na kusave bank
15% ndo riba unao pewa ila mwaka principle amount inabaki ile ile labda ukisema kwamba hiyo 15% uyuchukui sasa utakula nini kwa miaka 20 hiyo, tena kingine inflation rate ni kubwa mara nne ya riba unao lipwa, nimekupa mfano wanauli ya Ubungo miaka 20 ilio pita imeongezeka kwa 400% sio 15%
 
15% ndo riba unao pewa ila mwaka principle amount inabaki ile ile labda ukisema kwamba hiyo 15% uyuchukui sasa utakula nini kwa miaka 20 hiyo, tena kingine inflation rate ni kubwa mara nne ya riba unao lipwa, nimekupa mfano wanauli ya Ubungo miaka 20 ilio pita imeongezeka kwa 400% sio 15%
Kuna Mtanzania ambaye kipato chake kinaendana na inflation?
 
Hiyo 15.4% ndiyo ilikuwepo miaka yote, Ila mwaka juzi wakashusha hadi 12
Sijajua imerudi lini tena 15
Chief hii rate inaendana na umri wa uwekezaji, kuna 5,7,10 n.k kila miaka na rate yake usichanganye 12% ata sasa ipo ila kwa TBond za miaka michache nadhani ni 10 au 15 hvi au pungufu fuatilia kwenye tovuti ya BOT
 
Chief hii rate inaendana na umri wa uwekezaji, kuna 5,7,10 n.k kila miaka na rate yake usichanganye 12% ata sasa ipo ila kwa TBond za miaka michache nadhani ni 10 au 15 hvi au pungufu fuatilia kwenye tovuti ya BOT
Najua rate huwa kulingana na miaka ya uwekezaji, Ila mwaka juzi walishusha, hiyo ya miaka 20 ilishuka hadi 12%
 
Watanzania wengi hawana financial literacy, hususani kwenye finance market, inflation rate yetu haikuruhusu kufaidi hiyo pesa, kabisa ni kupoteza mda nikupe mfano 2004, 1US $ = 900 up to 970 Tanzanian shilling miaka 20 kwa sasa 2024 1US$ =2400 up to 2600,.....kama uliwekeza 100m miaka 20 iliopita sasa hivi wakukurudishia hiyo pesa haina value tena, kama ni dollor unapata $45,000 kwa sasa lakini miaka 20 ilio pita hiyo pesa ungepata $110 000. Hapo kuna faida kweli hapana..........

Kama unataka kufaidi finance market neenda UK au US kanunue hizo bonds wana wapa hata foreiners fursa hiyo ya kununua, wekeza dollor $50,000, rudi Tanzania kalale hutakuja kufa masikini maishani yako, utakua unakula tu exchange rate tu ya unstable currency yetu inao panda kila ukicha, kwa mwezi huwezi kukosa 10 to 15m, na pesa inawekwa tu kwenye your local account hamna haja ya kupigia customer care.
Mfano U.K na U.S bonds wanatoa percent ipi interest per annum?
 
Mkuu,Umechanganya Vitu Vingi SANA.Bond za Serikali na RIBA yake haikokotolewi hivyo.Angalia kwenye hilo Jedwali happo kweny Milioni 100 kila mwaka utalipwa milioni 15.Kisha Baada ya mika 20 Utarudishiwa Milioni zako 100 ingawa sasa hiyo Rate ya Asilimia 15 inanitisha sana Labda Mleta Uzi afafanue zaidi.
Kila mwaka?
 
Mkuu,Umechanganya Vitu Vingi SANA.Bond za Serikali na RIBA yake haikokotolewi hivyo.Angalia kwenye hilo Jedwali happo kweny Milioni 100 kila mwaka utalipwa milioni 15.Kisha Baada ya mika 20 Utarudishiwa Milioni zako 100 ingawa sasa hiyo Rate ya Asilimia 15 inanitisha sana Labda Mleta Uzi afafanue zaidi.
Hiyo rate ni fixed, hata kutokee msala gani wewe utasimama na hiyo rate hadi siku ya ukomo wake.
 
Naomba kuuliza,let's say nimewekeza hiyo 100m,je endapo nitaitumia bond hiii kama collateral kwenye benki,watanikopesha asilimia ngapi kwenye huo uwekezaji wangu,na je,hesabu inapigwa kwenye hiyo face value ya bond au ni kwenye kiasi nilichowekeza pamoja na faida jumla nitakazozipata kutokana na coupons zote ndani ya hiyo miaka 20?
Mkopo unarejesha kiasi fulani kwa kila mwezi, hivyo kama kwa mwezi bond inakuingizia milioni 1.5 then wao wataangalia unakopesheka kwa kiasi gani kutoka kwenye hiyo income yako ya mwezi.
 
Mim naungana na wewe mkuu, ni bora sana narudia tena ni hora sana milioni 100 kuiwekeza kwenye nyumba ya kupangisha ambayo inaweza kukupa hiyo milioni 15 kwa mwaka na bado unaweza kutumia hiyo nyumba kama collateral kuomba mkopo na ukaweza kujenga nyumba nyingine ambapo ukiwa na mahesabu mazuri ndani ya miaka 10 huwez kukusa nyumba walau 3. Nyumba inapanda thamani kila kukicha ila shilingi yetu inaporomoka sana thamani yake kila siku
Nyumba gani hiyo unayoweza kununua kiwanja na kujenga kwa milioni 100 tu, afu ikupe return ya 15m kwa mwaka, yaani sawa na almost 1.2M kwa mwezi, eti wajuzi wa mambo, nyumba ya 100m (Kiwanja na Ujenzi) inaweza leta kodi ya 1.2m kwa mwezi?
 
Back
Top Bottom