Watanzania wengi hawana financial literacy, hususani kwenye finance market, inflation rate yetu haikuruhusu kufaidi hiyo pesa, kabisa ni kupoteza mda nikupe mfano 2004, 1US $ = 900 up to 970 Tanzanian shilling miaka 20 kwa sasa 2024 1US$ =2400 up to 2600,.....kama uliwekeza 100m miaka 20 iliopita sasa hivi wakukurudishia hiyo pesa haina value tena, kama ni dollor unapata $45,000 kwa sasa lakini miaka 20 ilio pita hiyo pesa ungepata $110 000. Hapo kuna faida kweli hapana..........
Kama unataka kufaidi finance market neenda UK au US kanunue hizo bonds wana wapa hata foreiners fursa hiyo ya kununua, wekeza dollor $50,000, rudi Tanzania kalale hutakuja kufa masikini maishani yako, utakua unakula tu exchange rate tu ya unstable currency yetu inao panda kila ukicha, kwa mwezi huwezi kukosa 10 to 15m, na pesa inawekwa tu kwenye your local account hamna haja ya kupigia customer care.