Dondosha ''MBONA'' yako nyingine hapa mdau👇😂😂

Dondosha ''MBONA'' yako nyingine hapa mdau👇😂😂

daxy Jr

Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
88
Reaction score
307
(1) Mbona Taifa Stars haichezi na Yanga?😂

(2) Mbona Bocco amefungia kichwa na ni mpira wa miguu😂

(3) Mbona refa hawampi pasi na amevaa njumu😂

(4) Mbona mchezaji akifunga golini kwake wanashangilia timu pinzani😂

(5) Mbona kocha haingii kusaidia team yake na yeye ndo anajua kuliko wao😂
 
Mbona wewe ni kilaza namna hiyo?

Mbona umepost ujinga wa fb hapa jf?

Mbona na mimi nimereply ujinga tena!
 
(1) Mbona Taifa Stars haichezi na Yanga?[emoji23]

(2) Mbona Bocco amefungia kichwa na ni mpira wa miguu[emoji23]

(3) Mbona refa hawampi pasi na amevaa njumu[emoji23]

(4) Mbona mchezaji akifunga golini kwake wanashangilia timu pinzani[emoji23]

(5) Mbona kocha haingii kusaidia team yake na yeye ndo anajua kuliko wao[emoji23]
Kama wewe sio kolo sijui
 
Mbona makolo wanateseka kwa mafanikio ya Yanga
 
Mbona matomboy ni watamu kuliko mademu straight
 
mbona nimepiga strokes nyingi sana lakini sikojoi ?
 
Back
Top Bottom