Wewe mwenye deve kamili Mbona unamjibu mtu mwenye debe nusu๐Mbona kama debe lako kichwani liko nusu?
๐๐Mbona wewe ni kilaza namna hiyo?
Mbona umepost ujinga wa fb hapa jf?
Mbona na mimi nimereply ujinga tena !!!
๐๐Mbona hutafuti connectionMbona sipati connection
Mbona kama nashangaaa?? Aisee dunia ina ijinga mwing sana nimejikuta nacheka kama chiziWewe mwenye deve kamili Mbona unamjibu mtu mwenye debe nusu[emoji23]
Kama wewe sio kolo sijui(1) Mbona Taifa Stars haichezi na Yanga?[emoji23]
(2) Mbona Bocco amefungia kichwa na ni mpira wa miguu[emoji23]
(3) Mbona refa hawampi pasi na amevaa njumu[emoji23]
(4) Mbona mchezaji akifunga golini kwake wanashangilia timu pinzani[emoji23]
(5) Mbona kocha haingii kusaidia team yake na yeye ndo anajua kuliko wao[emoji23]
Na nani Babu yako ?Mbona hatupati connection ya Zumaridi akibanduliwa.
NdioNa nani Babu yako ?