Dondosha ''MBONA'' yako nyingine hapa mdau๐Ÿ‘‡๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

daxy Jr

Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
88
Reaction score
307
(1) Mbona Taifa Stars haichezi na Yanga?๐Ÿ˜‚

(2) Mbona Bocco amefungia kichwa na ni mpira wa miguu๐Ÿ˜‚

(3) Mbona refa hawampi pasi na amevaa njumu๐Ÿ˜‚

(4) Mbona mchezaji akifunga golini kwake wanashangilia timu pinzani๐Ÿ˜‚

(5) Mbona kocha haingii kusaidia team yake na yeye ndo anajua kuliko wao๐Ÿ˜‚
 
Mbona wewe ni kilaza namna hiyo?

Mbona umepost ujinga wa fb hapa jf?

Mbona na mimi nimereply ujinga tena!
 
Kama wewe sio kolo sijui
 
Mbona makolo wanateseka kwa mafanikio ya Yanga
 
Mbona matomboy ni watamu kuliko mademu straight
 
mbona nimepiga strokes nyingi sana lakini sikojoi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ