Dondosha mstari wowote wa Biblia unaoupenda leo ni Ijumaa

Dondosha mstari wowote wa Biblia unaoupenda leo ni Ijumaa

Warumi 1
26 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;

27 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.

28 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.

Ndiyo hayo ya polisi wa zenji tunayashuhudia
 
Warumi 1
26 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;

27 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.

28 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.

Ndiyo hayo ya polisi wa zenji tunayashuhudia
Dah haya mambo yalishatabiriwa kumbe
 
Mithali 6:26
Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani

For by means of a whorish woman a man is brought to a piece of bread: and the adulteress will hunt for the precious life.
 
Amos5:7 tahadhari enyi mnaogeuza haki kuwa uchungu na kuuona uadilifu kuwa kama takataka
 
1Wakoritho 6:9 “Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala WAFIRAJI, WALA WALAWITI,

Niliko-bold,neno hili lituongoze hasa week hii ambayo humu kumejaa mada zihusuzo UFIRAJI/RWAJI na kuonekana kuna baadhi ya member wanaushangilia mchezo huo.
 
1Wakoritho 6:9 “Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala WAFIRAJI, WALA WALAWITI,

Niliko-bold,neno hili lituongoze hasa week hii ambayo imejaa mada zihusuzo UFIRAJI/RWAJI na kuonekana kuna baadhi ya member wanaushangilia mchezo huo.
Nakazia😇😇
 
Zaburi 128:1-4


[1]Heri kila mtu amchaye BWANA, Aendaye katika njia yake.
[2]Taabu ya mikono yako hakika utaila; Utakuwa heri, na kwako kwema.
[3]Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao, Vyumbani mwa nyumba yako. Wanao kama miche ya mizeituni Wakiizunguka meza yako.
[4]Tazama, atabarikiwa hivyo, yule amchaye BWANA.
 
1Wakoritho 6:9 “Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala WAFIRAJI, WALA WALAWITI,

Niliko-bold,neno hili lituongoze hasa week hii ambayo imejaa mada zihusuzo UFIRAJI/RWAJI na kuonekana kuna baadhi ya member wanaushangilia mchezo huo.
Nilikuwa natafuta huu mstari Kuna mtu hapa jukwaani niliquote kuwa wafuraji hawatauona ufalme wa Mungu basi alinichallange nimpe evidence, thanks for sharing this Golden verse neno la Mungu ni kinywa Cha Mungu
 
Back
Top Bottom