Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Kama Morrison anakula mbwa kwa nini sisi tusileHuyo tayari kashawekwa kwenye vimishkaki vya jioni vile vya mia tano miatano😔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Morrison anakula mbwa kwa nini sisi tusileHuyo tayari kashawekwa kwenye vimishkaki vya jioni vile vya mia tano miatano😔
Hao mbwa ni wakali kishenzi Ukijifanya unaend kumshika kam unavyokamataga Bata wako wa sikukuu aisee Anakurarua makalio na hiyo Milion Moja inakutokea Puani.
Route inabadilika tena kutokea Mchongo wa Milion moja mpk kubaki na Tako moja sio mchezo mazee
Mbwa gani huyo hana hata akili ya kurudi ghetto kwake?Mnataka mgawe milioni ya bure tu.Let him be a scavenger!
Je nikileta ngozi yake
Fungu la kukosa unakuwa.Unamaliza kumchinja unakuta tangazo linasema ukimpeleka unapewa Mil 1.
Hafu we umetupa kichwa, Miguu, utumbo, ngozi imebaki kilo 5 ambayo ukiuza mishkaki haizidi ata elfu 60.
watu mna imani za hovyo,ina maana we hujui kama harufu husafiri kwa upepo? Siku nyingine kabla mishikaki haijakufikia utasikia harufu kwanza.😅😅😄 kuna vimishikaki vinapitishwaga nikiwa soko la kariakoo navyiona mara nyingi..... husikii harufu hadi viwe vinaondoka
Wewe ndio mwenye akili za hovyo kuona mitazamo ya wengine ni ya hovyo.watu mna imani za hovyo,ina maana we hujui kama harufu husafiri kwa upepo? Siku nyingine kabla mishikaki haijakufikia utasikia harufu kwanza.
Acha mihemko,sijaongelea akili nimeongelea Imani...Wewe ndio mwenye akili za hovyo kuona mitazamo ya wengine ni ya hovyo.
Kwamba vimishikaki vile tu ndio harufu hutembea na upepo
Mingine harufu iko pale pale
Ivyo vimshikaki vinakuwaga vitamu sana. yaani kimoja 200, mi huwa napiga vya 1000. kitu kinachonifurahisha ni... kutokuwa na shaka wala wasiwasiHuyo tayari kashawekwa kwenye vimishkaki vya jioni vile vya mia tano miatano😔