Dongo lililojificha kwenda kwa wanaojiita Simba

Wangekuwa wanaanzisha vita wasiyoshindwa mbona kwenye views povu lilitoka balaaa macho kodooo kwa mic hhahaahahha. Wazee wa views
 
Acheni porojo ninyi ni wapi ktk hio nyimbo kamsema mtu mbona hamsemi ametaja mara ngapi 'tunachambua kama karanga' Tz shida majungu sana.
 
Aisee Dimpoz kaharibu kavujisha mchongo wa viewers kila mtu sasa amejua hii siri [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wangekuwa wanaanzisha vita wasiyoshindwa mbona kwenye views povu lilitoka balaaa macho kodooo kwa mic hhahaahahha. Wazee wa views
Hebu tuangalie tofauti ya wanaonunua views na wale wasio nunua;

a) wasio nunua views

- mwengine mpaka sasa anakaa kwa mama (he is on his 30's)
- yuko kwenye mziki zaidi ya miaka 10 na bado analalamika kufanyiwa figisu kama underground
- mwingine mziki umemtupa mpaka imebidi ajenge urafiki na waarabu unaotiliwa mashaka ili tu aweze kumudu maisha ya kistaa mjini.
- wote wanashikiwa akili na wadada wa mjini (mwegelo, sepetu & co)
- wana kila dalili ya msongo wa mawazo




b) wanaonunua views

- wanajitegemea kimaisha kwa maana ya makazi.! Kuanzia ndani na nje ya nchi
- ni 'trend setters'! Wanafanya kitu baadae kila msanii anaiga.
- wana kampuni/lebo yenye valuation ya billions of shillings.
- wanaheshimiwa kila kona ya bara la africa kimuziki.
- kila wanachogusa turns into gold.



Sasa; kuna filamu inaitwa 'wolf of wall street', kuna kipande leonardo de caprio anatoa speech kwa wenzake anawaambia "..there is no nobility into being poor! i have been a poor man and i have been a rich man, and I choose rich every f*cking time.."

Na mimi niseme kwamba, ukinambia nichague kuwa niwe nanunua views au niwe sinunui views, jibu langu "..I choose kununua views every f*cking time.."

The Bold.
 
Mkuu ww ndio umeongea point......mm naona darasa hajamlenga mtu yoyote hio ni mistari tu ya hiphop kama mistari mingine so hao wenye team zao watulize mishono
 
Wimbo m'baya,akajipange upya.

Bila kiki ya wasafi huwezi jadiliwa JF Go chibu goooooo

beat na melody ya huu wimbo ni copy ya wimbo fulani....

Nani Kaproduce huu Wimbo?

darasa kasema kweli tupu huwezi kujiita simba huku umetoboa pua

Aisee Dimpoz kaharibu kavujisha mchongo wa viewers kila mtu sasa amejua hii siri [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwa.kujishtukia tu hamjambo hahahaha wazee wa povu

Itaje hiyo nyimbo bas
Wakuu, hata mimi uhater najua sana sema basi tu sitaki..
Hebu tufanye hivi, nenda kasikilize huu wimbo nimeweka link hapa chini..
Sikiliza beat, sikiliza melody na angalia "plot" ya nyimbo alafu uje hapa unibishie Darasa hajacopy..


Song: Sanko
Artist: Timaya
Producer: Orbeat


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…