Dongo lililojificha kwenda kwa wanaojiita Simba

Acha wivu haujengi umenikera sana leo nyimbo nzuri,kama,hii,af kazi kuponda,tu
Poa ngoja niusifie, hili ni boooooooooooooonge la ngoma lazima Mapromota wataanza kumtafuta ili akapige shoo nje.
 
Kajiandae kiba x Bella
Nisamehe kiba xbaraka
Kokoro mavoko xdangote
Salome dangote x raymond
Zoooooooooote zimezimwaaaa ....mitaa inamsikiliza darasa......uwiiiiiii weka muziki
255 champion niite Mbwana Samatta[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Sinzia na fegi uchome kibanda
[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Vituu vingine havitagi ujuaji[emoji441]
Utajikuta unatandikia watu jamvi[emoji441]

Bonge moja la ngoma kwa watu tulio free na team zao
 
Noma noma nomaaaaaaaaaa.hatuna team Ila tunashinda.uwiiiiiiiiiii
 
Mbona wimbo mbovuu...... takeu si takeu. wala siuelewi..
 
Haya mapovu yanayowatoka hapa tayari huo ni ushindi mkubwa sana.

Mimi siangaliagi hizi video za Bongofleva kwa kutumia bundle yangu lakini kwenye uzi huu imebidi niangalie na the guy yuko vizuri.

Wewe kama umechukia fanya hivi, chukuwa godoro na mto wako na shuka kisha nenda Mandela road weka godoro lako pale lala.
 
Mkuu mambo ya beat kufanana na beat nyingine hiyo sio kesi ya Darassa utamuonea bure.

Hiyo ni kazi ya Producer ila iwe na Darassa aliandaa hiyo beat pia.
 
Mkuu hisia zako umezipeleka mbali mno.

Darassa sio msanii wa aina hiyo kabisa ndio maana pamoja na ukaribu wake na Tamaduni muziki ila hata siku moja hajawahi kuwaunga mkono kwenye media kuhusu harakati zao mara zote lipokuja swala la Mainstream huwa anajiweka mbali nao.

Darassa hana tatizo lolote na Diamond ni washkaji..wakati ule diamond anaondoka kwa bob Junior alikuwa anafanya kazi na Manecky na Enzi zile Darassa alikuwa Anafanya kazi na Manecky pia so wanajua vzuri way back.

Na kuna ngoma waliwahi fanya pamoja ila haikutoka.

Swala la manfongo halimuhusu.kuna beef kati ya Manfongo na Sholo Mwamba kila mmoja anajiona ndio baba wa Singeli na Darassa ni mshkaji mkubwa wa Sholo Mwamba so kama angekubali kuwa anamjua Manfongo maana yake yangekuja na maswali zaidi kumuhusu yeye na hiyo sio peke yake hata Jux au Vanessa huwa hawapendi kuulizwa maswali kuhusu wasanii wengine.

Kuna siku Vanessa aliwahi kuulizwa nani anamkubali kati yake Ali na Diamond akajibu anamkubali Vanessa.

Kingine Jina la Simba limekuwa na utata sana Blue,Afande sele na Diamond wote kwa nyakati tofauti wamekuwa wakiligombea nina uhakika lile dongo litakuwa linawahusu wote hasa zaidi likiwahusu wafanya hip hop wenzie Blue na Afande sele.

Asante.
 
Itafikia hatua mtasema neno diamond likitamkwa popote litakuwa linamuhusu ndomo tu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani hii misukule ya Madale toka baba yao Dimpozi hatoe siri za kununua viewer wamekuwa kama wamechanganyikiwa kila mtu kwao mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…