Dongo lililojificha kwenda kwa wanaojiita Simba

Dongo lililojificha kwenda kwa wanaojiita Simba

Sio Simba sio chui sio mamba,ngozi yangu inatosha kujigamba na sina maneno ya kwenye kanga yani kazi juu ya kazi yani bamba to Bamba!!!!!!!!

Hili litakuwa Dongo kwa team Fulani ila sisi ambao hatuna team huwa tunapenda miziki mizuri kama hii.
15283988_549799085205498_3806301666574214812_n.jpg



Mbona ni mwendelezo wa mipasho na uchokonozi kwa style ya kughani?
 
Wanamuziki wetu wengi wana Talanta, lakini wanakosa kitu muhimu sana kinaitwa strategies.. Kwasasa industry nzima imekariri kuwa ukitaka kiki basi uwadiss WCB.. Ni kweli utaongelewa ila ni poor strategy

First time nimesikia huu wimbo nilisikia huo mstari na nikajua tu nini kinatafutwa na nikasikitishwa sana na darasa..

Nitoe mfano; hakuna shabiki ambaye anashabikia msanii mmoja pekee.. Kwa mfano mimi shabiki mkubwa wa muziki wa WCB lakini pia ni shabiki wa Darasa toka enzi zile..

Sasa; muziki ni hisia na huwezi kupenda mziki wa mtu ambaye roho yako haina amani naye! Sasa inapotokea msanii akafanya upuuzi wa kuanzisha chokochoko na msanii mwingine unayemshabikia lazima hisia zako kama mshabiki zitachagua side.. Ndio kusema kwa mfano kwa ishu hii shabiki The Bold lazima ushabiki wake kwa darasa utapungua na kubakia kuwa shabiki wa WCB! Sasa darasa ajiulize anapoteza mashabiki wangapi kwa mtindo huu..

Nitoe mfano mwingine; juzi kati fiesta ilivyokuja Moro nikapata 'shavu' fulani hivi katika maandalizi yake and kwa wiki nzima ile nikajikuta nasikiliza sana clouds fm tofauti na kawaida yangu.. Nakumbuka kuna siku Darasa alikuwa anahojiwa na Diva, akaulizwa unazungumziaje mziki wa singeli na man fongo? Akajibu simjui man fongo... Diva na mbwembwe zake zile akahamaki "ooooohh my gooorsh kwahiyo hujawahi kusikia Hainaga ushemeji?? Unasikikizaga nini sasa kwenye redio??" Akajibu sisikilizi mziki wowote zaidi ya mziki wangu..!!!!

Doooohh nikasema ndugu yetu sifa zishamzidi, nayeye anajiona 'tembo' sasa..
Ila nikapotezea mpaka sasa ndio nakumbuka yale majibu yake yanareflect vipi personality yake ya sasa..

Ninachojaribu kusema ni nini??
Kuna kitabu mashuhuri sana cha Jemedari wa kivita Bwana Sun Tzu (ART OF WAR) na kuna kanuni moja anazungumzia kuwa "dont fight unnecessary wars".. Vita yoyote ina gharama! Kwahiyo kabla ujaanzisha/ujaingia kwenye vita yoyote kwanza fanya tathimini faida na hasara ya vita hiyo.. Je gharama utakayoitumia kupigana vita hiyo inaendana na manufaa utakayoyapata???

Sasa wabongofleva wao wanajua kuanzisha vita tu bila kutathimini gharama za vita hizo na faida gani watapata! Wao wamekariri tu "nitapata kiki"

Hiki ndicho kimemgharimu Dimpoz.. Alianzisha vita bila kufanya tathimini,
Yeye alipagawishwa tu "nitapata kiki" bila kujua gharama ya vita anayoianzisha..
Hakujua mashabiki wake wengi ndio hao hao mashabiki wa WCB na ulipofika muda wa kuchagua kuwekeza hisia zao za muziki kati ya dimpoz na WCB asilimia kubwa wakachagua kuwekeza hisia WCB.!!

Hapa ndipo ninaposema wasanii wetu wengi wana talanta lakini hawana Strategies.. Hata wakiweka strategies wanaweka poor strategies.. Ndio maana sijawahi kujutia kuwaunga mkono WCB, wana mikakati mwanana, muziki mwanana, washauri vichwa na hata wakiamua kuanzisha vita, wanaanzisha vita ambayo wana uhakika hawawezi kushindwa..

The Bold.
Mkuu hii barua kwenye gazeti ndo mahala pake siyo jf
 
Huu wimbo haujamlenga mtu bana sema tu ndo hivyo timu kujistukia. Ila kiukweli wimbo wa Darasa ndo wimbo wa mwaka, big up kwake
 
255 champion niite Mbwana Samatta[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Sinzia na fegi uchome kibanda
[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Vituu vingine havitagi ujuaji[emoji441]
Utajikuta unatandikia watu jamvi[emoji441]

Bonge moja la ngoma kwa watu tulio free na team zao
Unataka kukimbia na hauna break what do you expect...... Daah mshikaj noma sana
 
Darassa Nae Kaanza Muziki Wa Majungu Beat Yenyewe Kakopi Vionjo Wa Salome Pamoja Na Baadhi Ya Mashairi. Mimi Nimshauri Afikiri Tu Kiki Za Kudiss Ni Ujinga, Atatumiwa Sana Kina Mchomvu Ili Awatengezee Pesa Kwenye Vitamasha Uchwara Vya Vya Afro Skuli Bash.
 
Darassa Nae Kaanza Muziki Wa Majungu Beat Yenyewe Kakopi Vionjo Wa Salome Pamoja Na Baadhi Ya Mashairi. Mimi Nimshauri Afikiri Tu Kiki Za Kudiss Ni Ujinga, Atatumiwa Sana Kina Mchomvu Ili Awatengezee Pesa Kwenye Vitamasha Uchwara Vya Vya Afro Skuli Bash.
Nikweli Salome juu ya kaburi lake Dully Sykes analia.Mkae kwa kutulia.
 
Biti halina mbwembwe nikiskiliza kwa sub woofer yang najua wale vijana wa kwenye dance floor wananehemeka vilivyo na huu mdundo
Safi sana darassa
Safi Tz tunathubutu sasa kufanya muziki mzuri nje ya Timu za mchangani
Much appreciation King Darasa A.K.A shule[emoji109] [emoji109]
 
Wanamuziki wetu wengi wana Talanta, lakini wanakosa kitu muhimu sana kinaitwa strategies.. Kwasasa industry nzima imekariri kuwa ukitaka kiki basi uwadiss WCB.. Ni kweli utaongelewa ila ni poor strategy

First time nimesikia huu wimbo nilisikia huo mstari na nikajua tu nini kinatafutwa na nikasikitishwa sana na darasa..

Nitoe mfano; hakuna shabiki ambaye anashabikia msanii mmoja pekee.. Kwa mfano mimi shabiki mkubwa wa muziki wa WCB lakini pia ni shabiki wa Darasa toka enzi zile..

Sasa; muziki ni hisia na huwezi kupenda mziki wa mtu ambaye roho yako haina amani naye! Sasa inapotokea msanii akafanya upuuzi wa kuanzisha chokochoko na msanii mwingine unayemshabikia lazima hisia zako kama mshabiki zitachagua side.. Ndio kusema kwa mfano kwa ishu hii shabiki The Bold lazima ushabiki wake kwa darasa utapungua na kubakia kuwa shabiki wa WCB! Sasa darasa ajiulize anapoteza mashabiki wangapi kwa mtindo huu..

Nitoe mfano mwingine; juzi kati fiesta ilivyokuja Moro nikapata 'shavu' fulani hivi katika maandalizi yake and kwa wiki nzima ile nikajikuta nasikiliza sana clouds fm tofauti na kawaida yangu.. Nakumbuka kuna siku Darasa alikuwa anahojiwa na Diva, akaulizwa unazungumziaje mziki wa singeli na man fongo? Akajibu simjui man fongo... Diva na mbwembwe zake zile akahamaki "ooooohh my gooorsh kwahiyo hujawahi kusikia Hainaga ushemeji?? Unasikikizaga nini sasa kwenye redio??" Akajibu sisikilizi mziki wowote zaidi ya mziki wangu..!!!!

Doooohh nikasema ndugu yetu sifa zishamzidi, nayeye anajiona 'tembo' sasa..
Ila nikapotezea mpaka sasa ndio nakumbuka yale majibu yake yanareflect vipi personality yake ya sasa..

Ninachojaribu kusema ni nini??
Kuna kitabu mashuhuri sana cha Jemedari wa kivita Bwana Sun Tzu (ART OF WAR) na kuna kanuni moja anazungumzia kuwa "dont fight unnecessary wars".. Vita yoyote ina gharama! Kwahiyo kabla ujaanzisha/ujaingia kwenye vita yoyote kwanza fanya tathimini faida na hasara ya vita hiyo.. Je gharama utakayoitumia kupigana vita hiyo inaendana na manufaa utakayoyapata???

Sasa wabongofleva wao wanajua kuanzisha vita tu bila kutathimini gharama za vita hizo na faida gani watapata! Wao wamekariri tu "nitapata kiki"

Hiki ndicho kimemgharimu Dimpoz.. Alianzisha vita bila kufanya tathimini,
Yeye alipagawishwa tu "nitapata kiki" bila kujua gharama ya vita anayoianzisha..
Hakujua mashabiki wake wengi ndio hao hao mashabiki wa WCB na ulipofika muda wa kuchagua kuwekeza hisia zao za muziki kati ya dimpoz na WCB asilimia kubwa wakachagua kuwekeza hisia WCB.!!

Hapa ndipo ninaposema wasanii wetu wengi wana talanta lakini hawana Strategies.. Hata wakiweka strategies wanaweka poor strategies.. Ndio maana sijawahi kujutia kuwaunga mkono WCB, wana mikakati mwanana, muziki mwanana, washauri vichwa na hata wakiamua kuanzisha vita, wanaanzisha vita ambayo wana uhakika hawawezi kushindwa..

The Bold.
Pumba[emoji189] [emoji239]
 
Back
Top Bottom