Donnie Yen hazeeki

Donnie Yen hazeeki

In the line of duty...ndio movie yake ya kwanza kumuona huyu mwamba nakumbuka miaka ya 1993.
Kuna licolombia flani linamisuli lilimpa wakati mgumu juu ya flat roof.
Screenshot_20230408-232715.png
Screenshot_20230408-232956.png
Screenshot_20230408-232944.png
 
Huyu ndio vampire sasa sijui anakulaga nini?? Anaitafuta 70 jamaa
Mimi nahisi ni maumbile ya mtu tu.
Mwingine ni Paul Rudd (Ant-Man) nae ana sura ya kutokuzeeka. Mwangalie Mark Rufallo(Hulk) anaonekana mzee kuliko yeye.
Nilishangaa sana kusika Kanumba alikua na miaka 28[emoji848]
View attachment 2580339
Hiyo 28 ya Kanumba uliiona midogo au mingi
 
View attachment 2580252
Umeitazama muvi ya John Wick Chapter 4? Humo utakutana na mtaalamu Donnie Yen kacheza kama kipofu aaitwaye. Ni noma sana humo ndani kakiwasha balaa.

Donnie Yen ana miaka 59 sasa anaelekea 60 lakini muonekano wake utadhani ana miaka 40s. Sio kama wenzake Vincent Zhao, Andy lao, Yuen Biao, Jack Chan, Jet lee (huyu kidogo maradhi yamemzoofisha). Bado yuko fit kabisa kuliko beki kisiki wa msimbazi Josh Onyango😅

Kibongo bongo ukiwa na umri huo tayari ushakua babu unajiandaa kufa.

View attachment 2580250

Ni kama huyu mbabu wa kihindi Anil Kapur unaweza kujua anakua kwa kurudi nyuma. Ukiangalia muvi zake za 90s alikua anamuonekano wa kizee ila miaka inavyozidi kwenda anaonekana kijana. Kwasasa ana miaka 66.

View attachment 2580258

[Anil Kapur aliyevaa viatu vya pink, Huyo binti ni mtoto wake, mwanaume aliye kulia kwake kajishika mkono ni mume wa binti yake]
Ushamuangalia rambo (sylivester stallone)?

Kuna series moja ilitoka mwishon mwa mwaka jana inaitwa Tulsa King, yule jamaa nae anazeeka vizuri sana. Wenzetu mazoezi yanawasaidia sana, huku mazoezi ni nadra mno
 
Nafkiri na muda wa kutoboa ki movie unachangia.
Nahisi Chan amechelewa kutoboa, yaani alitumia muda mwingi mpaka kujulikana sana na maagent. Lakini Yen hakutumia muda mwingi kupata ma agent wa holiwood. So ikamfanya kupata pesa mingi mapema na kurekebisha maisha mapema. Nahisi Chen kapigwa sana na mawakala kama Rose Mhando.
Kando ya Bruce lee mtu anayeheshimika zaid kwenye martial art ni Jackie Chan , ana pesa chafu huyo mwamba , Donie Yen hamkuti Jackie Chan hata nusu, na jackie Chan kaanza kujulikana akiwa na miaka 17 tuu , nafkri Golden harvest ndo wamemtumia sana chini ya Raymond Chow ambaye ndo alim-spot kwa Bruce lee
 
View attachment 2580252
Umeitazama muvi ya John Wick Chapter 4? Humo utakutana na mtaalamu Donnie Yen kacheza kama kipofu aaitwaye. Ni noma sana humo ndani kakiwasha balaa.

Donnie Yen ana miaka 59 sasa anaelekea 60 lakini muonekano wake utadhani ana miaka 40s. Sio kama wenzake Vincent Zhao, Andy lao, Yuen Biao, Jack Chan, Jet lee (huyu kidogo maradhi yamemzoofisha). Bado yuko fit kabisa kuliko beki kisiki wa msimbazi Josh Onyango😅

Kibongo bongo ukiwa na umri huo tayari ushakua babu unajiandaa kufa.

View attachment 2580250

Ni kama huyu mbabu wa kihindi Anil Kapur unaweza kujua anakua kwa kurudi nyuma. Ukiangalia muvi zake za 90s alikua anamuonekano wa kizee ila miaka inavyozidi kwenda anaonekana kijana. Kwasasa ana miaka 66.

View attachment 2580258

[Anil Kapur aliyevaa viatu vya pink, Huyo binti ni mtoto wake, mwanaume aliye kulia kwake kajishika mkono ni mume wa binti yake]
Picha ya nchi, nadhani walikua wanaandaa movie inaitwa MALANG.. bongo ya movie nayoikubali zaidi
 
kuna yule nwamba wakuitwa Chuck Norris ameanza kujulikana tayari ni mzee, sijui nowadays atakuwa kidingi kiasi gani aisee
Kama Morgan Freeman tuu tunaanza kumuona tayari ana mambo ka Lowasa hahaaaaa......
Chuck Norris anatembelea wheel chair itakuwa maana Delta Force mule alikuwa mzeee....
Ila juzi nimecheki movie moja hivi nimeona jina lake kama editor au director sema movie ilikuwa ya kiwack hata siikumbuki. Ila now ni mzeee sana.
 
Back
Top Bottom