Donor Fatigue: Wazungu wametuchoka, sisi tunanunua ma VX!

Donor Fatigue: Wazungu wametuchoka, sisi tunanunua ma VX!

Haya ndio maneno yanayotakiwa yaonekane kwenye mabango yaliyosambaa nchi nzima badala ya haya yanayosifia ujinga. Pengine vijana walamba viatu aka machawa wakiyasoma mara kwa mara akili inaweza kuwarudia wakajua wajibu wao kwa nchi yao
Kabisaaaaaa
 
Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake.

Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA!

Hapo ndio tutamkumbuka Mwalimu Nyerere na siasa yake ya kiuchumi ya KUJITEGEMEA. Watanzania na waafrika, tutatukanwa hadi lini?


Simlaumu TRUMP!
 

Attachments

  • VID-20250128-WA0033.mp4
    3.9 MB
Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake.

Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA!

Hapo ndio tutamkumbuka Mwalimu Nyerere na siasa yake ya kiuchumi ya KUJITEGEMEA. Watanzania na waafrika, tutatukanwa hadi lini?


Simlaumu TRUMP!
Mwanzo wa utungu kuelekea dhiki kuu. Kila kitu kutakuwa kigumu mbele ya safari kuelekea ule mwisho.
 
Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake.

Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA!

Hapo ndio tutamkumbuka Mwalimu Nyerere na siasa yake ya kiuchumi ya KUJITEGEMEA. Watanzania na waafrika, tutatukanwa hadi lini?


Simlaumu TRUMP!
Hizi Nchi wao ndiyo waliziharibu walipandikiza vibaraka mpaka basi. Wakaiba na kuvuruga uchumi hadi basi. Viongozi wanamageuzi wakawaua na kuwatenga. Watulipe fidia kwanza.
 
Hizi Nchi wao ndiyo waliziharibu walipandikiza vibaraka mpaka basi. Wakaiba na kuvuruga uchumi hadi basi. Viongozi wanamageuzi wakawaua na kuwatenga. Watulipe fidia kwanza.
Suluhisho ninkupiga kazi na kuwazidi. Kukulipa hawatakulipa, tuwe kana China na tuwazidi akili.
 
Waafrika tumekuwa tunayasema haya kila siku. Kabla hata ya 1884ad

"Hatutaki misaada tunataka kufanya biashara na nyinyi" kama tulivyokuwa tukifanya biashara nyakati za 1400ad.

Our cries fell on deaf ears.

Ila wapo wanaofaidika na status quo, ya Waafrika kuwa wategemezi na hawa ndio hao hao wanaosema 'mjikomboe'.

Wafitni na manduminakuwili

=========
Watakuja wajinga, wapumbavu, mamluki, Internet trolls, Digital blackface trolls, doctrinated bafoons, bigots, racist propagandist, pundits, spinners and what have you, watasema

"Huezi"

Hao hao wanaosema 'oh ...mjitegemee', 'wacheni utegemezi'na mlolongo wa matusi mengi tu.

Ukiwauliza tufanye nini, watakujibu

"Tutawaliwe"
🤔😪🤒
Hakuna neno hopeless kama hilo na mtu analisema kwa kujitutumua unabaki kujiuliza, were you a wanted child? Did your parents refuse to listen to your troubles and triumphs?
Yani nataka niwaulize hawa watu,


What is your Problem Bro?
 
View attachment 3218052
Wito wa Donald Trump kwa watu wa Afrika.

Mungu amebariki nchi zenu kwa rasilimali nyingi, akili, na uwezo mkubwa. Ni wkt wa kuacha kusubiri mabadiliko kutoka nje na kuanza kuwajibisha viongozi wenu wala rushwa. Acheni kukimbilia mataifa ya kigeni na kuzurura mitaani huko mkitafuta fursa ambazo zinapaswa kuwepo nyumbani kwenu.

Kama Wamarekani wangelikubali ukandamizaji na kubaki kimya, hakungekuwepo na Marekani kama unavyoiona leo. Kama Wafaransa wangekaa kimya mwaka 1775, hakungekuwa na Ufaransa ya leo. Mapinduzi yanahitaji hatua, si unyonge.

Kwa nini mnaendelea kucheza siasa za kikabila huku viongozi wenu wakiiba utajiri wa mataifa yenu bila haya?
Kwa nini mnategemea Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa dawa za msaada wkt mna wataalamu wa madawa na tiba katika nchi zenu?
Nchi zenu zimebarikiwa kwa vipaji na maarifa ya kutengeneza suluhisho za ndani.
Dai mifumo bora ya afya. Acheni viongozi wenu wakimbilie nchi za nje kutibiwa huku hospitali zenu nyumbani zikitelekezwa bila hata huduma thabiti ilihali mshajitawala tangu miaka ya 1960's.

Kwa nini viongozi wenu wanapora rasilimali zenu ili kuishi maisha ya anasa huku barabara zenu zikiwa mbovu, shule hazina fedha za kutosha, na umeme haupo wa uhakika?
Je, mnasubiri malaika waje kutatua matatizo haya?
M/Mungu amewapa uwezo wa kuchukua hatua, basi chukueni hatua!
Mataifa yaliyoendelea yamepata mafanikio kupitia uwajibikaji, kazi ngumu, na kujitolea, siyo kwa kusubiri miujiza.

Marekani ni ya Wamarekani. Ufaransa ni ya Wafaransa. Ni wkt wa ninyi kuwajibika kwa nchi zenu. Acheni kukimbilia nchi za kigeni ili kujifungua na kutafuta uraia wa moja kwa moja kwa watoto wenu. Sera hizo zimeondolewa. Rudi nyumbani na mjenge Taifa ambalo mtaweza kujivunia kuzaliwa huko kwenu.

Mapinduzi huanza na watu, kama mmechoka na uongozi mbovu, inukeni. Dai takwimu sahihi za idadi ya watu, uchaguzi wa haki, na mwisho wa wizi na ufisadi. Acheni kuruhusu wanasiasa wala rushwa na viongozi wa kidini kuwapumbaza kwa kusema ukandamizaji ni “mapenzi ya Mungu.”

Kama Wafaransa waliweza kuungana dhidi ya majeshi na watawala wakandamizaji, nanyi mnaweza. Mabadiliko hayatakuja ikiwa mtakaa kimya na kinyonge. Kama mnataka umeme wa uhakika, barabara nzuri, na maisha bora, chukueni hatua. Acheni kukimbilia Marekani, Canada, au Ulaya kwa kile ambacho mnaweza kujijengea nyumbani.

Ujumbe ni rahisi, inukeni, ungana, na mchukue hatima ya maisha yenu mikononi mwenu. Hatima ya Afrika ipo mikononi mwenu. Iwafikie mioyoni na akilini mwenu, ni ninyi pekee mnaoweza kuunda Afrika mnayoitamani!
Hatukumuelewa Mwalimu tangu enzo hizo tutamuelewa Trump leo? Mungu ibariki Africa.
 
Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake.

Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA!

Hapo ndio tutamkumbuka Mwalimu Nyerere na siasa yake ya kiuchumi ya KUJITEGEMEA. Watanzania na waafrika, tutatukanwa hadi lini?


Simlaumu TRUMP!

Ni kweli,sisi waafrica tumejaa zaidi ubinafsi.yaani kiongozi akipata madaraka anajiangalia yeye binafsi namna atakavyojiondoa kwenye umasikini ila siyo nchi.Matumizi ya ofisi ni ya kianasa zaidi. magari mazuri sana ya gharama kubwa sana.misafara exoensive.halafu unaomba msaada.

Hata kama ni wewe kila siku kuna mshikaji anakulilia shida unamsaidia ila kila siku unamuona kwenye ma club makubwa makubwa na wanawake na anakula starehe.ila kesho mkionana anaendelea kukulilia shida.si utampuuza
 
Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake.

Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA!

Hapo ndio tutamkumbuka Mwalimu Nyerere na siasa yake ya kiuchumi ya KUJITEGEMEA. Watanzania na waafrika, tutatukanwa hadi lini?


Simlaumu TRUMP!
Trump ana akili sn, huwezi kusaidia majitu majinga yamekalia utajiri(madini ya kila aina, mito, bahari, gas, makaa ya mawe, misitu, ardhi nzuri, watu wengi, mifugo, tanzanite, mbunga za wanyama, milima, maziwa, mabwawa kibao n.k) wewe wananchi wako wanalipa kodi kubwa yenyewe wanatumia kodi kwa anasa tupu, ufisadi, utapeli na kuficha fedha za wananchi nje kwenye mabenk badala ya kuleta maendeleo. Safi Trump japo kuwa na mimi nitakipata cha moto lakini acha liwe funzo.
 
Wasio na akili wengine wanataka China na Urusi ndo waanze kutoa hizo pesa as if niwa lipa kodi wa mataifa hayo.

Mwafrika akili yake ni tegemezi ndo maana mataifa yetu yamekuwa ombaomba uko ughaibuni.
Tunaongozwa na majitu majinga haswa ndiyo maana, fedha zipo tatizo ni matumizi makubwa ya anasa na ufisadi
 
Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake.

Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA!

Hapo ndio tutamkumbuka Mwalimu Nyerere na siasa yake ya kiuchumi ya KUJITEGEMEA. Watanzania na waafrika, tutatukanwa hadi lini?


Simlaumu TRUMP!
Mimi sioni kama ametukana, ila ametuambia ukweli- Ukweli mchungu. Watu wengi huwa hatupendi kuambiwa ukweli unaoumiza nafsi. Lipi jema? Kuambiwa ukweli mchungu utakaokusaidia kujisahihisha/kujirekebisha au uendelee kuishi kwenye maisha ya uongo na unafiki?
 
Wao wamechukua rasilimali zote za Africa wanadhani Wagogo wataishije?
Kuendelea kuishi na fikra kama hizi ni changamoto nyingine ya kukabiliana nayo kwa nguvu zote. Hivi hizo raslimali walichukuwa sisi tukiwa wapi? Ukiangalia kiuhalisia ukiacha kipindi cha ukoloni, raslimali nyingine nyingi wamechukuwa/tumewapa tukiwa mataifa huru. Viongozi wengi wa Kiafrika wanaendelea kugawa raslimali za mataifa yao kwa Wageni hasa Wazungu. Sasa nani wa kulaumiwa?
 
Back
Top Bottom